Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Wabunge sasa mnajukumu kubwa sana la Kihistoria kujadili na kuboresha/kubadili Chochote kwa Maslahi ya Taifa na Vizazi vyake.
 
Natamani ile ndege ya Malaysia ingekua imewachukua na hawa wabunge wa bunge la katiba and Nape & the company.

Great thinking!I real like it.Congratulation.That Jet should have taken them all to an unknown place.
 


- Eti kama ninakuelewa unasema CCM hawaminiani ila Wapinzani ndio wanaaminiana au what?

Le Mutuz
 

wape somo maccm hao. Sio suala la sample size, pia katika kufikia uamuzi warioba ameeleza wametumia pia ripoti za kamati mbalimabali zilizoundwa kuangalia suala la muungano. Pia taasisi mabali mbali km Bunge na BLW, TEC, Bakwata, CCT, n.k wote walitoa mapendekezo yanayoelekea serikali tatu. Kwa hiyo hiyo idadi ya watu japo inatosheleza sio kigezo pekee warioba ametumia.
 
Le mutuz mimi huwa ckuelewagi kabisa, ebu rudia kusoma hapo juu then jenga hoja


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app

- ha! ha1 ha! ha! kaka nimeuliza tu maana nimeona kwamba CCM hatuaminiani maana yake ni kwamba Wapinzani wa Tanzania wanaaminiana au nimekosea kaka? ha! ha1 ha!

Le Mutuz
 
Kwani kama 1+1=2 na si tatu, iweje tulilie muungano wa serikali tatu. Me ningemuelewa warioba angekuja na suluhu la serikali moja

Hukumsikia aliposema tulitakiwa twende kwenye serikali moja na ndilo lengo la waasisi. lakini akasema kwa hali ilivyo sasa na maoni ya wazanzibari wengi hilo limeonekana haliwezekani kabisa. Au umeamua tu kujitoa ufahamu. Yaani Chabruma, hakuna hoja yoyote mtakayotoa ambayo warioba hayaitolea ufafanuzi fasaha. Mnabaki kurudia rudia tu mambo ambayo yameshafafanuliwa.
 
MODS, mbona mmebadilisha topic ya uzi wa Hotuba ya warioba leo Bungeni. Hakuna mahali popote kwenye uzi wenye hotuba ya warioba leo Bungeni wakati wachangiaji wamefikia zaidi ya elfu thelathini wanaompongeza warioba?
 
pamoko sana! Jamani tunzeni hizi kumbukumbu kwa ajili ya siku za mbeleni. Mafindofindo na manyofunyofu aliyoyaibua Warioba leo, nikajiona kama sijui kitu............records ni muhimu sana ktk haya maisha
 
Sitanii, hawa watu wanatia wasiwasi kwa sasa. Leo nimetazama hotuba ya Jaji Warioba mwanzo hadi mwisho. Sijaona hata mbunge mmoja kutoka CCM alionyesha furaha, wote walikuwa kimya, walikumbwa na ubaridi, wengine walikuwa wafyonza..mbaya zaidi kuna mahali walikuwa wanashindwa kujizuia na kutaka kuleta lapsha mpaka makamu mwenyekiti anawasihi watulie.

Kuna nini huko ccm? Mmeapishwa nini na chama chenu kiasi cha kukataa maoni ya wananchi? Kikwete ndie aliyeteua wajumbe wa katiba, je walipoanza mchakato wa kukusanya maoni waligeuka wote wakawa CHADEMA,CUF,NCCR,CHAUSTA au UDP kiasi cha kuwasaliti? Warioba ni CCM na mlihakikisha mmeteua wajumbe miongoni mwao wakiwa wanachama wenu watiifu, mojawapo ni Mwenyekiti wa Tume, sasa wapi kakosea step? mbona amefanya kazi nzuri?!....

Tayari mmeshaanza kuropoka kuwa mtatumia wingi wenu kuzishinda hoja za wananchi kupitia tume ya Warioba, nie sio watu wa kawaida, yawezekana watu mnaowatumikia sio sisi, wapo watu wengine katika ulimwengu wa roho mnaoujua nie, hii ni hakika, mmetukataa mchana kweupe, maana yake hamtaki tuione Tanganyika tena, agenda mliyonayo anaifahamu Mungu wenu, sio yule Mungu wa Watanganyika..
 
Bora wapinzani tunajua hawaaminiani na hilo tunaliona wazi, sasa ccm mkiwa chemba mnataka serikali tatu but kwenye media mnataka serikali mbili sasa tutawaelewa vipi? Hapo kuna kuaminiana kweli? Hivi kaka serikali ya tanganyika iko wapi? Katiba yake iko wapi? Na mamlaka yake ndani ya muungano ni yapi? Ebu angalia zanzibar wana katiba yao,nk! Je kwanini tusidai serikali ya tanganyika?


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…