Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichaa mwenzieWenye akili timamu tupo ,tutamsikiliza ,msifikili nchi hii kila mtu ni misukule kama ninyi!
Hajui maana ya k kwenye namba msamehe=-O:-!:-!Yaani kati ya watanzania 56milioni ni watu Elfu 4 tu ndio wanafuatilia!
Upuuzi mtupu.
bunge ama upumbavuUnataka na mtoto wa miaka 7 aache kwenda shule aangalie bunge.
Kwa sasa anaeongea ni spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na anasema kikatiba wabunge wanaotakiwa ni 393 jumla na waliopo ni 359 wakisubiri wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi, wateule 10 wa Rais, viti maaum kutoka vyama vingine.
Kwa sasa spika anamkaribisha Rais Magufuli kuhutubia
=========
MAGUFULI: Kabla ya kuanza hotuba yangu, nawasihi tusimame tumkumbuke mheshimiwa Mkapa pamoja na waheshimiwa wabunge waliofariki dunia tangu kufungwa kwa Bunge la 11.
Nitumie fursa hii kuwaahidi, serikali ninayoiongoza itaendelea kuwaamini wanawake katika kushika nafasi mbalimbali za uongozi.
Napenda kuwapongeza wabunge kwa kuchaguliwa kwenu, mmechaguliwa kwa kuwa mna uwezo, nawasihi msiwaangushe wananchi waliowachagua, wananchi wana Imani kubwa sana.
Nimekuja kulizindua Bunge hili baada ya nchi yetu kufanikiwa kumaliza uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba mwaka 2020 kwa uwazi, amani na utulivu mkubwa.
Kwa msingi huo napenda kuipongeza tume ya Taifa ya uchaguzi kwa vizuri zoezi la uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
=>Namuahidi Dkt. Mwinyi kwenye miaka mitano ijayo, Serikali ya JMT itatoa ushirikiano mkubwa wa kufanya kazi kwa karibu na Serikali ya Zanzibar
=> Tutafanya kazi kwa pamoja kwa lengo la kuleta maendeleo kwa pande zetu zote mbili za muungano
=>Tumethibitisha uwezo mkubwa katika kusimamia Uchaguzi bila kutegemea misaada kutoka nje
=> Uchaguzi wa mwaka huu uligharamiwa na Serikali kwa 100% ambapo kiasi cha Bilioni 331 kilitengwa. Hata hivyo mpaka Uchaguzi umekamilika Tume imetumia Bilioni 262 tu
=>Kwenye miaka 5 ijayo tutaendelea kuimarisha utawala bora hususan kwa kusimamia kwenye utumishi wa umma
=>Tutazidisha mapambano kwenye dhidi ya rushwa, wizi, ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma.
=>Natoa shukrani kwa watanzania wenzangu wote kwa kushiriki vizuri na kuonesha utulivu mkubwa kwenye Uchaguzi uliopita
=>Hakuna shaka Uchaguzi huu kwa mara nyingine umethibitisha watanzania ni wapenda amani, tunajitambua, hatudanganyiki na tumekomaa kidemokrasia
=>Utumbuaji majipu utaendelea. Tutaboresha maslahi ya watumishi wote, watumishi wasiwe na wasiwasi wachape kazi
=>Tumeingia kwenye Uchumi wa Kati na tutazidi kukuza uchumi kwa wastani wa angalau 8% kwa mwaka na kutengeneza ajira zipatazo milioni 8
=>Tunakusudia kukuza kilimo biashara, mazao tunayolenga kuyapa kipaumbele ni pamoja na korosho, kahawa, pamba, chai, michikichi, miwa
=>Tunaagiza ngano nyingi na vyakula vingine kutoka nje, ni aibu kwa Tanzania, Waziri wa Kilimo nitakayemteua akaanze na hili
mbona kwenye mikutano ya kampeni za mzee pombe mliwatoa hao watoto darasani waende kumshangilia na kujaza uwanja?Unataka na mtoto wa miaka 7 aache kwenda shule aangalie bunge.
mkusanyiko wa wahuni , wezi , wanyanganyibunge ama upumbavu
kumbe bado tu mnachafuka nguo za ndani mkimuwaza Lissu?Lissu huko anateseka tu akiona hivi
Mtanzania wa kwanza na ni muafrika wa Tatu baada ya Mandela na Kofi Annan kuhutubia bunge la ulaya lenye wajumbe 790 huwezi kulinganisha na mtu anaehutubia Halmashauri kuu ya CCM yenye wageni wawili waalikwaDah...Hivi Bwana Robati na mteja wake watakuwa wanaangalia? [emoji2960]
Punguani la Lumumba utalijua tuu,yaani ccm hata yakichangua kitu utajua tu ni kujipendekeza na pumbaUfipa wote wanaisubiri kwa hamu wewe huko Machame endelea kufakamia mbege na kisusio!
Ajira elfu 32, wakati kashindwa hata ajira elfu 5Meli 8 za uvuvi 4 Zanzibar 4 Tanzania bara..pamoja na bandari kubwa ya uvuvi ambayo haijulikani itajengwa wapi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app