Hotuba ya Rais Magufuli mbele ya Mgeni wake Rais Museveni imejaa Hofu ya Kampeni

Kuongelea bomba la mafuta ni geresha tu, Museveni kamletea mbinu za kampeni baada ya pumzi kuisha... waliyoongea faragha ndiyo hasa lengo la ugeni ule.

Uwanja wa kimataifa Chato ni tembo mweupe.
 
Tatizo nionavyo mimi lipo kwa wasaidizi wake kumruhusu kuongea badala ya kusoma hotuba ilio andaliwa. PhD ni msomi mkubwa sana, but who knows very much about a very little thing.

Kifupi ni kwamba hana wasaidizi, wote walishaamua kumpuuza sababu ya jeuri na ukatili... wamehofia kukosa ugali wao.
 
Lengo la hotuba ya Rais kurushwa mubashara ni ili Watanzania tuone na kusikiliza atakachosema. Nakushukuru sana kwa kumsikiliza. Mpende Rais wako. Ipende Serikali yako. Ipende nchi yako. Kidumu Chama cha Mapinduzi!!!!

Rais anasema nini zaidi ya kutapeli wananchi, na kufanya kampeni za bei rahisi na kumtumia rais wa nchi nyingine kuvunja diplomasia ya kimataifa kutokuingilia siasa za nchi nyingine? Mwaka 2017 kulifanyika igizo lingine kama hilo la kuweka mkataba wa huo mradi, na ikasemekana 2020 mradi utakuwa tayari. Siku ile mpaka wazungu wa Total walikuwepo, lakini igizo la leo hakuna mzungu yeyote wa Total, zaidi ya kundi haramu la ccm kwenye kampeni, na viongozi wawili wakiwatapeli wananchi. Au huu mkataba wa leo ni tofauti na ule utapeli wa 2017?

Halafu ukitaka kujua ni kampeni za kilaghai, eti ndani ya dakika 5 wamekubaliana kuwa Tanzania ipate 60% na Uganda watapata 40%, huku wawekezaji ambao ni total hazitajwa asilimia zao. Kisha watu wanashangilia hilo igizo!
 
Leo Tanzania imeshinda.

Hatimaye mradi utakaotupa faida ya asilimia 60 na ajira elfu 10 umekamilishwa kwa hatua muhimu.

Mungu yupo nasi.

Asante sana Rais Museveni upendo wako kwa watanzania tumeguswa nao siku ya leo itaingia katika vitabu vya kihistoria.

Magufuli tunakushukuru sana kwa jitihada unazozifanya kuhakikisha Nchi yetu inasonga mbele.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Ungelisifia ndio ningeshangaa!
 
Tunaweza kumlaumu Sana magufuli lkn kumbe hii ndiyo njia ya kuondoka madarakani na kujiua kisiasa..
Hali yake kiakili na kimwili hayupo sawa hata kidogo hata Sura yake imezidi kuchoka kutokana na mawazo kukosa uraisi
 
Huo ndiyo uhalisia,mradi wa bomba la mafuta ulishazinduliwa Tanga Tanzania na Uganda pia walishafanya hivyo.Leo nimesikia walikuwa wanaufufua ingawa hatuambiwi ulikufa lini na sababu za mauti yake.Mzee Baba walikuwa anahalalisha Chato International Airport yake kuwa unaweza kutumika na marais wa nchi zingine.Ukiacha ndege ya Kenyatta na Museveni,ndege ngapi zingine zimewahi kuutumia?
Je,huo uwanja baada ya kukamilika umeshaingizia nchi mapato kiasi gani hadi sasa?
 
Ungelisifia ndio ningeshangaa!

Nisifie uhuni? Ni vyema ungesema kile kilichosainiwa chongoleani 2017 ni nini, na hiki kilichosainiwa leo kwenye kampeni za ccm ni nini. Bado karne hii mnafanya siasa za kitapeli, halafu utakuta gharama zote za Museveni kuja nchini kwenye hii episode ya kampeni, ni hela za umma.
 
Kaliamsha dude ngoja msomi wetu mutu ya watu Lisu kesho anaye
 
Hofu aache kuwanayo mbelgiji awenayo Rais JPM mwenye facilities zote za ushindi?
labda kama umeandika tu kishabiki ili kuendelea kuwafariji wachanyembe wenzako wa Chadema.
Laurà Bagbo wakati anavutwa kutoka uvunguni na akatoka akiwa na singlendi, bukta Aina ya kanyeaumo bila kusahau ndala papa na nguru unadhani yeye hakuwa na facilities zote za ushindi? Alassane ambae hakuwa na nyenzo ndiye akaapishwa kuwa rais na yule mzee nadhani bado ananyea debe.

Acha kukariri ndugu maisha ni mzunguko yupo mtu flani tena mkubwa akisikia jina la Lissu lazima n'nya igonge SAnLG au boxer.
 
Ni kawaida watoto wa mama wa jambo kulalama hata kwa mambo yasiyokuwa na maana!
Sasa huo mradi haina faida kwa nchi au??
 
Week ijayo ataita Kagame....Lissu kaza kamba hivyo hivyo
 
Hili liko wazi
 
Tundu Lissu anamsubiri kwa hamu kwenye mdahalo ili watz wawakue vilivyo wagombea wao.....

Note: Wagombea wasiruhusiwe kubeba silaha ya aina yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…