Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

Dah...Hivi Bwana Robati na mteja wake watakuwa wanaangalia? [emoji2960]
 
Kamanda yuko kazini ngoja tuendelee kumsikiliza...
 
Wataalamu wa TEHAMA wataanza kutambuliwa na serikali
Kazi nzuri hii!!!
 
Bila hata aibu anasema eti wabunge wamechaguliwa. Alaaniwe na Lucifer
 
Mambo mengine mkiitwa hamna akili mnasema mnatukanwa. Watanzania gani wenye kufurahia hotuba wakati ni nchi yenye huzuni duniani? Eti mabeberu wanatuonea wivu! Pumbaf kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…