Hotuba nzito na muhimu ya Mufti Shekh Abubakar Zubeir

Hotuba nzito na muhimu ya Mufti Shekh Abubakar Zubeir

Point ya 2&3 kutoka mwisho zinakinzana,hii inadhihirisha wazi mashehe wengi ni felia.
Na hakuna mashehe hapo, wote ni mapandikizi, tena ukute ni wagalatia kabisaaaa, wanajuajua kusoma kiarabu kidogo basi ni mashehe, hao ni mapandikizi tu
 
Na hakuna mashehe hapo, wote ni mapandikizi, tena ukute ni wagalatia kabisaaaa, wanajuajua kusoma kiarabu kidogo basi ni mashehe, hao ni mapandikizi tu

Unakipimo gani cha kujua huyu ni halali na huyu ni pandikizi?
 
Naamini bila bakwata nyie jihadist mgetusumbua sana nchi hii.
Hakuna wa kutuzuia kufanya lolote, ila hakuna hiyo sababu ya kufanya lolote, endeleeni kutuminya na sisi tunajitahidi kujikwamua, ikibidi nasema ikibidi jitihada za ziada tutafanya na hakuna wa kuzuia, si bakwata wala tec
 
Hakuna wa kutuzuia kufanya lolote, ila hakuna hiyo sababu ya kufanya lolote, endeleeni kutuminya na sisi tunajitahidi kujikwamua, ikibidi nasema ikibidi jitihada za ziada tutafanya na hakuna wa kuzuia, si bakwata wala tec

Mkuu mbona unaonekana wewe ni jihadist wa nyuma ya keyboard,jitokeze hadharani basi.
 
Duh namuona hapo mzee wangu zuberi

Ova
 
Back
Top Bottom