Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Huyo JAMAa ni mpumbavu 👆 achana naeKuwa mgombea urais aliyeweka record ni kitu cha kuficha? Unatumia kitu gani kufikiria mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo JAMAa ni mpumbavu 👆 achana naeKuwa mgombea urais aliyeweka record ni kitu cha kuficha? Unatumia kitu gani kufikiria mkuu?
Bora mchawi kuliko MccmTangu wanaccm walipomdhihaki Lowasa ni miaka mingi imepita lakini hakuwahi kutokea kiongoxi yeyote wa CCM kumuomba msamaha kwa waliyomtendea, leo haohao wako mstari wa mbele bila aibu kumsifu! Mungu wa mbinguni anawaona kwa unafiki wenu eti leo mmemuona Lowasa mtamu.
Binafsi naona CCM na upinzani huwa wanatupa hoja zisizo na maana kuzijadili kwa maslahi yao. Hawana tofauti na wasanii wanaofake bifu kisha kujadiliwa na mashabiki.kilichoongezeka ni kuwavua nguo wajinga wachache walioacha kutaja historia muhimu ya marehemu. What a shame? Yaani alikuwa waziri mkuu wa nchi then mtu analeta mambo ya uCCM na uCDM? Ni ujinga spana kama hizi zinasaidia machawa kukaa sawa.
Sio kwenye historia. Kwenye wasifu wa marehemu. Historia ipo wazi alishaiandika marehemu wakati yupo hai. Wasifu unaandikwa na watu wengine. Hata usipotaja jambo muhimu katika wasifu hilo jambo halifutiki katika historia.Huu unaitwa ujinga wa kipaji, kama baba Yao angekuwa rais kupitia cdm wangeacha kuandika kwasababu sio Kila kitu kinawekwa kwenye historia?
Sote tunajua alijiuzulu kwa kashfa ya ufisadi imesemwa? Historia ya marehemu ipo wazi.Sote tunajua kwamba alikuwa waziri mkuu mbona imesemwa? Sema ukweli japo unauma
Sio kwenye historia. Kwenye wasifu wa marehemu. Historia ipo wazi alishaiandika marehemu wakati yupo hai. Wasifu unaandikwa na watu wengine. Hata usipotaja jambo muhimu katika wasifu hilo jambo halifutiki katika historia.
Ufisadi sio sifa, labda useme uliwahi kuhudhuria msiba wa jambazi na wakaweka kwenye wasifu kuwa alikuwa jambazi? Acha kupulizia kinyesi perfume.Sote tunajua alijiuzulu kwa kashfa ya ufisadi imesemwa? Historia ya marehemu ipo wazi.
Sasa wasifu unafuta historia?Kwa taarifa yako kwenye mambo yaliyotajwa kwenye wasifu wake, kugombea urais na hasa baada ya kupata kura zile, ni Moja ya top 5 ya yaliyopaswa kuwepo kwenye huo wasifu wake. Labda hao waliondika huo wasifu ndio huchangia wazungu kutuita manyani.
Wameamsha yaliyokuwa yamelala. Aidha wameleta ushahidi mwingine kwamba CCM imejaa watu wajingaRisala bora ingeitaja tu chadema, ona sasa Mbowe kabadili upepo.
Hoja hapa ni kuwa historia haifutiki uiseme kwenye wasifu au uiache. Hakuna logic ya makelele yote haya.Ufisadi sio sifa, labda useme uliwahi kuhudhuria msiba wa jambazi na wakaweka kwenye wasifu kuwa alikuwa jambazi? Acha kupulizia kinyesi perfume.
Sasa wasifu unafuta historia?
Hayo ya kuwafariji wafiwa subiri zamu yako ikifika utawafarijiAzungumze mambo ya kuwafariji wafiwa. Hatutaki mambo ya kujitwalia faida za kibinafsi kwenye misiba ya wengine. Kama ana kiu ya siasa, asubiri akufe yeye ndiyo alete siasa kwenye msiba wake.
ni kweli wala hakuja jioyaMungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa