Hotuba ya Rais Magufuli mbele ya Mgeni wake Rais Museveni imejaa Hofu ya Kampeni

Hotuba ya Rais Magufuli mbele ya Mgeni wake Rais Museveni imejaa Hofu ya Kampeni

Huwa nashindwaa kuwaaelewaa baadhi ya watz..hv mkuu kwel kwa akili yako kabisa unawaza kwamba Lisu anaweza shinda huu uchaguzi? Unazani jinsi ulivyo negative kwa Rais wa Tz bas wote wako hivyo..? Kwa nini kujiumiza nafsi kwa vitu ambavyo haviwezi kutokea?? Ebu kaa na wanao kula ulale nchi waachie wanaojua kuiongoza sio kuleta watu wa ajab ajab.
Alaf kingine ukiwa negative siku zote hata ukiletewa gunia la hela kwako bado hutaona kama n jambo la maana umefanyiwa na huyoo unamuwazia negative..subir bomba la mafuta lijengwe ndugu zako wapate ajira..
Nakutakia usingizi mwema mwana tundu lisu
Kwani yeye ni nani mpaka asishinde?Kama alishinda magufuli 2015 Lissu atashindwaje sasa??kushinda/kushindwa waachie wananchi maana wewe kama wewe una kura yako moja tuu(single digit) na wala generalization yako ya ushindi wa magufuli hauwezi pata maana kwa kuwa ni mtazamo wako tuu.Tusubiri post October 28th.
 
Shut the fuc* up
“In the land of the blind, the one eyed man isn’t a king but a thief. He will continue to rob us blind, loot and pillage everything until there is Nothing Left To Steal."

Kipangaspecial 2020
 
“In the land of the blind, the one eyed man isn’t a king but a thief. He will continue to rob us blind, loot and pillage everything until there is Nothing Left To Steal."

Kipangaspecial 2020
Maana yake nini
 
Kipara amepanic sana aise ule uwanja ni upuuzi mtupu kingine huenda akawa anaumwa mbona amepauka sana n hana furaha [emoji3]
Amepauka kwa sababu hakutegemea upinzani kuwa na nguvu kiasi hiki. Alijigamba kuua upinzani na alinunua wapinzani wengi akidhani anawadhoofisha. Sasa anashangaa ni tofauti na matarajio yake.
 
Hapa niandikapo, Rais Magufuli amehitimisha hotuba yake. Sasa hivi anaongea Rais Museveni.
Hotuba ya Rais Magufuli imejikita katika kuchambua faida ya bomba la mafuta toka Uganda. Lakini kilichojitokeza hasa ni ile "tone" ya Magufuli. Alikuwa anarudiarudia maneno, hana amani, tofauti na Museveni ambaye anaonekana katulia, hana wasiwasi.

Kali zaidi aliyotoa Magufuli ni kudiriki kutamka kwamba kitendo cha Rais Museveni kutua hapo Chato kwa ndege yake, ni mfano hai wa MANUFAA YA UWANJA WA NDEGE WA CHATO. Na akasema wazi kuwa hii ni jibu kwa "wale" wanaodai uwanja huu hauna maana.

Kwa kweli hapo nilimhurumia Rais Magufuli. Kwanza kwa sababu baada ya Magufuli kuondoka madarakani marais wajao wa Tanzania watalazimika kufanyia angalau baadhi ya shughuli zao Chato, ili uwanja wa ndege wa Chato ufanye kazi?

Lakini pia hapo hakuna hoja. Museveni angeweza kutua Makao makuu Dodoma. Amelazimika kutua Chato ili kukidhi haja za kikampeni za Magufuli .

Hili tukio lenyewe lina harufu kali ya kampeni zaidi. Ni kama Magufuli kamuomba Museveni amsaidie KALUMUNA wake. Niseme wazi, hapa nahitaji data zaidi, niko tayari kusahihishwa. Lakini nilivyoangalia tukio zima, baada ya zile shamrashamra za Tanga mwaka ule, mkutano huu wa leo hauna substance. Ni panic tactics za kumpandisha Magufuli , kumtoa sakafuni alupogaragazwa na Lissu. Napata uhakika kutokana na kutetemeka kwa Magufuli katika hotuba yake, na pia wote wawili hawajasema chochote kipya
Ungeandika kama raia wa US au Ulaya nchi fulani, ningekusamehe, lakini raia wa TZ , unayeishi TZ, unaijua TZ, huu ni uzembe. Unavyoona kweli kuna mfumo gani mwaka huu unaoweza kuiondoa CCM? Chama gani hicho? Unaona wazi wagombea vyama vya upinzani hata wa ubunge wanaondolewa, ukiacha ACT Z'bar, wako kimya utadhani wanachinjwa!

Tone unayoiongelea ni ile ile ya siku zote ila wewe uliyeisikiliza ndo ulikuwa biased. Ulikuwa unataka ubora zaidi ya ule uliozoeleka. Tujifunze kufanya assessment ya tabia za watu. Yaani unaamini M7 atoke Uganda kuja Chato kwa sababu ya kumtafutia kura Magufuli? Je, sahihi kwenye mikataba hiyo pia ilikuwa ni fake process? kuna watu lazima mutawaliwe!
 
Huyu mzee kachanganyikiwa kwa kweli!!! Kwa iyo ziara ya museveni kuja kumtembelea hasa kwa nia ya kumpigia kampeni ndo anasema faida za uwanja wa ndege chato?

Huyu mzee nadhani si mzima? Hivi huwa anatuelewa tukisema ule uwanja Haina faida za kiuchumi? Labda tumuulize Kuna ndege ipi ya abiria imewai kutua pale na ilishusha watalii wangapi?
Pole sana!
Imefika hatua natia shaka hata akili ya wakosoaji. Binafsi sioni faida ya uwanja ule, lakini pia sioni kama kosa hilo ni mtaji wa kisiasa kwa mpinzani yeyote. Kuna viongozi hawakujenga uwanja lakini wameiba hadi senti ya kununulia paracetamol! Uwanja huo uache, siyo wa Magufuli tusikitikie viwanda na vilivyoporwa na wanasiasa ambao sasa wako kimya! Kila utawala una makosa yake na huenda wale wanaotaka kukwepa makosa ndo wako hoi kabisa!!

Kwa tabia za baadhi ya viongozi wa upinzani leo hii, kesho wakipewa madaraka watatuumiza kuliko Magufuli. Kuna watu ni wezi, wakabila, ufahamu mdogo, n.k lakini ni rahisi kukosoa wakati hata ndani ya vyama wameshindikana.
 
Pole sana!
Imefika hatua natia shaka hata akili ya wakosoaji. Binafsi sioni faida ya uwanja ule, lakini pia sioni kama kosa hilo ni mtaji wa kisiasa kwa mpinzani yeyote. Kuna viongozi hawakujenga uwanja lakini wameiba hadi senti ya kununulia paracetamol! Uwanja huo uache, siyo wa Magufuli tusikitikie viwanda na vilivyoporwa na wanasiasa ambao sasa wako kimya! Kila utawala una makosa yake na huenda wale wanaotaka kukwepa makosa ndo wako hoi kabisa!!

Kwa tabia za baadhi ya viongozi wa upinzani leo hii, kesho wakipewa madaraka watatuumiza kuliko Magufuli. Kuna watu ni wezi, wakabila, ufahamu mdogo, n.k lakini ni rahisi kukosoa wakati hata ndani ya vyama wameshindikana.
Nilitegemea unakuja na hoja za kiuchumi kuwa ujenzi wa uwanja ule umeleta impact gani za kiuchumi kumbe umekuja na hoja Mfu za kutetea ujinga!!!
Huyo Magufuli wako hastahili kabisa kuwa katika nafasi ya juu ya uongozi wa nchi hii kwa sababu emonesha nepotism ya kiwango cha juu kabisa kuwai kutokea kwenye nchi yetu!!
 
Nilitegemea unakuja na hoja za kiuchumi kuwa ujenzi wa uwanja ule umeleta impact gani za kiuchumi kumbe umekuja na hoja Mfu za kutetea ujinga!!!
Huyo Magufuli wako hastahili kabisa kuwa katika nafasi ya juu ya uongozi wa nchi hii kwa sababu emonesha nepotism ya kiwango cha juu kabisa kuwai kutokea kwenye nchi yetu!!
Njoo polepole! Magufuli siyo wangu, ni wetu.
Niambie nepotism inayomnyima sifa za kuwa kiongozi. Mimi ninayo mifano miingi ya watu walioonesha nepotism lakini wanasifiwa sana na makabila yao humu humu JF!
 
Kwani yeye ni nani mpaka asishinde?Kama alishinda magufuli 2015 Lissu atashindwaje sasa??kushinda/kushindwa waachie wananchi maana wewe kama wewe una kura yako moja tuu(single digit) na wala generalization yako ya ushindi wa magufuli hauwezi pata maana kwa kuwa ni mtazamo wako tuu.Tusubiri post October 28th.
Uelewa mdogo!
 
Ukitaka kufahamu Hutu Baba hana uwezo wowote,aalikwe kwenye mdahalo hata kwa kutumia lugha ya Kiswahili utasikia ana udhuru.Hana uwezo wa kujenga hoja kabisa.
Napendekeza DottoEmanuel Bulendu awe moderator wa mdahalo,Mzee Baba atagoma kuhudhuria.
Kamwe hawezi kukubali...... Atenda kuropoka tu utopolo
 
Kwani yeye ni nani mpaka asishinde?Kama alishinda magufuli 2015 Lissu atashindwaje sasa??kushinda/kushindwa waachie wananchi maana wewe kama wewe una kura yako moja tuu(single digit) na wala generalization yako ya ushindi wa magufuli hauwezi pata maana kwa kuwa ni mtazamo wako tuu.Tusubiri post October 28th.
Hahaha...bado nazidi kushindwaa kuwaelewaa watu kama nyie..ulishaambiwa CCM ina technique zaid ya 100 za kushinda uchaguzi..ww unatazamia kura ya wananchii..mbutaa..ikulu mtaiskiaa tuu kwenye bomba..
 
Hivi jiwe ana wasiwasi gani wakati wasimamizi wa uchaguzi anawachagua yeye,gari anawapa yeye na hela za mafuta anawapatia yeye sasa wataanzaje kumtangaza Lissu kuwa kapata kura milioni 12
 
Back
Top Bottom