Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo nionavyo mimi lipo kwa wasaidizi wake kumruhusu kuongea badala ya kusoma hotuba ilio andaliwa. PhD ni msomi mkubwa sana, but who knows very much about a very little thing.
Lengo la hotuba ya Rais kurushwa mubashara ni ili Watanzania tuone na kusikiliza atakachosema. Nakushukuru sana kwa kumsikiliza. Mpende Rais wako. Ipende Serikali yako. Ipende nchi yako. Kidumu Chama cha Mapinduzi!!!!
Ungelisifia ndio ningeshangaa!Rais anasema nini zaidi ya kutapeli wananchi, na kufanya kampeni za bei rahisi na kumtumia rais wa nchi nyingine kuvunja diplomasia ya kimataifa kutokuingilia siasa za nchi nyingine? Mwaka 2017 kulifanyika igizo lingine kama hilo la kuweka mkataba wa huo mradi, na ikasemekana 2020 mradi utakuwa tayari. Siku ile mpaka wazungu wa Total walikuwepo, lakini igizo la leo hakuna mzungu yeyote wa Total, zaidi ya kundi haramu la ccm kwenye kampeni, na viongozi wawili wakiwatapeli wananchi. Au huu mkataba wa leo ni tofauti na ule utapeli wa 2017?
Halafu ukitaka kujua ni kampeni za kilaghai, eti ndani ya dakika 5 wamekubaliana kuwa Tanzania ipate 60% na Uganda watapata 40%, huku wawekezaji ambao ni total hazitajwa asilimia zao. Kisha watu wanashangilia hilo igizo!
Ungelisifia ndio ningeshangaa!
Kaliamsha dude ngoja msomi wetu mutu ya watu Lisu kesho anayeHuyu mzee kachanganyikiwa kwa kweli!!! Kwa iyo ziara ya museveni kuja kumtembelea hasa kwa nia ya kumpigia kampeni ndo anasema faida za uwanja wa ndege chato????
Huyu mzee nadhani si mzima??? Hivi huwa anatuelewa tukisema ule uwanja Haina faida za kiuchumi????? Labda tumuulize Kuna ndege ipi ya abiria imewai kutua pale na ilishusha watalii wangapi???
Laurà Bagbo wakati anavutwa kutoka uvunguni na akatoka akiwa na singlendi, bukta Aina ya kanyeaumo bila kusahau ndala papa na nguru unadhani yeye hakuwa na facilities zote za ushindi? Alassane ambae hakuwa na nyenzo ndiye akaapishwa kuwa rais na yule mzee nadhani bado ananyea debe.Hofu aache kuwanayo mbelgiji awenayo Rais JPM mwenye facilities zote za ushindi?
labda kama umeandika tu kishabiki ili kuendelea kuwafariji wachanyembe wenzako wa Chadema.
Week ijayo ataita Kagame....Lissu kaza kamba hivyo hivyoHapa niandikapo, Rais Magufuli amehitimisha hotuba yake. Sasa hivi anaongea Rais Museveni.
Hotuba ya Rais Magufuli imejikita katika kuchambua faida ya bomba la mafuta toka Uganda. Lakini kilichojitokeza hasa ni ile "tone" ya Magufuli. Alikuwa anarudiarudia maneno, hana amani, tofauti na Museveni ambaye anaonekana katulia, hana wasiwasi.
Kali zaidi aliyotoa Magufuli ni kudiriki kutamka kwamba kitendo cha Rais Museveni kutua hapo Chato kwa ndege yake, ni mfano hai wa MANUFAA YA UWANJA WA NDEGE WA CHATO. Na akasema wazi kuwa hii ni jibu kwa "wale" wanaodai uwanja huu hauna maana.
Kwa kweli hapo nilimhurumia Rais Magufuli. Kwanza kwa sababu baada ya Magufuli kuondoka madarakani marais wajao wa Tanzania watalazimika kufanyia angalau baadhi ya shughuli zao Chato, ili uwanja wa ndege wa Chato ufanye kazi?
Lakini pia hapo hakuna hoja. Museveni angeweza kutua Makao makuu Dodoma. Amelazimika kutua Chato ili kukidhi haja za kikampeni za Magufuli .
Hili tukio lenyewe lina harufu kali ya kampeni zaidi. Ni kama Magufuli kamuomba Museveni amsaidie KALUMUNA wake. Niseme wazi, hapa nahitaji data zaidi, niko tayari kusahihishwa. Lakini nilivyoangalia tukio zima, baada ya zile shamrashamra za Tanga mwaka ule, mkutano huu wa leo hauna substance. Ni panic tactics za kumpandisha Magufuli , kumtoa sakafuni alupogaragazwa na Lissu. Napata uhakika kutokana na kutetemeka kwa Magufuli katika hotuba yake, na pia wote wawili hawajasema chochote kipya
Hili liko waziUle upara umebaki tu wa kuwashia njiti za viberiti,siku za mwisho za dikteta Adolf Hitler zilikuwa za huzuni akijua dola yake inakwenda kuanguka na axis power inakwenda kuwin ww2.Dikteta magufuli naye siku zake hizi za mwisho ni za huzuni kwakuwa anajua atadondoka kwenye uchaguzi ujao na chadema itachakua dola
Katiba inasema ivo mkuu, JPM ni Rais bado kutokana na katibaNdo katiba inavyosema ivyo mkuu? Ci mpaka achaguliwe na wananchi. Au!