Hotuba ya Netanyahu anaishtaki Iran katika Congress waingie vitani

Hotuba ya Netanyahu anaishtaki Iran katika Congress waingie vitani

Israhell ya kwenye media inatisha sana kuliko hii iliopo Capitol
Netapaka anadhani huu mwaka 1900s huko pole yake
Uwezo wa kuipiga Iran kwasasa hawana wakijaribu yeye anajua na americant wanajua kama watachakaa mbaya mbovu
Paka kalia lia weee hana lamaana aliloliongea anahangaika tuuu
Sababu yakuishambulia Iran aliishaipata walipowatwanga kwa missile na drones mbona hawakujaribu kama wanauwezo na mipango ishakua tayari
Aendee akapambane na watoto wanawake na nyumba za ibada ghaza Iran washaishindwa
Hakuna anaeweza kuishambulia Iran wanajua watachakaa
Wewe ni mpumbavu. Unfikiri vita unaua kuanzia kipepeo mpaka mimba
 
Mnaiponda Israel na bado mnafuatilia mambo yake?
 
Hawa jamaa nao wanalialia sana na misaada juu.Taifa teule ni deceptive sana na ujanjaujanja mwingi. Hawa na Ukraine kwa kulialia na kuomba misaada ni kitu kimoja. Taifa teule linakosa viwanda vyake watengeneze vyuma wawe na independent policy??? Kutwa kuchwa wako Washington DC - capital hill - waki-lobb - lobb tu...Mpaka lini??
 
Yakiwakuta msije sema anauza watoto, Houthi wamebep wamepigiwa wametoa mlio. Irani anajua balaa lake. Siku akifatwa Mazima msilie
Endelea kuota hivyo hivyo
Angekua na ubavu dhidi ya Iran alikua kaishapata kila sababu ya kwenda kumtwanga
Houthi kwakua kaona anaweza angalau kukabiliana nao japo kwaushirikiano na shoga zake wote tumeona
Siku wale taifa la mashoga na wasagaji watakayo jaribu kuigusa Iran ndio siku mtakayo tafuta walikuepo eneo gani pale ME
Yaani waligusa Iran pale Syria tu moto wake wakapelekewa huko huko kwao
Anaeweza kuipiga Iran ni Israhell ile ya kwenye media hii ya capitol ipambane na wamama watoto na majengo pale ghaza
 

Hotuba ya paka imekosa mvuto haeleweki anataka nini
Nguvu tulizoaminishwa anazo zimezidi kujidhihiri kwamba uongo na uzandiki
Halafu kuna watu watakuja kukwambia Israhell anaimudu Iran walivyo wajinga
Wakati mwenyewe kadhihirisha kama haiwezi Iran mpaka anataka waunde muungano dhidi ya Iran ndio wamkabili ila nikwamba huo muungano dhidi ya Iran umeishakufa kabla haujazliwa
Iran imetajwa mara nyingi zaidi kwenye mipasho ya paka kuliko hata hako kataifa ghushi
Israhell anaivuta Americant dhidi ya Iran ila Americant imestuka na inamuogopa Iran na Israhell hii ya capitol kusimama na Iran haiwezi hata dakika tatu
 
Mashariki ya Kati inaenda kuwaka moto!
Endeleeni kuota hivyo hivyo
Labda Iran ipigwe na tetemeko la ardhi yote halafu western na pandikizi lao israhell wawashe moto
Axis if resistance aloiunda Iran imeonekana kuzaa matunda nandio maana paka kaenda kuishtaki kwa sponsa ila sponsa mwenyewe nae anaogopa
Sponsa kambi zake zinatwangwa kakaa kimya sponsa kashindwa kuzuia meli zinazoelekea kwa mwanawe sababu ya Axis ilikua formed na Iran
Mashariki ya kati hapo pako vile vile Israhell imeundiwa mazengwe hapo hapo uwani kwake wanamnyima amani anashindwa afanye nini
Ila tuupe muda nafasi muda ndio muamuzi mzuri
 
Wanakumbi.

Kila kitu kiko tayari kwa vita dhidi ya Iran - Benjamin Netanyahu

Netanyahu alipokea shangwe (moja ya WENGI) wakati wa hotuba yake kwa Congress:

"Dunia yetu iko katika hali ya msukosuko. Katika Mashariki ya Kati, mhimili wa ugaidi wa Iran unaikabili Marekani, Israel na marafiki zetu wa Kiarabu. Huu sio mgongano wa ustaarabu. Ili nguvu za ustaarabu zishinde, Umoja wa Nchi na Israeli lazima zisimame pamoja.


View: https://x.com/warintel4u/status/1816179472854638910?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Armagadon war loading, the end is near
 
Iran atapotea ni suala la muda, unapopigana na jeshi lenye ndege bora, na nuclear hakuna namna ambavyo unaweza kushinda vita. Vita ni vita nchi moja ikizidiwa lazima tactical nuclear bomba zitumike.
Munazidi kujidhihirisha kwamba israhell ya kwenye media ni bora kuliko hii ya Capitol
Hakuna wakuipoteza Iran endeleeni kujidanganya
Anaeweza kuipoteza Iran ni Mungu pekee na wairan wenyewe
Ombeeni Iran kinuke ndani kwao wenyewe ila kwa nguvu za kijeshi mnangojea sana
Eheee tuipe muda gani Iran kabla ya kupotea kwake?
 
Hili jukwaa lina majinga mengi sn hasa mavaa kubazi hivi nyie waabudu shetani allah na majini yake mnaweza kuwa na ufahamu kuliko congress ya marekani kwmb nyie mgundue netanyahu kawatukana halafu wao wasngundue hlo? Fichen ujinga hli jukwaa limekuwa la hovyo sn kwan limevamiwa na watu wenye mihemko ya udini knachonishangaza issue ya ushoga inaonekana eti wazungu ndiyo wanafanya na wakristo ajabu hapa tz tu mikoa yote ya pwan yenye waislam wengi huko ndko kumejaa machoko nenda tanga, dsm nk nadhan tatzo limekuja wazungu wao kuwa na utamadun wa kuweka waz mambo yao na kuona ni sawa tu tofauti na waarabu wao wana sheria zao za dini ktendo cha kuweka waz ushoga unaliwa kchwa bt haimaanish uarabun hakuna mashoga tena yapo mengi ya kutosha iktokea nao wakawa wawaz kama wazungu bs tutegemee machoko meng sn huko arabun kuzd wazungu. Mjikte kwny hoja achen mihemko ya dini hapa.
 
Hao congress mashoga watupu wamepitisha sheria za wanaume kuona tenq Kanisani si bora nile mirungi Kenya ruksa watu wapo fresh wewe si upinde lazima uone sawa kupigwa miti.
Mombasa watu wanakula mirungi sana lakini wanafirwa hao 🤣
 
Kapima kaona Iran siyo Gaza unauwa watoto na wanawake hawana silaha zozote taifa teule linaomba msaada ajichanganye kwa Iran waone kama wataenda beach tena Tel Aviv.
Ingia ndani kabisa mwa akili yako chief, Parestina isipopata watetezi, lengo la ndani la ISRAEL ni kuifuta yote
 
Back
Top Bottom