Uchaguzi 2020 Hotuba ya Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Juni 08, 2020

Ebu fikiria mkuu. Lissu anatangaza kugombea akiwa nj ya nchi. Anawaponda askari Polisi, Jeshi, TISS na Rais aliyepo, halafu anasema haji nchini mpaka Serikali anayoiponda imhakikishie usalama! Hapo anatumia akili au matope!?
Inastajabisha sana, kwanza chama kumchagua kuwa makamu mwenyekiti akiwa nje ya nchi na kwa msimamo wa kutorudi mpaka ahakikishiwe usalama na serikali anayoitukana. Waendeleze kufanya harakati tu, wale wapiga virobo wa mwaka 2015 serikali ya JPM imeshawazibiti kwa sasa hata vijana wanafikiri kwa akili zao timamu hawashawishiki kwa viroba tena.
 
Ubarikiwe sana mkuu kwa post iliyo shiba busara
 
Lissu ni mr. I know everything! Sidhani kama wataelewana.
 
Utetezi wa JPM ni tathmini ya utekelezaji wa ahadi zake kwenye hotuba ya kufungua Bunge la kwanza alipoingia madarakani. Atahukumiwa kwa kile alichoahidi mithili ya mpandaji kuchuma alichopanda.
Hakutuahidi kuua uchumi, kuwazurumu wakulima korosho zao kuingiza nchi katika dimbwi la umaskini uliokithili.
 
Hill la kutangaza nia nje ya nchi lazima liwaume sana maana awamu ya tano kimataifa imekuwa sawa na uyawala was Nduli Amini na Mabuto.
Wakati ninyi mnaona ni ujiko, mimi naona AIBU sana! Ebu nikuulize, fomu za kugombea atachukulia huko? Wadhamini ataenda mikoa ya Ubeleji? Kampeni atafanyia huko? Ukiwa na akili timamu, lazima uone aibu kama mimi!!
 
Mimi ni mtanzania
 
Wakati ninyi mnaona ni ujiko, mimi naona AIBU sana! Ebu nikuulize, fomu za kugombea atachukulia huko? Wadhamini ataenda mikoa ya Ubeleji? Kampeni atafanyia huko? Ukiwa na akili timamu, lazima uone aibu kama mimi!!
Tatizo lako lipo kwenye uelewa. Tulia tafakari upya majibu utayapata
 
Mbowe na Lissu sana dili la "kuwapiga" hao wanywa viroba. Kesho tu utamsikia Mbowe akiwataka wamchangie Lissu hela ya fomu. Kisha nauli. Baadae anatangaza Lissu ameahirisha kugombea kwasababu akija nchini atakamatwa. Washapiga hela zao hapo watabaki wanawacheki tu wanywa viroba!
 
Swali langu ni moja tu,hata kama Lissu atashinda urais,nani atathubutu kumtangaza?
 
Zile Njemba zilizoondolewa ubongo kutoka Lumumba FC ukijumlisha MATAGA FC wakiuona huu mchango wako wanajihisi kila aina ya ghasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…