Hotuba nzito na muhimu ya Mufti Shekh Abubakar Zubeir

Niliposoma kichwa cha habari nilikuja haraka humu, kwa kutegemea kukuta hotuba nzito ya masuala ya imani yenyewe, kwa maana ya hotuba ya kiongozi mkubwa wa dini.

Lakini, kuja hapa na kukutana na hiki kilichopo, naona kwa kiongozi wa imani, hii ni hotuba yake ya kawaida sana, haina uzito ulioanikizwa na mleta thread, kwani haigusi chochote toka kwenye Qur'an.

Mleta thread anapaswa kufahamu kuwa hotuba nzito ya wanasiasa haiwezi kufanana na hotuba nzito ya kiongozi mkubwa wa dini. Kama haizungumzii imani yenyewe basi haina uzito wa hivyo.

Ova
 
Kama eams taasisi zilizokuwepo za rc na waprotestant zilivunjwa pia na ikatungwa sheria ya kuanzisha haya mabaraza.Hoja yangu ni kwamba Bakwata ni chombo kinachowaunganisha waislam kama yalivyo mabaraza ya dini zingine.Tuache propaganda.Kama hamuitaki basi wekeni viongozi wenu ndani ya Bakwata mfanye reforms mnazotaka

Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
 
Bakwata ni kanisa, mbona huelewi?
Sasa tutakaaje na kanisa tuelewane kwenye imani yetu, kila mmoja abaki na doni yake, so tunahitaji chombo au taasisi originally ya kiislamu lakini sio bakwata, nadhani umeelewa
 
Mikwara mbuzi, nyie wepesi sanaaaa, tunapenda kufa kama mnavyopenda kuishi
 
Bakwata ni kanisa na wala si taasisi ya kiislamu kwa uhalisia,chunguza utagundua mashehe wengi wa bakwata ni washirikina kama walivyo wakatoliki, muislam sahihi hufata mafundisho sahihi na sio kujifanya mganga na mipete kibao vidoleni kuibia watu tu, hii ilianzishwa na serikali kupitia kanisa ili kuwazuga waislam enzi za nyerere na ndie aliivunja taasisi imara ya waisla ikiitwa EAMWS
Bakwata haikubaliki
 
Unaishi dunia gani!?..baada ya mwinyi kuambiwa na mufti hemed bin jumaa masks 1992 "inaelekea nyerere hakukwambia bakwata ni nini"..mwinyi akawaambia waislam waanzishe taasisi zingine,hapo ni baada ya mapinduzi kufanyika bakwata na serikali kutumia jeshi la polisi kuyavunja mapinduzi, waislam wakaanzisha taasisi tofauti na bakwata,zikiwemo ipc,al malid BARAZA KUU LA TAASISI ZA KIISLAM..miongoni mean nyingi,wewe kama unawapenda bakwata kale nao tende
 
Uislamu ni ugaidi.
Muanzishe nyie halafu mhusishe imani za dini zingine.
Kupigana na kuana nyie ni kazi zenu. Hapo mnatamani muanzishe Al shabab, Boko Haram au Islamic state (IS).
Sudan, Somalia na Libya mnauana ovyo kwasababu hizi hizi.
 
Bakwata ni kanisa, mbona huelewi?
Sasa tutakaaje na kanisa tuelewane kwenye imani yetu, kila mmoja abaki na doni yake, so tunahitaji chombo au taasisi originally ya kiislamu lakini sio bakwata, nadhani umeelewa
😁😁😁😁😁
Kweli uislamu ni ugaidi
1. Waislamu wanapigana na wakristo
2. Waislamu wanapigana na Wayahudi
3. Waislamu wanapigana na dini zingine
4. Waislamu wao kwa wao wanapigana.
BAKWATA imekuwa ya wakristo kwasababu hao BAKWATA wameona uislamu ni ugaidi wakawa wakristo. Safi sana
Iendelee hivyo hivyo ili ugaidi upungue na mwisho kutoweka kabisa
 
Kweli ukristo ni USHOGA.
Wewe unasema kujifrahisha, ila hoja huna
Bakwata haikubaliki, iende ikahudumie wakristo wenzao
 
Uislamu ni ugaidi.
Muanzishe nyie halafu mhusishe imani za dini zingine.
Kupigana na kuana nyie ni kazi zenu. Hapo mnatamani muanzishe Al shabab, Boko Haram au Islamic state (IS).
Sudan, Somalia na Libya mnauana ovyo kwasababu hizi hizi.
Huna ujualo, endelea kubishana mpaka ufe, bakwata ni kanisa na sasa tumewashtukia na tunaeenda kujikomboa sasa
Endelea kukariri
 
Huo mtindio wa UBONGO ulionao sio wa dunia hii ndio ule nambari wani ambao siku hizi wanauita USONJI
 
Waislamu bado wanangojea repoti ya tume ilioundwa kuhakiki mali za Bakwata zilizopo na zilizo potea kwa ufisadi.
Inasemekana baadhi ya wanakamati walijiuzulu sababu hawapati ushirikiano kutoka kwa viongozi na idara mbali mbali za Bakwata. Mufti inaonesha hili pia ni changamoto kubwa kwake kuiwezesha tume hii kukamilisha jukumu lake muhimu la kulinda mali za waislamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…