Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee hana mawaa wala makuuMkuu kwa maelezo haya yaliyoshiba ya baba yetu jaji WARIOBA sitashangaa kama ijumaa tutapewa udhuru......
Natamani ile ndege ya Malaysia ingekua imewachukua na hawa wabunge wa bunge la katiba and Nape & the company.
Inaoenaka CCM tukiwa peke yetu na tukiwa sehemu siri tunataka serekali 3 tukiwa mbele ya vyombo vya habari na watu tunataka srekali 2.
hapa ni wazi ndani ya CCM kuna tatizo.
KWANINI NIMESEMA HIVI
Kama tulivyomsikia Jaji warioba. Sehemu muhimu ndani ya serekali wamependekeza serekali 3.
Kwa mfano afisi ya waziri mkuu, afisi ya makamo wa rais. hizi kama sitakosea zimependekeza muundo wa serekali 3. Hizi ni Ofisi nyeti ambazo kazi yake ni kutatua kero za Muungano.kama zimependekeza muundo wa serekali 3 ni wazi kwamba kuna tatizo.
Hapa CCM tumeshika hatamu. Hapa kuna makatibu wakuu licha ya kutokwa watendaji wa Chama lkn wengi wao ni wakereketwa wa Chama. wakurugenzi na hata mawaziri wote hawa ni Chama chetu.
Kama haya ndio mapendekezo ya ofisi hizi mbele ya jaji Warioba ni wazi CCM pia inataka serekali 3 nyuma ya pazia lkn mbele ya vyombo vya habari inataka serekali 2.
Ofisi ya Bunge na ofisi ya baraza la wawakilishi. Hili kwa kiasi kiikubwa ndio wawakilishi wa wananchi. Kwa mujibu wa warioba hawa pia wamepndekeza serekali 3. hapa CCM imejaa.hapa ndipo alipo spika wa CCM , hapa ndipo penye wenyeviti wa CCM wa kamati za Bunge.Mapendekekezo haya yanaushawishi mkubwa kutoka ccm.
HII NI SEHEMEU YA MAPENEDEKEZO YA TAASISI ZA SEREKALI
103 .Baadhi ya taasisi za kiserikali, ama moja kwa moja au kwa tafsiri ya
mapendekezo yao, pia zilipendekeza au kukubali muundo wa Serikali Tatu. Kwa
mfano, Baraza la Wawakilishi Zanzibar lilipendekeza kuwepo kwa mamlaka huru ya
Zanzibar, mamlaka huru ya Tanganyika na mamlaka ya Muungano na iwekwe wazi maeneo, uwezo, nguvu, utendaji na mipaka ya kila mamlaka. Baraza la Ofisi ya Makamu wa Rais lilipendekeza, kuhusu Muundo wa Serikali kwamba, nanukuu
"kuwe na Rais mmoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Wakuu wa Serikali za Washirika wa Muungano wapewe vyeo vingine 32 vinavyoendana na hadhi na mamlaka zao. Pia katika kutaja hizo serikali tatu inabidi zitenganishwe ili Serikali ya Muungano ionekane ndio ya juu"
104. Baraza la Ofisi ya Waziri Mkuu lilipendekeza, kuhusu uongozi wa taifa kwamba kuwe, na "Rais wa Jamhuri ya Muungano, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, Waziri Mkuu wa Serikali ya Tanganyika na Waziri Mkuu wa Serikali ya Zanzibar. Mapendekezo hayo ni kwa sababu hakuna umuhimu wa kuwa na marais watatu (3) katika nchi moja na wala neno Rais halimuongezei hadhi kiongozi yeyote. Pia kutoa nafasi kwa Mawaziri Wakuu kuwa watendaji zaidi na hivyo kusimamia Serikali za Washirika." Aidha, Bunge la Jamhuri ya Muungano katika maoni yake
lilipendekeza kuwepo kwa Tume ya Utumishi wa Bunge ambayo o inajumuisha, katika Wajumbe, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano (Mwenyekiti), Spika wa
Bunge la Tanzania Bara na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Revocatus Kashaga, naona unaongelea issue ambayo iko nje ya uwezo wako wa kufikiri. Opinion polls ni Sayansi na huendeshwa kitaalam kwa kufuata misingi ambayo kama utapenda kuielewa, labda thread ifunguliwe. Shida yako kubwa nadhani ni kutoelewa principle inayoongoza utafiti wa maoni ya walio wengi katika jamii. Hakuna namna unaweza kuwauliza Watanzania milioni 45 mawazo yao kama unavyotamani ingefanyika, badala yake unatumia kitu kinaitwa sampling. Ndio maana kwa nchi kama Marekani yenye watu zaidi ya milioni 350, maoni ya watu 35,000 (0.1%)kwa mfano, inatosha kabisa kuonesha wazi muelekeo wa wengi. Bahati mbaya sina muda, labda siku nyingine nitakuelewesha zaidi...naomba nikuache na hili hapa;
Le mutuz mimi huwa ckuelewagi kabisa, ebu rudia kusoma hapo juu then jenga hoja
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
Kwani kama 1+1=2 na si tatu, iweje tulilie muungano wa serikali tatu. Me ningemuelewa warioba angekuja na suluhu la serikali moja
- ha! ha1 ha! ha! kaka nimeuliza tu maana nimeona kwamba CCM hatuaminiani maana yake ni kwamba Wapinzani wa Tanzania wanaaminiana au nimekosea kaka? ha! ha1 ha!
Le Mutuz[/QUOTE=KARATU70]
MUTUZ KUUBWAA AKILI 0