Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

Ukifupa madaraka kijiji tunachotoka lazima Jiwe kama Geneva au Gabollite
View attachment 1200858

In Tanzania Tundu Lissu was shot in a broad day light apart of what is happening in South Africa.
True.south Africa inachofanya now ni upumbavu wa hali ya juu.nimeishi na kufanya kazi gauteng province ila wale jamaa ni wavivu sijawahi ona.wakipata mshahara hawafanyi kazi wanaenda kulewa yote then warudi job.jiulize kwanini watu kwenye professional zao kama doctors, engineers etc kutoka mataifa mengine hawajasumbuliwa?coz south Africans wengi hawajasoma wanataka kazi za kujishikiza
 
In Tanzania Tundu Lissu was shot in a broad day light apart of what is happening in South Africa
Nilijua tu unatafuta pa kumpaisha Tundu Lissu
Usa watu wanauawa mchana kweupee,na ndio mnamwira baba wa demokrasia
Siku mtakapogundua kuwa ulikua ni mpango wa chadema ili kuichafua serikali,mtalia sana na kusaga meno
 
Hicho ni kipande kidogo sana ulichokikariri.
Hotuba hiyo ya kibaguzi, ilijumisha pia waarabu.

Alisema waafrika na waarabu hawafai kabisa kujitawala na ukiwapatia silaha watauana wao kwa wao, ukiwapatia madaraka watapendelea ukabila, kuhujumu mali ya umma nk nk.

Lakini yote kwa yote, je yaliyosemwa na huyo kaburu, yana ukweli gani ama ni ya uongo mtupu?
 
True.south Africa inachofanya now ni upumbavu wa hali ya juu.nimeishi na kufanya kazi gauteng province ila wale jamaa ni wavivu sijawahi ona.wakipata mshahara hawafanyi kazi wanaenda kulewa yote then warudi job.jiulize kwanini watu kwenye professional zao kama doctors, engineers etc kutoka mataifa mengine hawajasumbuliwa?coz south Africans wengi hawajasoma wanataka kazi za kujishikiza
Maisha ya wa South Africa ni kama ya black Americans wengi walizaliwa Baba zao wakiwa jela na wameanza kuuza madawa wakiwa bado vijana. Wengi dream yao ya Kitiona ni kuwa wanamuziki kama wakina Michael Jackson au boxers kama Mohamed Ali. Ila hawataki kusoma.

Wakiona Wanigeria na Waghaba wanasisitiza watoto wao wasome wivu unawajaa.

South African walikuwa nurtured kumtumikia mzungu. Sasa mentality yao kumtumikia mweusi mwenzao ni matusi makubwa sana.
 
Mr
Hicho ni kipande kidogo sana ulichokikariri.
Hotuba hiyo ya kibaguzi, ilijumisha pia waarabu.

Alisema waafrika na waarabu hawafai kabisa kujitawala na ukiwapatia silaha watauana wao kwa wao, ukiwapatia madaraka watapendelea ukabila, kuhujumu mali ya umma nk nk.

Lakini yote kwa yote, je yaliyosemwa na huyo kaburu, yana ukweli gani ama ni ya uongo mtupu?
Mfano mtoto wa dada ni paymaster general
 
Kuna senator aliyepigwa risasi marekani mchana ndani ya viunga vya senate?
Kwa hiyo wewe unachagua watu wa kupigwa risasi unawapa unuhinu,wale wengine kwako ni kama kuku tu
Nakukumbusha marekani wana historia ya kupiga risasi hadharani marais wawili
Vipi sister,ushafika JKN Airport kumpokea tundu lissu?
 
Mr
Mfano mtoto wa dada ni paymaster general
Mkuu umebonyeza sana, unatakiwa kupapasa papasa tu katika kuoperate. Unajua hivi vifaa vya kielectronic katika matumizi, usipende kubonyeza kwa nguvu sana, button zake siyo imara, ni rahisi kuharibu.
Aaah Sky Eclat mwenyewe!
 
Kweli kabisa, sisi ni nyani tulitakiwa kuwa porini tunakula matunda na mizizi
 
Hicho ni kipande kidogo sana ulichokikariri.
Hotuba hiyo ya kibaguzi, ilijumisha pia waarabu.

Alisema waafrika na waarabu hawafai kabisa kujitawala na ukiwapatia silaha watauana wao kwa wao, ukiwapatia madaraka watapendelea ukabila, kuhujumu mali ya umma nk nk.

Lakini yote kwa yote, je yaliyosemwa na huyo kaburu, yana ukweli gani ama ni ya uongo mtupu?

..................Sijui kama nitakuwa nimekuelewa vizuri but nitajaribu,so mkuu unaificha wapi sura yako wewe mtu mweusi kuyakimbia hayo maneno kutokana na yanayoendelea hapo south Africa?

Wenzetu waarabu walishayatimiza muda mrefu refer vita huko Somalia na Syria etc ila huu ni wakati wa ngozi nyeusi kuonyesha ushenzi wake kubali au kataa.
 
Chadema ni noma. yaani waikataze hadi polisi kufanya uchunguzi wa tukio. hebu ficha ujinga wako japo kidogo ndugu.
Nilijua tu unatafuta pa kumpaisha Tundu Lissu
Usa watu wanauawa mchana kweupee,na ndio mnamwira baba wa demokrasia
Siku mtakapogundua kuwa ulikua ni mpango wa chadema ili kuichafua serikali,mtalia sana na kusaga meno
 
Me nadhani ni dhana isiyo sahihi kabisa.

Jamii zinabadilika sana. Civilization ni mchakato mrefu sana, hata Afrika inayopitia leo ni njia kuelekea kustaarabika kwa jamii. Unapokubaliana na botha kuwa africans ni wabaguzi, wauaji, jiulize kuna mtu aliyefanya ushenzi kama mzungu kipindi cha Utumwa? Unakumbuka Civil War US ilitokana na nini? Tunahitaji kumkubusha Botha juu ya Vita ya kidini ufaransa? Kuna muafrika aliyemuua myahudi duniani? Wayahudi waliochinjwa Ufaransa, na ujerumani waliuliwa na waafrika?

Kinyume chake, dunia nzima inajua kuwa migogoro ya kiafrika mingi inatokana na ushetani wa hali ya juu walio nao hao kina Botha. Wazungu hawa waliotengeza chuki dhidi ya wahutu na watusi kule Rwanda, wana haki gani ya kunyooshea kidole waafrika? Walipoharibu umoja wa Rwanda na kuunga mkono makundi ya waasi, waliombwa wazime kituo cha radio cha kichochezi, wakagoma kwa sababu tu eti inacost dola ef 8 kwa saa, hawa ndio wanajua thamani ya humanity? Huko afrika kusini ni nani aliyewabagua weusi, kuwagawa na kutumikisha hadi leo wamekuwa wageni kwenye nchi yao?

Ni muhimu waafrika tuwe na fikra sawa sawa. Huwezi muona yuko sahihi anayesema waafrika ni wabaguzi hawawezi jitawala, wakati mtu huyo ndiye aliyewavamia kimabavu, akaharibu mifumo yao ya utawala, akaharibu elimu yao, akaharibu uchumi wao, akaharibu mifumo yao ya utawala, akawatengenezea matabaka kati yao, akawajengea chuki kati yao akawapa na silaha wauwane kisha awaibie mali na kuwatawala. Ni mtu asiyefikiri na kujua jamii za wazungu zimetoka wapi, ndio ataona kauli ya Botha iko sawa sawa. Kimsingi ni dhihaka, ni sawa na mtu anayekukata miguu halafu anakucheka huwezi panda mti kuangua matunda.
 
"Whites are not human being, they are hybrid of man and demons" wasituzingue kwani hizo silaha zinapatikana wapi wasituletee habari za kukata pua ili kutengeneza sura. wenyewe ndio wafadhili wa hayo matukio.
watu kama waasi wanaishi porini wakipigana na serikali, je, pesa za kuendesha vita wanazitoa wapi?
watu weupe waliikuta afrika njema kabisa hatukuwa tukifahamu bunduki wala pesa ushetani huu wametuletea wao ili Leo hii watuseme hatuna weledi wa uongozi!
mbona enzi za machifu hakukuwa na upuuzi wao huu?
wanajiita baba wa haki za binadamu! mbona malkia Elizabeth amekaa madarakani sijui mpaka lin? Gaddafi wakamuua wakidai ni dikteta. duuu Ila mambo in mengi mi mzungu namchukia
 
"Whites are not human being, they are hybrid of man and demons" wasituzingue kwani hizo silaha zinapatikana wapi wasituletee habari za kukata pua ili kutengeneza sura. wenyewe ndio wafadhili wa hayo matukio.
watu kama waasi wanaishi porini wakipigana na serikali, je, pesa za kuendesha vita wanazitoa wapi?
watu weupe waliikuta afrika njema kabisa hatukuwa tukifahamu bunduki wala pesa ushetani huu wametuletea wao ili Leo hii watuseme hatuna weledi wa uongozi!
mbona enzi za machifu hakukuwa na upuuzi wao huu?
wanajiita baba wa haki za binadamu! mbona malkia Elizabeth amekaa madarakani sijui mpaka lin? Gaddafi wakamuua wakidai ni dikteta. duuu Ila mambo in mengi mi mzungu namchukia
[emoji3]. Nashangaa Daktari msomi kabisa anakubaliana na fikra za hovyo zs Botha.
 
Back
Top Bottom