Unaongea uharo Israel ana umakini gani zaidi ya kuuwa watoto na wanawake na kulipua majengo.kupiga nchi sio kitu kidogo ndugu, kuna maumivu na liabilities nyingi, na kuna allies wa dui yako pia, ukifanya mchezo vita inaweza kuwa ya muda mrefu, ni muhimu kuwa makini kama israel alivyo.
Iran atapotea ni suala la muda, unapopigana na jeshi lenye ndege bora, na nuclear hakuna namna ambavyo unaweza kushinda vita. Vita ni vita nchi moja ikizidiwa lazima tactical nuclear bomba zitumike.kupiga nchi sio kitu kidogo ndugu, kuna maumivu na liabilities nyingi, na kuna allies wa dui yako pia, ukifanya mchezo vita inaweza kuwa ya muda mrefu, ni muhimu kuwa makini kama israel alivyo.
America lazima wawaburuze hao wabunge barabarani, sababu hao hawawakilishi wamarekani wanawakilisha Israel.Wamestuka raia suala la muda tu.
View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1816205797921108390?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mijinga kweli hio nidharau kubwa sana aisay mtu anakutukana nyumbani kwako, anawaita ndugu zako, watoto zako Iran Idiots, hi hata Lesotho hawawezi kukubali.Yanatukanwa yanashangilia😀
View: https://x.com/qudsnen/status/1816185689723318354?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mijinga kweli hio nidharau kubwa sana aisay mtu anakutukana nyumbani kwako, anawaita ndugu zako, watoto zako Iran Idiots, hi hata Lesotho hawawezi kukubali.
Maneno yake ni kweli kabisa,nadhani wamarekani kama bado wamelala hawashtuki hapo basi hawatashtuka maisha yao. American ni watumwa wa Israel.
Shujaa wa Marekani leo ni huyu peke yake ndiyo alikuwa anapinga.Maneno yake ni kweli kabisa,nadhani wamarekani kama bado wamelala hawashtuki hapo basi hawatashtuka maisha yao. American ni watumwa wa Israel.
Israhell ya kwenye media inatisha sana kuliko hii iliopo Capitol
Netapaka anadhani huu mwaka 1900s huko pole yake
Uwezo wa kuipiga Iran kwasasa hawana wakijaribu yeye anajua na americant wanajua kama watachakaa mbaya mbovu
Paka kalia lia weee hana lamaana aliloliongea anahangaika tuuu
Sababu yakuishambulia Iran aliishaipata walipowatwanga kwa missile na drones mbona hawakujaribu kama wanauwezo na mipango ishakua tayari
Aendee akapambane na watoto wanawake na nyumba za ibada ghaza Iran washaishindwa
Hakuna anaeweza kuishambulia Iran wanajua watachakaa
Bunge lote liko chini ya kuhudumia waisrael sio wamarekani, wananchi kule wanalipa kodi zinaishia Israel tena kwenda vunja majumba na kuwauwa watoto, wanawake na wazee.
Maneno yake ni kweli kabisa,nadhani wamarekani kama bado wamelala hawashtuki hapo basi hawatashtuka maisha yao. American ni watumwa wa Israel.
Yatukanwa yanapiga makofiBunge lote liko chini ya kuhudumia waisrael sio wamarekani, wananchi kule wanalipa kodi zinaishia Israel tena kwenda vunja majumba na kuwauwa watoto, wanawake na wazee.
Kumbe Israel ina marafiki zake WA KIARAB?
Safi sana huyo katoa point lazima wamarekani wa amke hio ni dharau kubwa sana kwa nchi yao.
Ming'ombe kweli afu inashangilia 😄Yatukanwa yanapiga makofi
View: https://x.com/suppressednws/status/1816182491092582616?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
saudi arabiaKumbe Israel ina marafiki zake WA KIARAB?