Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

Mimi kabila langu ni la Nyanda za Juu kusini na ni kweli hatuna herufi "R".

LAKINI ukihudhuria vizuri madarasa ya shule ya msingi ukasoma na sarufi ya Kiswahili na Fasihi, lazima UELEWE tofauti ya "R" na "L". Usipoelewa wewe basi ni NANGA au KILAZA
 
Yaani nilijisikia aibu sana. Kuna mshiriki mmoja yeye alishikilia tama kama linabomoka. Halafu usione yawezekana aliwaandikia nduguze saa fulani nitakuwa LIVE kumpongeza Ndugulile msikose kuniangalia. Ushamba sana
 
wacha maneno mengi tiwekee vidio tuenjoy
 
Watz tunamind vitu vya kipuuzi sana,
kwenye hotuba tafuta points wala siyo lugha au rafudhi,
Inakusaidia nini mtu kuongea lugha iliyonyooka
lakini ni mwizi wa kura,mla rushwa na kukanyaga haki za watu?
Pale kwenye mkutano wa WHO kuna multimedia interpretation system ya lugha zote kuu za Afrika yaani ; English Language, Portuguese, Kiswahili, French, Spanish na Arabic.

Yeye ange flow kwa KISWAHILI tu, wasikiizaji wangemsikia kwa lugha zao. Ila ni UKIMBUKENI tu wa kutaka watu wa Peramiho wamuone kuwa yuko matawi ya juu
 
Ugonjwa huu ni kama kansa ndani Kiswahili, cha kusikitisha zaidi kuna baadhi ya taasisi kubwa zimewaamini vijana wa namna hii, hadi kuwafanya kuwa wasemaji wao rasmi hadharani. Kuna jambo la kufanya kwa sisi wakereketwa wa lugha hii adhimu ya Kiswahili.

Mzee GANJI KUONA.
 


Naona wameandika Health-related carrier badala ya career. elimu yenyewe ya mashimo ya panya. tz ni nchi ya maajabu ulimwenguni.
ku** mkundu.
 
UNABOWA ni kitu gani hicho?
 
Hivi huyo anaweza kufanya vizuri kwa akili ya panzi kama hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…