nadhani ihi kauli ya nyerere kwanza ihanzie kwenye chama chenu,
sote tumeshuudia rushwa zikitawala kwenye kura za maoni, kwa macho yetu, kura zikiwa zimeshapigiwa tiki zikiingizwa kwenye masanduku ya kura,
sasa ni vyema unapoongea kwanza ukajikagua je! Wewe upo vizuri?
Kama chama cha mapinduzi kingekua bado ni kile cha nyerere, wananchi wasinge kikataa,
na hofu mlio nayo juu ya lowassa niya nini kama bado chama chenu kinafuata misingi ya mwalimu?
Mwalimu hasitumike kama kichaka cha kuficha uchafu ulio kithiri ndani ya ccm,
siku hizi watu wamesha helimika wanajua pumba na mchele,
kama lowassa angekuwa fisadi hasinge kubali kuama ccm, maana ccm ndio kinga yake juu ya maovu yake,
lakini kama lowassa ameama ccm basi huyu mtu hana hata chembe ya ufisadi,
lowassa ni msafi tena ni mwadilifu kabisa, ila chama chake cha zamani ndio kinachafua watu,