Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Kila Zama na Kitabu chake! Huu ni wakati wa Lowassa... Story za Steve Nyerere Pelekeni kwa Membe na January ...
 
Mmmmmh......... Tanzania ya 1992 sio ya leo 2015! Kuwa,makini usidanganyike na sauti
 
Kila Zama na Kitabu chake! Huu ni wakati wa Lowassa... Story za Steve Nyerere Pelekeni kwa Membe na January ...

It is the real Speech of Nyerere, walichokifanya ni kuandaa image
 
'Mtanzania wa leo' hivi leo ya kwenye video na leo ya leo bado zinafanana!!
 
Steve nyerere anaongea mnatakutudanya mnafikir sie n washamba kiivyo eti,kwa taarifa yenu Lowassa n tumain letu watanzania hyo membe kwnza ana uraia wa nchi mbili hvo hana uzalendo na taifa hili hatuhitaji mamuluki kw hili
 
Team Membe itakuwa Hembe na Mende. Raisi ajaye ni Lowassa, pesa zote team Kikwete walizo zificha Uswisi zitarudi nchini.
 
Sauti ya Nyerere kweli bado inaishi! Maneno haya aliyoyazungumza miaka 20 iliyopita, utafikiri ameyasema leo!!!!!????? Kweli Nyerere alikuwa lulu, hakuna ubishi!
 
Hotuba zake za miaka chungu nzima iliyopita bado ziko valid utadhani zimetolewa juzi. Hawa waliopo hakuna hata hotuba yao moja unatamani kuisikia. Mwalimu alikuwa ni hazina kubwa sana ya Taifa.

Sauti ya Nyerere kweli bado inaishi! Maneno haya aliyoyazungumza miaka 20 iliyopita, utafikiri ameyasema leo!!!!!????? Kweli Nyerere alikuwa lulu, hakuna ubishi!
 
Ujumbe mzuri huu, tujiulize tu anakimbilia Ikulu kufanya nini?
 
Hawa team members mmeishiwa sera,,,hivi mnafiki sie ni watoto hata sauti ya nyerere hakufaham?
 
Hawa team members mmeishiwa sera,,,hivi mnafiki sie ni watoto hata sauti ya nyerere hakufaham?

Steve nyerere anaongea mnatakutudanya mnafikir sie n washamba kiivyo eti,kwa taarifa yenu Lowassa n tumain letu watanzania hyo membe kwnza ana uraia wa nchi mbili hvo hana uzalendo na taifa hili hatuhitaji mamuluki kw hili

Wengine hao waliozaliwa miaka ya 2000..mnatia huruma...nendeni mkabadilishwe daipaz kwanza...ebo!!!
 
Lowassa kwa anavyo nuka kwa rushwa angekuwepo nyerere hata form asinge ruhusiwa kuchukua
 
'Mtanzania wa leo' hivi leo ya kwenye video na leo ya leo bado zinafanana!!

Hapa tunatakiwa kushangaaa kwa pamoja, Logic gani inatumika kufanya comparison? Leo ipi.... Nani kanunuliwa? watu wanaaminishwa ujinga ujinga tu....
 
Ujumbe mzuri huu, tujiulize tu anakimbilia Ikulu kufanya nini?

wewe aliyekutuma upost hii clip anakimbilia Ikulu kufanya nini? Kama hujapost huyo unayehisi ndo anafaa yeye anakwenda kufanya biashara gani?
 
Back
Top Bottom