Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Zitakujaza ujinga tu. hakuna cha maana utachokipata humo. Kama unabisha zitafute, sikiliza halafu njoo utuambie cha maana ulichokipata.

Natamani ningeweza kukuona nikalinganisha mwonekano wako na upuuzi unaoandika kama vinaendana!
 
Zitakujaza ujinga tu. hakuna cha maana utachokipata humo. Kama unabisha zitafute, sikiliza halafu njoo utuambie cha maana ulichokipata.

FaizaFoxy wewe mama ni waajabu hatakama unauhuru wa kutoa mawazo!kwako jakaya ndo
 
Last edited by a moderator:
Tafadhari jamani FaizaFoxy asiusishwe na dini yetu,hayo ni yake binafsi na Faida anaijua yeye kwa huyo anayejipendekeza naye
 
Last edited by a moderator:
Natamani ningeweza kukuona nikalinganisha mwonekano wako na upuuzi unaoandika kama vinaendana!

Zisikilize uje kutwambia kama kuna cha maana, sana sana utamsikia anajichekesha kiuongo-ongo, kwi kwi kwi. Hakuna zaidi.
 
Shetani aendelea kukusaidia!
Pamoja na kwamba huru wa kusema na kutapika huu ujinga ni wako ni bora ukaweka akiba maana mawazo mengine unaweza kusababisha utindo wa ubongo kwa wanao maana watajiuliza u-mama wa aina gani katika dunia hii!

Onyesha cha maana kimoja cha Nyerere tukijadili halafu tuone kweli kina maana? angekuwa na maana angeiacha hii nchi baada ya miaka 24 ya kutawala kidikteta, kuwa maskini duniani?
 
Monile wakuu! Mwenye hotuba zake kwa mfumo wowote ule,wa maandishi,audio au video, naomba anisaidie niweze kumsikiliza au anijulishe wapi ntazipata.

Kabwina,aise ukipata namie nipe
 
Zitakujaza ujinga tu. hakuna cha maana utachokipata humo. Kama unabisha zitafute, sikiliza halafu njoo utuambie cha maana ulichokipata.

kumbe wewe ndo msimamo wako, humkubali Nyerere unawakubali kina JK maana kila siku unawatetea. Basi tuewekee hotuba za JK na akina Lowasa tusikilize ambazo wewe unajua zina maana.
 
Onyesha cha maana kimoja cha Nyerere tukijadili halafu tuone kweli kina maana? angekuwa na maana angeiacha hii nchi baada ya miaka 24 ya kutawala kidikteta, kuwa maskini duniani?

Kwa akili ipi uliyonayo ya kuweza kufanya majadiliano kama huwezi kuona hata kimoja kizuri cha J.K.Nyerere!
Hivi siku hizi pale Lumumba panauzwa/mnauza Akili siyo?

Ila hongera kwa ujasiri ulionao na ukaaminiwa kufanya kazi za kishetani
 
Kama alivyowajaza ujinga baba zako wa gerezani.

Jikumbushe enzi za FaizaFoxy:

 
Kwa akili ipi uliyonayo ya kuweza kufanya majadiliano kama huwezi kuona hata kimoja kizuri cha J.K.Nyerere!
Hivi siku hizi pale Lumumba panauzwa/mnauza Akili siyo?

Ila hongera kwa ujasiri ulionao na ukaaminiwa kufanya kazi za kishetani

Jikumbushe:

 
nenda pale kwenye ofisi za mfuko wa taasisi ya mwl.nyerere karibu na ifm muone mze josef butiku utazipata zote unazohitaji.

ok, kwani lazima nimuone butiku wengine hawawezi saidia?
 
Jikumbushe:



Nimejaribu kujikumbusha lakini nimepata harufu ya chuki binafsi au zenye mzukumo wa kiimani

Maelezo ya wapambe wote uliowanukuu wanatofauti gani na wewe?


Uzuri ni kwamba mtaandika weeeeeeeeee lakini ukweli unabaki palepale hata 1000 ijayo kuwa J.K.Nyerere aliku Rais wa Kwanza wa Tanganyika na mzalendo kuliko yeyote yule!
Hivi inaingia akilini unaleta stori za Mhaini na kuita hoja za kujadiliwa?
 
Zitakujaza ujinga tu. hakuna cha maana utachokipata humo. Kama unabisha zitafute, sikiliza halafu njoo utuambie cha maana ulichokipata.
ameuliza atazipata wapi kama unajibu la alichouliza sema kama hauna cha mwendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…