Hotuba ya Netanyahu anaishtaki Iran katika Congress waingie vitani

Hotuba ya Netanyahu anaishtaki Iran katika Congress waingie vitani

Hili jukwaa lina majinga mengi sn hasa mavaa kubazi hivi nyie waabudu shetani allah na majini yake mnaweza kuwa na ufahamu kuliko congress ya marekani kwmb nyie mgundue netanyahu kawatukana halafu wao wasngundue hlo? Fichen ujinga hli jukwaa limekuwa la hovyo sn kwan limevamiwa na watu wenye mihemko ya udini knachonishangaza issue ya ushoga inaonekana eti wazungu ndiyo wanafanya na wakristo ajabu hapa tz tu mikoa yote ya pwan yenye waislam wengi huko ndko kumejaa machoko nenda tanga, dsm nk nadhan tatzo limekuja wazungu wao kuwa na utamadun wa kuweka waz mambo yao na kuona ni sawa tu tofauti na waarabu wao wana sheria zao za dini ktendo cha kuweka waz ushoga unaliwa kchwa bt haimaanish uarabun hakuna mashoga tena yapo mengi ya kutosha iktokea nao wakawa wawaz kama wazungu bs tutegemee machoko meng sn huko arabun kuzd wazungu. Mjikte kwny hoja achen mihemko ya dini hapa.
Wewe punguani unaandika uharo mwingi kuna nani ana muda wa kusoma labda upinde wenzako.


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1816294800544391673?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Leo zaidi ya miaka 70 wameshindwa kuifuta Palestina umri wako mdogo hujui lolote zaidi ya ushabiki mandazi.
Kutoka 23:30-33

30 Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, hata utakapoongezeka wewe, na kuirithi hiyo nchi.

31 Nami nitakuwekea mpaka wako tangu Bahari ya Shamu hata bahari ya Wafilisti, tena tangu jangwani hata huo Mto; kwa kuwa nitawatia wenyeji wa nchi mkononi mwako; nawe utawafukuza mbele yako.

32 Usifanye maagano pamoja nao, wala pamoja na miungu yao.

33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya kunitendea mimi dhambi; kwa sababu ukiitumikia miungu yao, jambo hili halikosi litakuwa ni tanzi kwako.
 
Kutoka 23:30-33

30 Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, hata utakapoongezeka wewe, na kuirithi hiyo nchi.

31 Nami nitakuwekea mpaka wako tangu Bahari ya Shamu hata bahari ya Wafilisti, tena tangu jangwani hata huo Mto; kwa kuwa nitawatia wenyeji wa nchi mkononi mwako; nawe utawafukuza mbele yako.

32 Usifanye maagano pamoja nao, wala pamoja na miungu yao.

33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya kunitendea mimi dhambi; kwa sababu ukiitumikia miungu yao, jambo hili halikosi litakuwa ni tanzi kwako.

View: https://x.com/hzomlot/status/1816243103314890970?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hili jukwaa lina majinga mengi sn hasa mavaa kubazi hivi nyie waabudu shetani allah na majini yake mnaweza kuwa na ufahamu kuliko congress ya marekani kwmb nyie mgundue netanyahu kawatukana halafu wao wasngundue hlo? Fichen ujinga hli jukwaa limekuwa la hovyo sn kwan limevamiwa na watu wenye mihemko ya udini knachonishangaza issue ya ushoga inaonekana eti wazungu ndiyo wanafanya na wakristo ajabu hapa tz tu mikoa yote ya pwan yenye waislam wengi huko ndko kumejaa machoko nenda tanga, dsm nk nadhan tatzo limekuja wazungu wao kuwa na utamadun wa kuweka waz mambo yao na kuona ni sawa tu tofauti na waarabu wao wana sheria zao za dini ktendo cha kuweka waz ushoga unaliwa kchwa bt haimaanish uarabun hakuna mashoga tena yapo mengi ya kutosha iktokea nao wakawa wawaz kama wazungu bs tutegemee machoko meng sn huko arabun kuzd wazungu. Mjikte kwny hoja achen mihemko ya dini hapa.
Naona mnaanza kuteteana watu wa rangi rangi
Ngojea tuwaambie nyie mnaojiita wapenda demokrasia sio kama mmeanua kuwa wawazi nikwamba mumeamua kuhalalisha huo ujinga wenu kwa nguvu zote nandio maana mnatumia nguvu kubwa sana kuutetea na kuwapiga vita wanaoupinga mpango wenu
Poleni sana ushapata baraka tayari maana mpaka chachi nao mnapeana tu baraka mlivyokua vilaza asee dah🤔
 
Hayawezi kuzuia kitu nani alikuwa anajua kama jeshi la Israel no dhaifu leo mwezi wa 10 wameshindwa hata kuokoa mateka wao Gaza ni ndogo zaidi ya Kigqmboni. Leo hii Netanyahu kashtakiwa muualifu wa vita leo Palestina Ulaya inaitambua kama taifa.
Mkuu, nimeishasema hivi, Israeli lengo lake siyo mateka, lengo ni kuitanua nchi yake, na sababu ya kufanya hivyo kimyakimya ni mgongo wa mateka

Mateka anajua sana walipo, ila akiwaokoa atakosa sababu ya kuendelea na mpango wake mkuu, hao mateka ni mtaji wa utetezi wake kwa mataifa kaa ukijua
 
Mkuu, nimeishasema hivi, Israeli lengo lake siyo mateka, lengo ni kuitanua nchi yake, na sababu ya kufanya hivyo kimyakimya ni mgongo wa mateka

Mateka anajua sana walipo, ila akiwaokoa atakosa sababu ya kuendelea na mpango wake mkuu, hao mateka ni mtaji wa utetezi wake kwa mataifa kaa ukijua
Ndio point mnayojifichia hii ila ishachuja tayari
Paka alisema kwamba hata mateka wakikombolewa ila lengo kuu nikuiondoa hamas
Inamaana hata akikomboa mateka ingawaje hawezi bado mpango wa kuifuta hamas upo pale pale ingawaje kuifuta hamas asahau
Mpaka sasa miaka zaidi ya kumi vita imemshinda maana hamas wanapigana kila upande
Israhell ya kweye media inatisha kuliko hata hii ya Capitol
 
Ndio point mnayojifichia hii ila ishachuja tayari
Paka alisema kwamba hata mateka wakikombolewa ila lengo kuu nikuiondoa hamas
Inamaana hata akikomboa mateka ingawaje hawezi bado mpango wa kuifuta hamas upo pale pale ingawaje kuifuta hamas asahau
Mpaka sasa miaka zaidi ya kumi vita imemshinda maana hamas wanapigana kila upande
Israhell ya kweye media inatisha kuliko hata hii ya Capitol
Point..! Kwenye kutimiza lengo sasa ni juu yake! Ila kilichojificha ndani ya myahadi ni kuifanya Gaza iwe Israel
 
Wanakumbi.

Kila kitu kiko tayari kwa vita dhidi ya Iran - Benjamin Netanyahu

Netanyahu alipokea shangwe (moja ya WENGI) wakati wa hotuba yake kwa Congress:

"Dunia yetu iko katika hali ya msukosuko. Katika Mashariki ya Kati, mhimili wa ugaidi wa Iran unaikabili Marekani, Israel na marafiki zetu wa Kiarabu. Huu sio mgongano wa ustaarabu. Ili nguvu za ustaarabu zishinde, Umoja wa Nchi na Israeli lazima zisimame pamoja.


View: https://x.com/warintel4u/status/1816179472854638910?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Vita na iran si aingie mwenyewe, kuomba alliace ya nini wakati sababu za kuingia vitani anazo, alishambuliwa na iran with missile and drones katika ardhi yake

Awe kama russia, akiamua kulianzisha analianzisha kivyake vyake tu
 
Mkuu, nimeishasema hivi, Israeli lengo lake siyo mateka, lengo ni kuitanua nchi yake, na sababu ya kufanya hivyo kimyakimya ni mgongo wa mateka

Mateka anajua sana walipo, ila akiwaokoa atakosa sababu ya kuendelea na mpango wake mkuu, hao mateka ni mtaji wa utetezi wake kwa mataifa kaa ukijua
Hilo lengo kashindwa toka 1947 ataweza leo.
 
Back
Top Bottom