Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Kwa mahakama zetu hizi ..ambazo hata mwanasheria wa serikali..alishindwa na magaidi waliochoma kanisa hadharani?Wachote mawazo hao hao, Juzi tu kapigwa chini na kijana mdogo lakini mahiri, ALBERT MSANDO.