Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Mh. Askofu Gwajima kapewa nafasi ya kushukuru hotuba ya Rais kwa niaba ya wabunge,,,,
Mdee kazima tv yake hahahahah!
"...hakuna beberu atakayekupenda kwa projection ya hii hotuba yako...." Mh. Gwajima (MB)
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Gwaj anasema kumrushia mawe kila mbwa anayekubwekea ni ujinga😁
 
I had to sign in just to like your comment
You have spoken the truth
 
Mh. Askofu Gwajima kapewa nafasi ya kushukuru hotuba ya Rais kwa niaba ya wabunge,,,,
Mdee kazima tv yake hahahahah!
"...hakuna beberu atakayekupenda kwa projection ya hii hotuba yako...." Mh. Gwajima (MB)
Kwanini azime? Uko nae hapo au?
 
Lisu alikataa cheo ,

Umejuaje kama anaenda kuchongea?
Au kuna madhambi yalifanyika mnaogopa yasijulikane?
Tulueni eidha vikwazo tuwe kama Zimbabwe au Nguvu za jeshi la NATO tuwe kama Libyan
Gaddafi alikua mbabe kuliko jiwe mwisho wake ona hapo chini
 

Attachments

  • Screenshot_20201104-134000.jpg
    69.4 KB · Views: 2
Bunge limetulia, amani tele, wazee wa bongo muvi wa kuzira na kutoka nje ya bunge bada ya kusaini per diem leo hakuna.......hakika Mungu anaipenda Tanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…