Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Shivji , alikuwa anapayuka bila takwimu na vielelezo, alikuwa anafanya kazi ya Consultancy ya CCM .....
 
Katiba siyo msahafu ata ikipita hii baada ya mwaka mmoja au mitatu yaweza kubadirishwa tena.
 
Naona anauchana Muungano uliopo kisawasawa. Nasikia vigelegele vya nguvu kumshangilia.

ANGALIZO: Anauchana kwa vielelzo na takwimu zisizo na shaka na sio kwa maneno matupu.
Pana viazi hili hawalioni. Mwenyezi Mungu mzidishie afya njema mzee wetu Joseph Sinde Wazioba.
 
Sie ambao hatuangalii hilo Bunge tutaelewa nini kuhusu hiki ulichokiwasilisha?
 
Mzee yupo vizuri sana aisee. Nipo namsikiliza kwa umakini mkubwa kupitia Redio Maria
Ameniudhi tu anapotetea muungano lakini anapendekeza serikali tatu. Ningemuona wa maana kama angependekeza serikali moja
 
Tuone sasa jinsi huyo JK anakavyomzima, sijui atakuja na hoja gani nzito zaidi ya hizi?
 
Huku kwetu wamekata umeme katikati ya Nondo. CCM aibu tupu
 
Yaani mkuu vyombo vya habari hapa bongo ni majanga tupu. Sisikii radio yoyote zaidi ya TBC. Najiuliza hivi sisi Watanzania tuna akili nzuri kweli? Something must be very wrong somewhere! Kikao muhimu kama hiki radio almost zote ziko kwenye ndomboloo and some other shit!


Maccm wamemwaga hela huko,,, yaani adui mkuu ni CCM maana wanatumia fedha zetu, kutunyima haki za msingi kama upataji habari!!! Pia waandishi wengi ni wachumia tumbo, njaa inawaponza,,... Mdogomdogo tutafika tu.
 
Hivi jamani ee samahani kwa kuwachepua nje kidogo ya mada, kweli yote haya yanayoendelea kuwasilishwa na Warioba yangewezekana kuwasilishwa kwa dakika 120 tu? Hisia zangu ni kua wachezaji wa timu 'ile' hasa kiungo mkabaji ni MNAFIKI SANA, tumwogope kama shetani. Asanteni, karibuni tuendelee na kumsikiliza Warioba.
 
Kweli Kabisa,maana kuna watu wa ovyo kina Sendeka hawacheli kupotosha
 
Baada ya katiba kukamilika the so called 'URT' haitatambulika tena, tutakuwa na Tanganyika yetu....ila Pemba na Unguja sasa hawaivani...maybe zitatengana tena...MItosis of URT
 
Nimegundua kwanini Sitta alitaka Warioba atumie dk 60 tu kumbe alijua hizi nondo zingewaacha uchi.......sasa naelewa.
 
Back
Top Bottom