ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,752
Radio za bongo zote zinacheza ndomboro kweli watanzania tumelogwa mambo ya msingi tunayafanya ya ziada na ya ziada tunayafanya ya msingi
Halmashaur ya Manispaa ya Kinondon imefuta mashamba yote yaliyopo wilaya ya Kinondon,including Ya Bunju ambayo yatagaiwa as viwanja,sasa tutaheshimiana mjini tu,wataenda kwenye field zao za zaman,kama kuchunga mbuz,[/QUOTE]
hahahahahahahaha umenilimaliza hapo kwikwikwi kuchunga mbuzi.
Mkuu, ongea taratibu
Hii rasimu mpaka alipofikia ni nzuri sana, aliponiboa ni serikali tatu.. Nashangaa serikali tatu, hiyo nchi ya tatu ni ipi? Mimi nataka serikali mbili
Mkuu, jana kulikuwa na hoja mbili
Baada ya vurugu za jana, Kamati ya Mashauriano iliketi na walikubaliana mambo yafuatayo
- Wabunge walikuwa wanapinga kitendo cha Warioba kuwasilisha Rasimu ya Katiba kabla mwenyekiti hajazindua bunge
- wabunge wa upinzani walikuwa wanapinga kitendo cha Warioba kupewa masaa mawili tu kuwasilisha hotuba yake. Wao walikuwa wanataka apewe masaa 4 hadi 5
- Warioba ataanza kuwasilisha Rasimu Kama ilivyopangwa na baadaye Rais atakuja kulizindua bunge siku ya Ijumaa. Hivyo kwenye point namba moja hakuna mabadiliko kati ya jana na leo
- kuhusu suala la muda, ni kwamba Warioba amepewa muda wa kutosha leo. Kwamba kuanzia saa tatu na nusu alipoanza kuhutubia, atawasilisha hadi mlize. Kwamba atawasilisha kuanzia saa tatu hadi saa saba, kama itakuwa hajamaliza, kanuni zitatenguliwa ili kuongeza muda hadi amalize kuwasilisha. Hivyo katika point namba mbili, unaona kuna mabadiliko. Kwamba badala ya masaa mawili, Warioba amepewa muda usio na kikomo
Mkuu, alienda kuvuta kasi ya kueleza Muundo wa MuunganoMkuu tupe updates, warioba kaenda wap? Nipo magomeni hapa kijiweni tunafuatilia..kuna teja kasema jaji kaenda kukata gogo eti..c.c Simiyu Yetu tupe updates
Mkuu, alienda kuvuta kasi ya kueleza Muundo wa Muungano
Radio za bongo zote zinacheza ndomboro kweli watanzania tumelogwa mambo ya msingi tunayafanya ya ziada na ya ziada tunayafanya ya msingi
Hivi Chabruma mbona hutuambii warioba kaenda wap?
Ha ha ha ha ha ha ha ha! Mkuu mzee mgongo ulichoka siunajua tena umri alikuwa back ofisi akijinyoosha kidogo.Mkuu tupe updates, warioba kaenda wap? Nipo magomeni hapa kijiweni tunafuatilia..kuna teja kasema jaji kaenda kukata gogo eti..c.c Simiyu Yetu tupe updates