Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Afu kuna wehu wanauliza kwanini Tanzania ni masikini.

Waziri wa Ulinzi hajawahi hata shika bino
 
Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you😎


Ndiyo nini hicho sasa
 
Kwa namna hotuba ilivyoandikwa i likuwa nzuri sana,tatizo linakuja ni yule msomaji sasa..yule mama kachanganya sentensi pale na kachanganya na kingonj pale, mpaka wale Jamaa wakashangaa kusikia kiongozi km yule kumwaga ngeli ya vile....
 
Sawa lakini siyo kwa English hii:-

Lich out to her, ligional dilector, conglatulations, Tanzania is ploud of you😎
hata angekuwa hajui kutamka hata neno moja inatemegea anafanya shughuli gani au anasimamia nini..., sisemi kwamba anafaa bali incompetence yake taipima kwa vigezo vingine...

Ingekuwa lingo ndio capacity ya kufanya shughuli au mambo tofauti basi binafsi ningeweza kwenda toe to toe hata kwa the likes of Sun Tzu au hata kuwapita majority ya viongozi wa hii nchi..., lakini ndio hivyo it's just a tool for communication na kama kuna alternative basi sio issue...
 
Usimfundishe Mheshimiwa tabia mbaya 😅

Me nadhani kutokana na unyeti wa majukumu yao, nashauri wajiongeze Kwa kwenda hata English course

Ama akiwa nunda aende na Mkalimani tu 😜
 
Ndiyo maana JPM alikuwa anakipiga vita hicho Kiingereza

Hivi hakukuwa na option ya kuongea Kiswahili na hizo device zikatafsiri?

Nimeona Wachina wanawasilisha taarifa zao Kwa kutumia Kichainizi
Hapa JPM was far way right. Angetumia kiswahili ingefaa sana. Pamoja na kuwa affected na mother tongue lkn kosa kubwa ni kuwa she didn't even own her own speech. Anyway congratulations to Dr. Faustine Ndugulile ! Congratulations all of us!
 
Hii ni hotuba tamu ya mheshimiwa Jenister Joachim Mhagama waziri wa Afya wa JMT wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Hapo alikua anasoma nimejiuliza sana angekua anatoa kichwani kwake ingekuaje.

Jionee..

Hiyo Kiingereza ya darasa la saba ndio maana watu hawa hujipendekeza sana kwa wakubwa zao.
 
Huwez ukasoma current lessons bila kingereza, mitaala kingereza, syllabus kingereza, vitabu kingereza.
I dont undermine kiswahili but fact ni kuwa huko nje hakina influence yoyote, hakina power tofauti na english ambayo iko kwenye vitabu, vifaa unavyonunua, pesa, na ndio business language ya dunia.

Unapoenda kwenye uga wa kimataifa every international country iwe asia, au europe to south america, wanasoma kwa lugha zao lakin pia english ni mandatory.
 
Salvery mentality ni kwake mwenye akili ya kukimbilia kiingereza na hakijui mwisho kimemuumbua.

Angekua na utimamu angetumia kiswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…