Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Mumbai son,do you know what was the constructive engagement policy?
 
A bitter truth, blacks can not rule themselves, all they care is marrying many women, making noise, singing and dancing (look at Jacob Zuma, a post apartheid South African President) 🙁
 
Hotuba hii ndiyo itakuwa imesababisha Julius Malema afukuzwe ANC, atakuwa aliisoma hotuba hii na kuielewa.
 
Leo hii JK anawalamba miguu na makalio kama hana akili nzuri wanapiga piga risasi ndugu zetu kwenye migodi huko mnawapa mikataba ya kuchimba madini mnashindwaje kuweka sheria za kuwalinda wazawa?


White citizens, do not take to heart what the world says, and don't be ashamed of being called racists. I do not mind being called the architect and King of Apartheid. I shall not become a monkey simply because someone has called me a monkey. I will still remain your bright star...His Excellency Botha.
 
This is just a hoax...Botha hakuwahi kutoa hiyo speech,iko siku nyingi tuu all over the net.
 
This is just a hoax...Botha hakuwahi kutoa hiyo speech,iko siku nyingi tuu all over the net.

Kuna mahali Botha alikanusha kuwa hakuwahi kutoa hiyo speech? Ni matumani yangu kuwa utadhibitisha hili kuwa alikanusha kwa ushahidi wa kuaminika.
 
UKWELI UNATESA NA DAIMA HAUTAFUTIKA
"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence"

Nikiitazama selikali yetu ya CCM hakika inatupeleka pabaya kwa yafuatayo(Baadhi)
1. Hivi kweli no way yakutafuta vyanzo vingine vya mapato bali ni Sigara, pombe, soda? (Kwa nini nimsiongezi kodi ya mahoteli yaliyo mengi kandokando ya bahari hindi? Au kwa vile ni yenu?
2. Inakuwaje muwe mnapiga makelele tu bungeni(CCM) na tena kwa kenjeri kwa mambo ya maana kabisa kwa wananchi walio wengi mnayapinga ili kubebena kwa masilahi yenu binafsi?
3. Hamtaki hata siku moja reli ya kati ifufuke ili muendelee kusafirisha mizingo na watu kwa kutumia magari yenu? Hii ni kweli ili uwe tajiri lazima uwe kigogo CCM au serikalin kama siyo uisupport CCM!!
4. Mumehujumu ndenge za wananchi ili ndenge zenu zitumike kusafirishia mizingo na nynyi mfaidike. Hii siyo lazima uimiliki ndenge kwa aslimia 100 bali wengi wenu mmewalizamisha wawekezaji na nyinyi mwe na hisa!!
5. Hivi ni vegezo gani vilitumika kuzigawa campas za UDSM kama siyo siasa na nyinyi kupeana mashavu ili mtawale vizuri??
6. Wazungu wamewarubuni na kuwalazimisha mliondoe somo la historia mashuleni ili wadogo zetu na watoto wasijue historia ya nchi yao na ubaya wa hawa mnaoenda kuomba msaada kwao-Siasa za CCM na serikari yake ndo zimetufikisaha hapa
7. Elimu ya degree sasa haina thamani tena kwa sababu ya wendawazimu wetu(Laana hii alitupa Mwinyi), Mimi sikatai mtu asisome sana lakini si kunamitihani jamani serikari na mtu akifauru si ndiyo anatakiwa kuendelea na aliyefail kutafuta njia nyingine ya kujiendeleza, au mimi uelewa wangu ni mdogo kitu ambacho sikiamini!! Hii yote mmeifanya nyinyi ili vyuo vyenu vipate pesa na nyinyi kuneemeka na bodi ya Mikopo. Sasa mmeshiba hamtaki tena bodi itoe 100 asilimia hata kwa watoto yatima!!!!
8. Mlivipeleka wapi viwanda vyetu vilivyokuwa vyanzo vikubwa vya mapato??-Hii itabidi tumuulize Mkapa anayejiita Mtaalamu wa utandawazi na huku nchi yake ni Masikini
9. Hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini watanzania wengi wanatumia simu za kichina na tena hazina ubora, hazidumu! ni nani hasa anaziingiza Tz??
10. Na kwa nini Dar Es Salaam watu wananjenga ovyovyo na selikari ya CCM haichukui hatua yakinifu ya kutatua tatizo hili?? Jibu ni dogo sana hapa ni Haithamini kizazi kichanga na kijacho.

Haya kumi yanatosha kwa leo, lakini jiulize, Kwa nini CCM wanateteana sana pale masilahi yao yanapoonekana kuguswa?? Kwa nini serikari haihimizi watu kupanda miti na huku inaona miti inavyoteketezwa na wengi waliomasikini, Madhara yake ni makubwa sana kwa kizazi kichanga na kijacho??
Na hii ndiyo maana ya sisi kuwa Low material of white Man

Sory kwa wataalamu wa kiswahili naweza kuwa nimekosea kuweka maneno vizuri

MNAHUJUMU INCH KWA MANUFAA YA KIZAZI CHENU-MUNGU HAPENDI HAYA NA ATAWAADHIBU
 
attachment.php
 
Kimweli na Wana JF,
Ukikaa chini na kuyatafakari hayo maneno ni Makali sana yenye Ukweli.
Tatizo letu Waafrika wengi wetu hatutaki kabisa kufikiria na kutoa maamuzi magumu,
Sina neno aka tatizo na Mila na Utamaduni wetu Waafrika, tuzidi kudumisha Mila na Utamaduni wa Mwafrika, tatizo langu kubwa ni huu Uwezo wa Viongozi wetu wa Kufikiri.
Viongozi wengi wamejaa Tamaa ya kuweka Maslahi ya Matumbo yao, Chama chao na Serikali yao baada ya kuweka Maslahi ya Mtanzania mmoja mmoja na Tanzania kwa ujumla, lakini hakuna lenye Mwanzo lisilo kuwa na Mwisho.
My Take: Maendeleo ya Mtanzania na Tanzania, siku zote yataletwa na Mtanzania na Tanzania.
Nawakilisha



UKWELI UNATESA NA DAIMA HAUTAFUTIKA
"By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence"

Nikiitazama selikali yetu ya CCM hakika inatupeleka pabaya kwa yafuatayo(Baadhi)
1. Hivi kweli no way yakutafuta vyanzo vingine vya mapato bali ni Sigara, pombe, soda? (Kwa nini nimsiongezi kodi ya mahoteli yaliyo mengi kandokando ya bahari hindi? Au kwa vile ni yenu?
2. Inakuwaje muwe mnapiga makelele tu bungeni(CCM) na tena kwa kenjeri kwa mambo ya maana kabisa kwa wananchi walio wengi mnayapinga ili kubebena kwa masilahi yenu binafsi?
3. Hamtaki hata siku moja reli ya kati ifufuke ili muendelee kusafirisha mizingo na watu kwa kutumia magari yenu? Hii ni kweli ili uwe tajiri lazima uwe kigogo CCM au serikalin kama siyo uisupport CCM!!
4. Mumehujumu ndenge za wananchi ili ndenge zenu zitumike kusafirishia mizingo na nynyi mfaidike. Hii siyo lazima uimiliki ndenge kwa aslimia 100 bali wengi wenu mmewalizamisha wawekezaji na nyinyi mwe na hisa!!
5. Hivi ni vegezo gani vilitumika kuzigawa campas za UDSM kama siyo siasa na nyinyi kupeana mashavu ili mtawale vizuri??
6. Wazungu wamewarubuni na kuwalazimisha mliondoe somo la historia mashuleni ili wadogo zetu na watoto wasijue historia ya nchi yao na ubaya wa hawa mnaoenda kuomba msaada kwao-Siasa za CCM na serikari yake ndo zimetufikisaha hapa
7. Elimu ya degree sasa haina thamani tena kwa sababu ya wendawazimu wetu(Laana hii alitupa Mwinyi), Mimi sikatai mtu asisome sana lakini si kunamitihani jamani serikari na mtu akifauru si ndiyo anatakiwa kuendelea na aliyefail kutafuta njia nyingine ya kujiendeleza, au mimi uelewa wangu ni mdogo kitu ambacho sikiamini!! Hii yote mmeifanya nyinyi ili vyuo vyenu vipate pesa na nyinyi kuneemeka na bodi ya Mikopo. Sasa mmeshiba hamtaki tena bodi itoe 100 asilimia hata kwa watoto yatima!!!!
8. Mlivipeleka wapi viwanda vyetu vilivyokuwa vyanzo vikubwa vya mapato??-Hii itabidi tumuulize Mkapa anayejiita Mtaalamu wa utandawazi na huku nchi yake ni Masikini
9. Hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini watanzania wengi wanatumia simu za kichina na tena hazina ubora, hazidumu! ni nani hasa anaziingiza Tz??
10. Na kwa nini Dar Es Salaam watu wananjenga ovyovyo na selikari ya CCM haichukui hatua yakinifu ya kutatua tatizo hili?? Jibu ni dogo sana hapa ni Haithamini kizazi kichanga na kijacho.

Haya kumi yanatosha kwa leo, lakini jiulize, Kwa nini CCM wanateteana sana pale masilahi yao yanapoonekana kuguswa?? Kwa nini serikari haihimizi watu kupanda miti na huku inaona miti inavyoteketezwa na wengi waliomasikini, Madhara yake ni makubwa sana kwa kizazi kichanga na kijacho??
Na hii ndiyo maana ya sisi kuwa Low material of white Man

Sory kwa wataalamu wa kiswahili naweza kuwa nimekosea kuweka maneno vizuri

MNAHUJUMU INCH KWA MANUFAA YA KIZAZI CHENU-MUNGU HAPENDI HAYA NA ATAWAADHIBU
 
kule ile paragraph nyingine anauliza,wapi mtu mweusi(muafrika) anaishi kwa raha hapa duniani?why in the hell then is so much noise made about apartheid regime?
aise unaweza kulia
 
Halafu mtu aliyemsamehe huyu na wenzake anaonekana ni shujaa!!!
Kama huyu anasamehewa, nani anastahili hukumu duniani?
 
By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence. Isn't it plausible? therefore that the White man is created to rule the Black man? Come to think of what would happen one day if you woke up and on the throne sat a Kaff*ir! Can you imagine what would happen to our women? Does anyone of you believe that the Blacks can rule this country?

Hivi polisi chini ya utawala wa watu weusi (ANC) wanavyowaua watu weusi wenzao kwa kuwapiga risasi kweli utasema kwamba Botha alitabili uongo? Angalia wanavyoshindana kuua, kuoa, kuibiana, kudharauliana, nk, na hapa Tanzania ndio usiseme maana wakoloni waliondoka hata hawajui kama kuna msitu unaitwa MABWEPANDE! Kweli Botha aliongea maneno makali lakini siyo uongo, tafakali!
 
Hivi polisi chini ya utawala wa watu weusi (ANC) wanavyowaua watu weusi wenzao kwa kuwapiga risasi kweli utasema kwamba Botha alitabili uongo? Angalia wanavyoshindana kuua, kuoa, kuibiana, kudharauliana, nk, na hapa Tanzania ndio usiseme maana wakoloni waliondoka hata hawajui kama kuna msitu unaitwa MABWEPANDE! Kweli Botha aliongea maneno makali lakini siyo uongo, tafakali!

Katika jamii mambo hayo huwezi kuyaondoa kwa äsilimia 100, ila utafanÿa makosa makubwa sana ukifananisha manyanyaso yanayofanywa na polisi kwa raia kwa sababu ya roho mbaya ya kiongozi au polisi na manyanyaso yanayofanywa kwa sababu ni sheria rasmi ya nchi. Enzi za apathaid ubaguzi na kuteswa kwa watu weusi kulikuwa ni sheria rasmi. Ukizaliwa mweusi jiandae kuteseka! hivyo ndivyo ilivyokuwa na hicho ndicho watu walikataa. sheria ikisahweka usawa, kila anayeivunja awe kiongozi au polisi atashughulikwa accordingly...
 
katika hii speech hakuna la uongo kuhusiana na mtu mweusi najua mjinga yeyote anaweza kusema im a self-hating black, mapenzi kwa ngozi yangu hayawezi kunizuia kuona ukweli. napingana na botha kwenye suala la kutokomeza mtu mweusi ni jambo lisilowezekama, we are average and less than positive but we can not be extincted that easy because being white is an accident as being black. hope HIV ni project ya makaburu naona kibao kimegeuka inawashambulia na wao pia.
 
kuna maeneo mengi ktk speech hii Botha yu sahihi kuhusu sisi watu weusi. Tazama tawala zetu.
 
Kuna maneno mengine sikweli, lakini kuna ukweli kuhusu tabia zetu mbaya.
 
Moja ya kauli ya kaburu Botha wa Afrika Kusini karibu mwishoni mwa utawala wa kibaguzi kusambaratika, alisema nukuru inayofuata:



Kauli hii ukiiangalia kwa makini je, kuna ukweli fulani au tumwelewe alikuwa na dharau kwa waafrika? Ni matatizo gani yanayosababisha nchi nyingi za kiafrika kutopiga hatua za kasi kimaendeleo licha ya kuwa na utajiri mkubwa wa mali asili? Ni ukweli kwamba watu weusi wakishapata nafasi huishia kufurahia maisha ya anasa, kuoa wake wengi na kujihusisha na ufuska? Ni kweli tu wavivu? Ni kweli hatuna upeo wa kuona mbali?

Tujadili

Ukiangalia kwa jicho la darubini kali wanayoyafanya viongozi wa kiafrika na wananchi wake, utagundua kuwa, kwa 90%
yuko sahihi ila hana haki ya kutuangamiza maana hata nyumbu porini wanalindwa!

Mimi nimeyachukua maneno ya PW Botha na kuyalinganisha na mfano wa kiongozi mkuu wa nchi yetu, nikaona utafikiri alikuwa ana mwambia Mh. na watanznia kwa ujumla.

Ukitazama wale wanao amini wako wengi Tanzania na uoaji wa wake wengi naona aibu kusema Botha kasema uongo! Hatuwezi kujitawala bali tunaigiza tu ndo maana Mauaji ya Bulyankulu, mauaji na mateso ya Mabwepande, mauaji ya A-town, Igunga, Arumeru, Kipigo cha Kirumba nk, inatia aibu kusema tunaweza kujitawala.
 
Back
Top Bottom