Lazima imuume unatuma wapumbavu wamuuwe kwa risasi 38 hata porchers hawauwi tembo kwa risasi nyingi hivyo...matumizi mabaya ya pesa ya serikaliTundu Lissu nafsi inamuuma kuona Magufuli kampuuza tena kamsahau kabisa.
Ukweli mchungu wasotaka kuusikia, sera zao ni JPM kafukuza wenye vyeti feki alitakiwa awaache (tusingemwelewa maana hangekuwa tofauti na watangulizi wake kukumbatia wizi), JPM kaiba 1.5 T (tunajua hajaiba bali kaibadilishia matumizi kwa maslahi mapana ya umma na tumeridhia), JPM ni dikteta anawabambikizia kesi wapinzani (ukweli wanaujua ila wanapotosha, tena hapa hajakaza ipasavyo bado, Zitto alitakiwa awe jela kwa kesi ya majuzi, hao wengine wote waloyafanya ni uhaini lakini bado wanabembelezwa tu, hapa tunataka aongeze kidogo), JPM hajaongeza annual increment (tunajua na alituomba tufunge mikanda tukakubali hivyo si hoja)....sijui hawa jamaa watakuja na kipi kipya, yote tunayajua na watanzania tumeridhia.Nikiwa mmoja miongoni mwa raia wa taifa hili napaswa kufungua mdomo hasa ktk mambo mazito na muhimu kama uchaguz mkuu wa mwaka huu.
Leo Juni 8, kupitia vyombo vikubwa vya habar kama DW na mitandao ya kijamii tumepata habari kwamba wakili maarufu na mbunge wa zamani Tundu Antipasi Lissu amekusudia kuomba ridhaa kupitia chama chake kugombea nafasi ya uraisi wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.
Jambo hili limezua mjadala mkali ktk jamii, baadhi ya watu wakimbeza kuwa hatoweza kuishinda CCM ktk uchaguz mkuu, wengine hata wakimtukana hasa ktk mtandao wa Facebook lakini kiasi kaungwa mkono ktk mtandao wa tweeter, kila mmoja ana mtazamo wake lakini tusipingane kwa matusi bali kwa hoja zenye mashiko na maslahi mapana kwa taifa hili.
Binafsi namtazama advocate Lissu kama ifuatavyo;
1: Msomi aliyebobea hasa ktk sheria.
2: Mwanasiasa mahiri mwenye uwezo wa
kujenga hoja na kuitetea.
3: Ni miongoni mwa wanasiasa maarufu
duniani baada ya kunusurika kifo cha ris
asi mjini Dodoma na kutumia jukwaa la
kimataifa kuihabarisha dunia juu ya jarib
io la kutaka kumuua.
Hayo mambo makuu matatu (3) naamini wakili Lissu ndio nguzo zake za kutegemewa ambazo anahisi anaweza kugombea uraisi mwezi October 2020. Huku kipengere namba tatu (3) akitegemea kupata kura nyingi zilizojaa huruma kutoka kwa wananchi.
USHAURI KWA LISSU.
Namshauri asigombee mwaka huu kwa sababu kuu zifuatazo;
1: Raisi Magufuli kisiasa amekuwa more
popular it means hayupo mwanasiasa
wa kumshinda ktk uchaguzi mkuu 202
0, majority ya wananchi wanaridhishw
a na utendaji wa raisi Magufuli.
2: Upinzani mwaka huu watakosa sera z
a kujinadi mbele ya wananchi na waka
eleweka maana Magufuli ameingia kt
k nyoyo za watanzania.
3: CHADEMA sasa hiv imekuwa kama ny
umba iliyogeuka gofu baada ya kukim
iwa na wakazi wake.
Binafsi namhurumia wakili Lissu namshauri kubaki kuwa mpiga kura tu kwa wengine labda akagombee ubunge lakini sio uraisi wa Jamhuri, asubiri mpk 2025 Magufuli akimaliza muda wake lakini sio mwaka huu.
Hata mimi nimeona aibu kubwa sana. Yaani jamaa kaongea pumba tupu toka mwanzo hadi mwisho.Kama ningekuwa mimi ndio Mbowe nisinge ruhusu Tundu Lissu aongee kwa sababu amekiabisha chama pia kuonyesha moja kwa moja kua CHADEMA hawana Sera
Hotuba mzima ya Tundu Lissu point ambayo imeonekana kidogo ni ya muhimu ni yakutangaza nia tu ndio hoja ambayo vyombo vya habari vyote vimeripoti
Huwezi kugombea Urais ukaja na Sera za kusema kwamba utawafuta watanzania machozi na utasimama na wajane are you serious
Kwa hotuba ya leo haikuwa hotuba ya kisiasa bali ya kiroho na ilitakiwa itolewe kanisani mambo ya kufarijiana na Urais wapi na wapi yaani unatuahidi watanzania kushuhulika na wajane jamani jamani Tundu Lissu dah
Yani unataka ukishindwa Urais uje utufariji badala ya kutuletea maendeleo
Nyumbu nimekuuliza unasema tume sio huru unashiriki uchaguzi wa nini? Kama sio kufilisika kisiasa na kihoja!!!MAtaga unajiona una akili timamu?
Nyumbu watakupinga tu wakati umetoa ushauri mzito Na muhimu sanaNikiwa mmoja miongoni mwa raia wa taifa hili napaswa kufungua mdomo hasa ktk mambo mazito na muhimu kama uchaguz mkuu wa mwaka huu.
Leo Juni 8, kupitia vyombo vikubwa vya habar kama DW na mitandao ya kijamii tumepata habari kwamba wakili maarufu na mbunge wa zamani Tundu Antipasi Lissu amekusudia kuomba ridhaa kupitia chama chake kugombea nafasi ya uraisi wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.
Jambo hili limezua mjadala mkali ktk jamii, baadhi ya watu wakimbeza kuwa hatoweza kuishinda CCM ktk uchaguz mkuu, wengine hata wakimtukana hasa ktk mtandao wa Facebook lakini kiasi kaungwa mkono ktk mtandao wa tweeter, kila mmoja ana mtazamo wake lakini tusipingane kwa matusi bali kwa hoja zenye mashiko na maslahi mapana kwa taifa hili.
Binafsi namtazama advocate Lissu kama ifuatavyo;
1: Msomi aliyebobea hasa ktk sheria.
2: Mwanasiasa mahiri mwenye uwezo wa
kujenga hoja na kuitetea.
3: Ni miongoni mwa wanasiasa maarufu
duniani baada ya kunusurika kifo cha ris
asi mjini Dodoma na kutumia jukwaa la
kimataifa kuihabarisha dunia juu ya jarib
io la kutaka kumuua.
Hayo mambo makuu matatu (3) naamini wakili Lissu ndio nguzo zake za kutegemewa ambazo anahisi anaweza kugombea uraisi mwezi October 2020. Huku kipengere namba tatu (3) akitegemea kupata kura nyingi zilizojaa huruma kutoka kwa wananchi.
USHAURI KWA LISSU.
Namshauri asigombee mwaka huu kwa sababu kuu zifuatazo;
1: Raisi Magufuli kisiasa amekuwa more
popular it means hayupo mwanasiasa
wa kumshinda ktk uchaguzi mkuu 202
0, majority ya wananchi wanaridhishw
a na utendaji wa raisi Magufuli.
2: Upinzani mwaka huu watakosa sera z
a kujinadi mbele ya wananchi na waka
eleweka maana Magufuli ameingia kt
k nyoyo za watanzania.
3: CHADEMA sasa hiv imekuwa kama ny
umba iliyogeuka gofu baada ya kukim
iwa na wakazi wake.
Binafsi namhurumia wakili Lissu namshauri kubaki kuwa mpiga kura tu kwa wengine labda akagombee ubunge lakini sio uraisi wa Jamhuri, asubiri mpk 2025 Magufuli akimaliza muda wake lakini sio mwaka huu.
Yaani wajane lazima kuwajali maana hata wewe inaonekana kabisa akili yako ilishakufa sasa umo kwenye kundi la kuokolewa maana kifikra hujiwezi ni mjane wa akiliKama ningekuwa mimi ndio Mbowe nisinge ruhusu Tundu Lissu aongee kwa sababu amekiabisha chama pia kuonyesha moja kwa moja kua CHADEMA hawana Sera
Hotuba mzima ya Tundu Lissu point ambayo imeonekana kidogo ni ya muhimu ni yakutangaza nia tu ndio hoja ambayo vyombo vya habari vyote vimeripoti
Huwezi kugombea Urais ukaja na Sera za kusema kwamba utawafuta watanzania machozi na utasimama na wajane are you serious
Kwa hotuba ya leo haikuwa hotuba ya kisiasa bali ya kiroho na ilitakiwa itolewe kanisani mambo ya kufarijiana na Urais wapi na wapi yaani unatuahidi watanzania kushuhulika na wajane jamani jamani Tundu Lissu dah
Yani unataka ukishindwa Urais uje utufariji badala ya kutuletea maendeleo
Wewe huna masala kichwani kabisaMkuu ni kweli ila kwa watu wenye timamu vizuri hawezi kumpigia Magufuli kula hao ni walimu, wafanyabiashara, wanafunzi wa Elimu ya juu, wastaafu na wengine wengi tu makundi tofauti tofauti,
Magufuli kula atakazo pata nyingi ni zile za mambumbu wa vijijini wasio jua hili wala lile, ila kuna baadhi ya watu wa vijijini ni wafutiliaji wa mambo na ni watu makini hawa ni wachache sana.
Jamaa kaonesha ukilaza wa hali ya juu kualalamika kama toto la kamboHata mimi nimeona aibu kubwa sana. Yaani jamaa kaongea pumba tupu toka mwanzo hadi mwisho.