Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
MZEE WARIOBA NI MTU HATARI SANA KATIKA KUJENGA HOJA, ANATHIBITISHA KUWA MWILI UNAWEZA UKAZEKA LAKINI AKILI IKAENDELEA KUFANYA KAZI VIZURI.
Joseph Sinde Warioba ni nguli wa kujenga hoja, kama umefuatilia uwasilishaji wake leo Bungeni ameonesha uwezo wa hali ya juu katika kuonesha uhalisia wa mambo hasa kuhusu muungano na muundo wa serikali. Ni rahisi kumbeza Warioba kwa kejeli za kisiasa lakini kupinga hoja zake kwa hoja mbadala ni kazi inayohitaji maandalizi ya hali ya juu.
Ndio maana waliofilisika sera kichwani, watu wanaotaka kusikia wanachotaka kusikia, watu wanaozuwia uhalisia kuchukua nafasi yake wanaamua kutumia fujo za kumzomea ili kufifisha uzito wa hoja za Warioba lakini wameshindwa.
Hongera sana Mzee Warioba kwa kutuelimisha.

Joseph Sinde Warioba ni nguli wa kujenga hoja, kama umefuatilia uwasilishaji wake leo Bungeni ameonesha uwezo wa hali ya juu katika kuonesha uhalisia wa mambo hasa kuhusu muungano na muundo wa serikali. Ni rahisi kumbeza Warioba kwa kejeli za kisiasa lakini kupinga hoja zake kwa hoja mbadala ni kazi inayohitaji maandalizi ya hali ya juu.
Ndio maana waliofilisika sera kichwani, watu wanaotaka kusikia wanachotaka kusikia, watu wanaozuwia uhalisia kuchukua nafasi yake wanaamua kutumia fujo za kumzomea ili kufifisha uzito wa hoja za Warioba lakini wameshindwa.
Hongera sana Mzee Warioba kwa kutuelimisha.
