Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Ile hotuba yake iwekwe kwenye website ya wizara ya afya 😂😂😂
 
Watz tunamind vitu vya kipuuzi sana,
kwenye hotuba tafuta points wala siyo lugha au rafudhi,
Inakusaidia nini mtu kuongea lugha iliyonyooka
lakini ni mwizi wa kura,mla rushwa na kukanyaga haki za watu?
 
Mwanaume kuleta mada za kipuuzi kama hizi ni umama.
Hapana Sheikh, inashangaza Mtu kutumia lugha ya kiingereza katika masomo yake throughout ukiondoa kwny Primary level tu, then ana level ya Masters halafu leo anatuchanganyia herufi katika Prepared Speech ambayo imeandikwa kwa usahihi kazi yake kusoma tu

La haula...hii yashangaza Umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…