Hotuba nzito na muhimu ya Mufti Shekh Abubakar Zubeir

Hotuba nzito na muhimu ya Mufti Shekh Abubakar Zubeir

Hawana lolote hao vibaraka wa serikali.
BAKWATA haisimamii maslahi ya Waislam bali dola, sisi sio wajinga.
Nitawaunga mkono pindi watakapobadilika ila sio sasa.

Nipo tayari kumsikiliza Sheikh Ponda sio Sheikh Mkuu.
Baada ya kuuangamiza mfumo kikristu waislamu watapigana kuangamizana wao kwa wao kwa jina la kuiangamiza bakwata. Hata somalia walianza hivi hivi hatimaye taifa likakosa mwelekeo
 
Ninachojua CCT,Bakwata na TEC zimeundwa kwa sheria moja.Je Nyerere alikuwa na nia ya kufifisha ukatoriki na uprotestant kwa kutumia mabaraza haya?

Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
TEC imeundwa kwa mujibu wa sheria za kikanoni na kupewa nguvu na mtaguso wa pili wa Vatican wa mwaka 1962-1965
 
Mwoga ni wewe ulijificha kwenye fake ID,
Kwa kuwa wewe upo wazi? Unajulikana?
Onyesha basi nitakupata wapi uone kama sjiakushughulikia fasta tu,
Nb
Staki mikwara mbuzi
Waoga wakubwa nyie, iko siku yenu
Yaani we acha tu, nita.,*&%%#^π[`tafuna mpaka mifupa
 
Mikwaaaaara, nyie wachumba tu, yaani vianze hapa dakika tu
Unataka kuleta ugaidi kama wa HAMAS halafu baadae mtafute huruma kuwa meonewa?
Kawaulize wale wazee wa kiislamu wa UAMSHO.
Jaribu uone, tutakufunga mpk ndugu zako wakusahau ohh!
Hii siyo Gaza, Sudan, Somalia, Libya au Lebanon ambako waislamu wanachinjana ovyo.
Thubutu uone kitakachokutokea, bora ukae kimya
 
Hawana lolote hao vibaraka wa serikali.
BAKWATA haisimamii maslahi ya Waislam bali dola, sisi sio wajinga.
Nitawaunga mkono pindi watakapobadilika ila sio sasa.

Nipo tayari kumsikiliza Sheikh Ponda sio Sheikh Mkuu.
Halafu mnasema karibu kwenye dini ya haki. Hivi kweli?
Nyie wenyewe hamuelewani, mtaweza kuelewana na watu wengine?
Kwanini msikae chini mkayamaliza kwa amani na upendo km dini ya haki?
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Kwa kuwa wewe upo wazi? Unajulikana?
Onyesha basi nitakupata wapi uone kama sjiakushughulikia fasta tu,
Nb
Staki mikwara mbuzi
Waoga wakubwa nyie, iko siku yenu
Yaani we acha tu, nita.,*&%%#^π[`tafuna mpaka mifupa

[emoji28][emoji28] mental illness,
 
Hawana lolote hao vibaraka wa serikali.
BAKWATA haisimamii maslahi ya Waislam bali dola, sisi sio wajinga.
Nitawaunga mkono pindi watakapobadilika ila sio sasa.

Nipo tayari kumsikiliza Sheikh Ponda sio Sheikh Mkuu.
Mimi namsikiliza zaidi Sheikh Kipoozeo ana akili kuliko Masheikh wote Africa Mashariki.
 
Hiyo sheria imeundwa lini,au ilikuwepo tangu Musa wa farao!?..maana bakwata imeundwa 1968 baada ya kuvunja kimabavu eamws na Nyerere,yaani rais aliingia ground kuvunja taasisi ya dini,Sasa sheria yako iliuounda TEC na TCC sijui,imeundwa lini!?..na sheria ni AI kwamba huunda taasisi bila watu!?
Kwa taarifa yako mabaraza ya kidini yana sheria yake.Logic inasema kama TEC na CCT na Bakwata ziliundwa kwa sheria moja inakuwaje baraza la dini yetu tukufu liwe batili?Ikumbukwe kabla ya TEC na CCT kulikuwa na vyombo vingine vinavyoendesha dini hizi kama eamws.Ikumbukwe pia eamws haikuwa ya wazalendo kama catholics na protestants kabla ya kuundwa haya mabaraza

Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo si mkaambiane huko kwenye tarawei? Huwa nashangaa Sana mambo yenu, mabishano yenu kurushiana maneno mara nyingi mtumia online TV. Sasa hii inaonyesha bado hamjakaa kitaasisi Kila mmoja anaweza kuitisha press conference kumjibu mtu au kujinadibu anajua dini kuliko mwingine au kumkosoa au midahalo ya kukosoa dini nyingine tena kwa hoja za kitoto kabisa na za kizamani. Niwaambieni WAHESHIMUNI SANA BAKWATA narudia tena BAKWATA WAMEFANYA MAMBO MENGI SANA YA KUWAUNGANISHA, KUWAPATANISHA NA KUWAJENGEA MIFUMO MIZIRI YA KIUTAWALA, tofauti na hapo Kila mtu anajiona fundi wa kukosoa jambo kama hili huwezi kulikuta kwa wakatoliki
 
Kwa taarifa yako mabaraza ya kidini yana sheria yake.Logic inasema kama TEC na CCT na Bakwata ziliundwa kwa sheria moja inakuwaje baraza la dini yetu tukufu liwe batili?Ikumbukwe kabla ya TEC na CCT kulikuwa na vyombo vingine vinavyoendesha dini hizi kama eamws.Ikumbukwe pia eamws haikuwa ya wazalendo kama catholics na protestants kabla ya kuundwa haya mabaraza

Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
Hoja yako nini!?..eamws haikua ya wazalendo!?..ndiyo maana nilikuuliza unamjua sheikh amir wa eamws!?..suala ni rais kushupaa kuvunja taasisi ya dini na kuunda yake,bakwata inatambulika kisheria,hakuna anayebisha,Ila waislam wengi hawaitaki na si mwamvuli wa taasisi za kiislam tz,ndiyo hoja
 
Back
Top Bottom