Hotuba ya Rais Samia yalituliza Taifa na Kukata kiu ya Watanzania juu ya changamoto ya umeme

Ulicho andika hapa ni upuuzi mtupu,tunaomba usituchokoze.
 
Nisaidie jinsi ya kuwa kunguni,sio chawa
 
Mkuu kama bado hujapata uteuzi wowote kwenye awamu hii basi itoshe kusema MGANGA WAKO NI TAPELI..[emoji1787][emoji1787],

Yaani pamoja na kuweka Namba za simu lakini wapiiiii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu kama bado hujapata uteuzi wowote kwenye awamu hii basi itoshe kusema MGANGA WAKO NI TAPELI..[emoji1787][emoji1787],

Yaani pamoja na kuweka Namba za simu lakini wapiiiii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana ndugu yangu siandiki kwa ajili ya kusaka uteuzi.
 
Ni miaka hii hii,hadi kipindi cha masika tumeona mgao wa umeme...mnavisingizio vingi mno.
Unasema mvua zitanyesha wakati masika ya mwaka huu kulikuwa na mgao???

Tangu makamba alivoingia kuwa waziri,hizo stori zenu za matengenezo mmeimba sana,mkisema et kuna mtu alizuia matengenezo,mlivoona wananchi wamestuka kuwa mnawadanganya mkaja na visababu vingine vingii
 
Ungeandika kwa hoja kuthibitisha maneno yako na siyo kuandika blaa blaa tu.
Ni upuuzi kwa kuwa tupo kwenye janga zito la ukosefu wa umeme halafu mtu unatuletea za kuleta hapa,eti hotuba ya Rais imetuliza Watanzania,umeme upo,upo?Acheni kutumiwa ninyi.Watu hatukuelewi ujue.........!
 
We ni kijana wa hovyo kutokea tangu ulimwengu uumbwe,, tunamuona Gents popoma kumbe Kuna mipopoma kushinda Genta
 
Wanawake kama ww hata haitakiwi kuchangia nyuzi zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…