Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Yaani jamaa kwanza Chama chake tawala ndo kilipitisha hizo'tozo gandamizi' kwa 100%, sasa tena anataka upinzani uzungumzie na kulalamikia kuhusu hilo tena.... kaazi kwelikweli.Wajinga kweli,halafu akiongea ndo tozo zitatoka?
Kuandamana hayataki acha yapigwe,walifikiri tozo ni kwa upinzani tu
Unataka apewe kesi ya ugaidiSasa Mh zito ililuaje Tz iliingia uchumi wa kati 2020 kama ukuaji wa uchumi ulishuka hadi 2%?
Umetaja watu wanaotakiwa kuwajibika kwa kuwapotosha wananchi juu ya Corona. Mbona umemuacha Rais aliyepo?
Tupewe takwimu za vifo vya korona, si vifo kwa ujumla!Mada ni madini matupu. Yastahiki kukaziwa kifungu kwa kifungu:
1. Korona:
(a) "... kuwa maombi ya kusajili vifo kupitia mfumo wa E-Huduma yameongezeka kufikia vifo 112,487 mwaka 2020 ukilinganisha na vifo 35,000 mwaka 2019. Hili ni ongezeko la zaidi ya 200% kwa mwaka."
(b) "Takwimu za Serikali zinaonyesha kuwa kulikuwa na wastani wa vifo 132 kwa wiki vinavyosababishwa na Korona mwezi Aprili 2021. Mwezi uliopita, Julai 2021, kumekuwa na wastani wa vifo 507 kwa wiki. Hili ni ongezeko la vifo vinavyosababishwa na Korona la takribani 300% ndani ya miezi mitatu tu."
(c) "Ni maoni yangu kuwa Waziri wa sasa wa Afya na Naibu wake na Waziri wa sasa wa Katiba na Sheria ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi (aliyebeba ndege ya Serikali kwenda Madagaska kutuletea kilichoitwa dawa ya kutibu Korona), wanapaswa kuwajibika au kuwajibishwa kwa kuwadanganya wananchi na kuleta maafa makubwa nchini."
View attachment 1885023
View attachment 1885026
--------
Tutakuwa tumepoteza na tunapoteza watu wengi kuliko mataifa karibu yote duniani kwa sababu ya upumbavu wa watu wachache.
Wacha kutetea uongo hata kama unampenda Zitto!Zito ni mtu safi na asie na kinyongo ndani ya moyo wake.
Pamoja na kunusurika kupewa sumu wakati akiwa chadema kwa sababu ya kutaka kugombea uenyekiti, pamoja na kufukuzwa kama mbwa na kudhalilishwa na wafuasi wa yule anaemtetea leo, lkn bado ameendelea kuonesha moyo wa umoja na ushirikiano nao kama vile waliyomfanyia hayakumuhusu yeye.
Pia amesahau matusi yote waliyomtusi wakati chama chake kilipojiunga na serikali ya umoja wa kitaifa kule Zanzibar. Hii ndio siasa safi ambayo mwanasiasa yoyote aliekomaa anatakiwa kuwa nayo. Sio wale waliowauwa kina chacha wangwe, kumpoteza ben saa8 na kuwatishia wengine eti wasionje sumu kwa ulimi kisa tu wanataka kuingilia masilahi yake ya kisiasa pale ktk kiti chake.
Rudia kusoma spichi ya Zitto, ametaja vifo vya korona na si jumla! Siku hizi vinarekodiwa!Tupewe takwimu za vifo vya korona, si vifo kwa ujumla!
Tupewe pia takwimu za vifo vya mataifa ambayo ziko strict kwa barakoa na lockdown ili tuamini ongezeko la vifo tz ni kutovaa barakoa na kutojilockdown!
Kama mataifa yote Kuna ongezeko la vifo, Basi tujue ni sababu ya janga la dunia na si janga la tz
Ningeshauri serikali ifanye tafiti ya ya Hali ya vifo vya korona tz na nchi zingine ili tuone tumeanguka kiasi gani au tumefaulu kiasi katika kupambana na korona kuliko kutishana kilasiku eti tunakufa Sana kwa uzembe wetu ilhali nchi za barakoa na lockdown zinapata vifo kwa rate hiohio ama zaidi!
Ww ni mgeni hapa jf na kwenye siasa za Tanzania kwa ujumla.. afu nikwambie ukweli mimi napingana na zito kweny mamb mengi maana tunatofautiana kwenye vyama na itikadi za vyama, ila ukweli ndio huo jamaa huwa anashambuliwa sana akijaribu kuipongeza serikali kwa jambo fulan, lkn wakati huo huo Lisu au Mbowe akipongeza utasikia wanasema siasa sio uadui.Wacha kutetea uongo hata kama unampenda Zitto!
Huyu jamaa ni mnafiki Sana anajenga hoja kwa kukwepa kwepa ukweliSasa Mh zito ililuaje Tz iliingia uchumi wa kati 2020 kama ukuaji wa uchumi ulishuka hadi 2%?
Umetaja watu wanaotakiwa kuwajibika kwa kuwapotosha wananchi juu ya Corona. Mbona umemuacha Rais aliyepo?
Tupewe pia takwimu za vifo vya mataifa ambayo ziko strict kwa barakoa na lockdown ili tuamini ongezeko la vifo tz ni kutovaa barakoa na kutojilockdown!
Kama mataifa yote Kuna ongezeko la vifo, Basi tujue ni sababu ya janga la dunia na si janga la tz
Ningeshauri serikali ifanye tafiti ya ya Hali ya vifo vya korona tz na nchi zingine ili tuone tumeanguka kiasi gani au tumefaulu kiasi katika kupambana na korona kuliko kutishana kilasiku eti tunakufa Sana kwa uzembe wetu ilhali nchi za barakoa na lockdown zinapata vifo kwa rate hiohio ama zaidi!
Kwani Jokate na Shaka wana umri gani? Aidha, unadhani kila mtu alikuwa anasubiri mpaka zifike chanjo za hisani nchini?Zitto Kabwe kasema keshachanjwa chanjo ya corona
Na waliopewa kipaummbele kwa sasa ni wafanyakazi wa sector ya afya,walio na umri zaidi ya miaka 50 na kundi la tatu ni wenye changamoto za maradhi
Zito Kabwe alizaliwa 1976 ana miaka 45 hivyo ni obvious kachanja kwa kuwa ana changamoto za kiafya,Zipi anazijua mwenyewe.Kwake kupongeza chanjo ni haki yake