Yes,tungemuona shujaa kabsaa.Na ninadhani hatorudia tena.Nauliza tu,kwa sauti kuna ubaya wowote angeongea kiswahili...maana naona kuna wanaotranslati kwa lugha zao ndo maana wana headphone.vitu vingine nikujifedheesha tu.pigaa kiswahili
Walau angeongea KiswahiliHii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville
Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.
Jionee..
WORK IS CONTINUEAngetumia hicho kimatumbi maneno kama Kazi iendelee,anaupiga mwingi yangekuwa yanajirudirudia.Bora english ni kufuli la maneno ya Shombo.
unalinganisha viongozi au namna luguha ya kiingereza inavyozungumzwa kwa ufasaha na wahusika gentleman?🐒Jamani kiongozi wa yanga unailinganisha na kiongozi wa wizara ya afya?? angekuwa ni wizara kama michezo au mazingira wala nisingemind
Ndio hapo sasaMtu anayesema "kwa niaba yangu" anakosea sana.
Anatakiwa kusema "Mimi mwenyewe" maana ukisema kwa niaba ya fulani maana yake unamsemea au unamfanyia jambo mtu ambaye hayupo kwenye hiyo hadhara hivyo unamwakilisha.
hahahaha wewe sasa ndio mkorofi kabisa, unalaumu hadi muandaaji? nak kwamba dada Jenny hajui anachosoma?Tuwalaumu waliomwandikia, anasoma tuu hapo sina uhakika anaelewa anachoongea
Yaani anakitaka kiingereza, lakini kiingereza hakimtaki kabisa.😂Ukisema "on my own behalf" unataka kumaanisha nini?? Huwa sielewi kitu kwa kweli
Sawa, huyu elimu yake ni ya kuungaunga, je yule aliyekuwa na PhD ilikuwaje? Kumbuka huyo kaandikiwa, je hiyo on my own behalf ni nini?To her defense, anaeleweka hiyo ni accent tu ambayo kila mtu anayo hata mizungu ikiongea Kiswahili itaongea kwa lafudhi yao. Mawaziri wa afya nchi zingine zote ni madaktari ila huyu elimu yake ya kuunga unga tu ila kila siku anapewa wizara mpya sijui anafanya nini ambacho wengine hawawezi.
View attachment 3081568View attachment 3081569
View attachment 3081570
Hapa Tanzania viongozi hasa wa ngazi ya uwaziri ni wasomi. Na lugha kiingerereza ndio waliyotumia kusomea, hapo utetezi wako mbona haukai vizuri?Tatizo lenu ni slavery mentality imewakaa vichwani mwenu. Mnafikiri mtu akiongea kiingereza ndio msomi.
Wanatukia lugha gani ya kujifunzia hao uliowataja? Hakuna mwenye tatizo na lafudh, ufasaha wa hiyo lugha tena ikiwa imeandikwa. Hizo L ni za nini? Kwani akitaja neno Rais hapa nchini kwa kiswahili, huwa anatamka Lais?Unafikiri hao wazungu wanawaza hayo mnayowaza!!?
Wanajua fika huyu ni mtanzania na kiingereza sio lugha mama kwahiyo matamshi hayatokua sawa kama mzungu!
Ni nyie TU washamba sana,kwani wachina,warusi,wakenya,wanaijeria Wana lafudhi Gani ya kiingereza wanapotamka!!?
Utetezi wa kufala sana huu, halafu unakuta nyaraka zote muhimu za kiserekali ziko kwa kiingereza! Aibu nyingine hizi, kaa kimya tu.Angekuwa anababaisha kwenye kuongea Kiswahili ningemmaindi sana. Lakini lugha ya watu? Ya nini kuishobokea?
Na ww ndio zako nini? Au ww ndio tungepoteana zaidi nini?Lakini mbona kawaida tu?