Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Kama ilani inatekekezwa kwa interest za nchi na wananchi wake nadhani hapo hakuna shida.
Utekelezaji wa ilani huwa siyo shida, bali ni upande wa upanzani kutokukubali hilo na kuwaita wenzao walioteuliwa kuwa ni "wasaliti."
 
DAWA ya Corona imepatikana .
Ni Sura ndani ya qurani.sura ya 55
Screenshot_20210508-054629.jpg
 
Mimi sikubaliani labda kwa taaluma za

Hilo ni sawa kwa kazi za taaluma ya science. Lakini kwenye siasa uchumi na sheria lazima kuteua waomini wa sera ya chama chake ama wateule watahujumu utekelezaji wa ilani ya uchaguzi. Ccm kama chama chenye sera ya ujamaa kinajali maslahi ya umma. Mtu kama lissu au wa aina yake kwa vyovyote hafai nafasi ya uongozi kwenye serikali ya ccm.
Mbona sabaya afai kuwa kiongozi Lakini mwandazake alimteuwa tukatulia tu utabidi utulie tu ikikuuma sana nenda kalilie kaburini
 
Utekelezaji wa ilani huwa siyo shida, bali ni upande wa upanzani kutokukubali hilo na kuwaita wenzao walioteuliwa kuwa ni "wasaliti."
Basi Kama Ni hivyo wapinzani wa nchi hii Wana shida.
 
Kwaiyo mbowe anaweza pata teuzi asaidie kutekeleza ilani ya ccm? Hii dunia anything is possible
 
Back
Top Bottom