Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

ukishaona introduction yake imeanza na she.. f꙰v꙰c꙰k꙰ f꙰v꙰c꙰k꙰ secondary school... bla bla nyingi jua hapo hakuna kitu.
 

Nimecheka hapa aisee mpaka naumia mbavu. Inasikitisha sana, qualification pekee iliyomfikisha hapo ukifunuliwa ukaiona utaisikitikia sana Tanzania
 
Tusisahau Mama Asha Rose Migiro alikuwepo pale UN, Prof kutoka kashai Mama Tibaijuka alikaa pale UN habitat kama sijakosea, Hivi watanzania walinufaika na nini?, tunafikiri Dr Ndugulile kuwepo hapo atatusaidia nini?
 
Umoja wa mataifa marais huwa wanahutubia kwa lugha zao...kwanini ishindikane WHO tawi la Afrika?!!

Hivi mkurugenzi wa Dr.Gebreyesus anaongea kiingereza FLUENT?!! [emoji44]

Na kama ni "fluent" je matamshi yake hayana "mother tongue" ya kwao Ethiopia?!!

#Nchi Kwanza[emoji2956]
 
Kwa Hali Hii inaweza kuathiri uaminifu wa umma na uwezo wa taifa kujipatia heshima kimataifa.

Ikiwa tunatarajia uongozi thabiti, ni muhimu kwa viongozi kuwa na ujuzi mzuri wa mawasiliano, ikiwemo lugha ya kimataifa kama Kiingereza.

Hii si tu inasaidia katika mikutano ya kimataifa, bali pia inaonyesha ufanisi wa utawala.
 
Sawa,ila Kiingereza ni Kiswahili cha Dunia,ni lazima kwa mtu wa ngazi ya Waziri kukimanya!!
Hiyo ni slavery mentality tu mkuu. Tembea uone. China, Urusi, Japan, Korea Kaskazini nk. Wanamaendeleo makubwa sana wakati hawatumii Kiingereza. Na kwa taarifa yako nchi ambazo zimejitenga na kiingereza ndio zilizoendelea sana tu lakini nchi zenye kuendekeza utumwa wa akili ndio nchi zilizonyuma kimaendeleo. Mpaka tutakapojitambua ndio tutapata maendeleo ya kweli.
 
Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah bila shaka mnatokwa machozi ya furaha Mama ameweza!
mbona kiingereza cha waziri ni kizuri tu, tena tena kinaeleweka zaidi ya hata cha mkurugenzi mtendaji wa WHO mwenywe wa dunia mh. Tedros Adhanom Ghebreyesus

nasema urongo ndrugo zango?

au kwa vile kina lahaja ya kingoni cha huko songea kitu ambacho ni kawaida tu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…