Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

kuna baadh ya sifa hapo hata dr fastjet anazo....uvivu,uchaw,kuowa wake wengi, uswahl swahili
 
I am very sad to agree with this and some of what we he said. Just llok at how many Bastards we have in Tanzania. Just look at how many polygamists we have in Tanzania, what for! Cruel but true!
Just imagine how CCM are destroying our beautiful Tanzania. They are now killing our people with bombs. Shit!!
 
Botha naye kapigilia msumari japokuwa inauma lakin ndo ukweli wenyewe mfano huko mapolisi yanauwa watu tu....
 
"Our only fear is in case such stuff came in! ! to their hands as they are bound to start using it against us....."

Pamoja na dharau zote lakini alikua anawaogopa pia. Kelele zote hizo ilikua ni kwasababu ya kukaliwa vibaya. Kama waafrica walishinda utumwa ule na mateso yake, huu ukoloni mamboleo tuupe muda kidogo tu!
 
mbona ndivo ilivo-hotuba ya Botha kwangu ni changamoto na sio dhihaka
 
😱 I wonder % ya 'wazungu' wengine wanatufikiriaje na wao na maskendeli yetu kila kukicha as if "weusi" ni 'vichwa' vya wendawazimu!!!!

Kwani hao Wadhungu hawanaga maskendeli?
 
Sure, alikuwa mbaguzi na tena hakujua kila jambo lina mwisho. Hata MA CCM wajue hili.
 
Umeathirika na fikra za kitumwa. Pole sana!
 
Jamaa alitoa speech utafikiri alikuwa anawachambua CCM ya akina Nape na Mwigulu...wamepewa bunduki wanaishia kuua Raia wasiokuwa na hatia...wanadhihirisha kwa kila hali kuwa CCM ni alama ya umasikini na njaa...jamaa hakukosea hata chembe kwani analysis yake imelandana na CCM mwanzo mwisho...
 
Hii speech imekaa kibaguzi sana, japo kuba facts ambazo kimoyomoyo unajua kabisa zimekugusa na huwezi kukana!
 
Hii speech imenifanya nitetemeke.

Huyu mtu alikuwa na roho mbaya sana, kuliko hata shetani
 
Botha ni zaidi ya noma,ubaguzi wake hata shetani nafikiri aligoma kupiga collabo.
Ila kuna mazito kaya ainisha still wabongo tunayafanyia kazi. AIBU
 
i think hata shetani kuna watu nae anawaogopa na mmojawapo ni huyo msheee..nzi botha,hakustahili msamaha...
 

Usipende kulalamika sana, wewe binafsi umechukua hatua gani kuondokana na hali hii?
 
Ili sio swala mtu binafsi kuchukua hatua ni watanzania wote kwa ujumla.
 
.
.
.
.
.
.

.
By
now every one of us has seen it
practically that the Blacks cannot
rule themselves. Give them guns
and they will kill each other........
...........
dah.......kweli sana,cheki operation tokomeza ujangili,
 
.
.
.
.
.
.

.
By
now every one of us has seen it
practically that the Blacks cannot
rule themselves. Give them guns
and they will kill each other........
...........
dah.......kweli sana,cheki operation tokomeza ujangili,

Dude, p'se stop scratching your crotch in public; take action, dont cry!
 
Wakubwa naomba mwenye Hotuba ya gwiji la kikaburu Botha aitupie hapa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…