Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Hotuba za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

It is the real Speech of Nyerere, walichokifanya ni kuandaa image

It is true it is the real speech of Mwalimu that he made during May Day in Mbeya waya back in 1995. Listen to the original video. Mukitaka details kaongeeni na waliokuwepo siku hiyo huko Mbeya (Mkuu wa Mkoa Paul Kimiti, Katibu wa OTTU, Bruno Mpangalla)

 
Last edited by a moderator:
Mbona haina mahusiano. Lowassa anachangiwa hela so kwamba anawapa. Hapo utasemaje amenunuliwa?
Hivi hamuoni kuwa hii nchi ishanunuliwa na Wachina? Ebu jiulize mkopo ambao mhe. Rais amekopa kwa Serikali ya China baada ya wafadhili kusitisha fedha za maendeleo zitalipwaje zaidi ya US$ Trilioni 1.8? Angalia mikataba iliyosainiwa wakati rais wa China alipokuja, hadi leo kuna anayejua kilichomo hata kwenye mkataba mmojawapo? Sasa kwa taarifa yako hiyo sauti inamhusu huyu aliyeko madarakani kwa sasa. Fikiri kwa kina.
 
Huyo Steve Nyerere wewe ... Rudia tena kuisikiliza ...

Hata kama ni Steve Nyerere, kwani hiyo hotuba ya mwalimu hukuwahi kuisikia? Ilikuwa mwaka 1995 wakati MWL. anampigia kampeni Mkapa!! UJUMBE UMEFIKA!
 
Julius Nyerere apumzike kwa amani...ni Mtanzania wa kupigiwa mfano milele na ataishi milele
 
Badala ya kutuambia mtakachokifanya mmekalia kumu attack Lowasa. Nyambafu zenu

Mkuu kwani EL kakwambia anataka kwenda ikulu kufanya nini?maana tupeane habari wote jamani mzee hajasema lolote juu ya kuitengeneza tz mpya ila mashabiki wake ni kama mmeshaambiwa.
 
napenda kuona TEAM MEMBE ikiwa bize. Wanatumia teknolojia ya kisasa kuwafikia watu direct kupitia twitter, youtube whatsapp, facebook,instagram,

TEAM LOWASA bado mna kazi kubwa sana ku catch up na Team Membe

TEAM JANUARY MAKAMBA nilitegemea wangekuwa mstari wa mbele kwenye kutumia kampeni za teknolojia lakini naskia January watu wake hawako happy na menejimenti inayoongozwa toka South Africa

Hahah Mkuu lowassa amewaacha mbali sana Kwa technology hao uliowataja, unajua mpk jamaa ana application yake Google play Nadhani inaitwa lowassa, hao wengine vp?
 
napenda kuona TEAM MEMBE ikiwa bize. Wanatumia teknolojia ya kisasa kuwafikia watu direct kupitia twitter, youtube whatsapp, facebook,instagram,

TEAM LOWASA bado mna kazi kubwa sana ku catch up na Team Membe

TEAM JANUARY MAKAMBA nilitegemea wangekuwa mstari wa mbele kwenye kutumia kampeni za teknolojia lakini naskia January watu wake hawako happy na menejimenti inayoongozwa toka South Africa

Hii Kazi yote ya kusambaza huu Ujumbe wa Nyerere na kuweka picha za Lowasa imegharamiwa na January makamba na Membe naye kaidandia tu, January Yupo busy na timu yake wanaisambaza kila kona akidhani kuwa watanzania ni wajinga jinga hawajui kuwa hizo ni Chuki zao kwa Lowasa. Tambua kuwa kila mwenye nia ya kugombea Urais anatumia Pesa na kama huo Usia wa Nyerere ukizingatiwa hakuna mgombea wa Tanzania atapona kwani woote wanatumia pesa , tena January Makamba na Membe wao wanatumia pesa nyingi kwenye Fitina na Majungu kwa Lowasa nia yao ni kumpoteza ili wapate njia nyeupe kwenda ikulu, njia wanazotumia Membe na January makamba ni mbaya Kuliko wengine Nyerere angekuwa hai leo lazima angewalaani kwani wanatumia Kauli mbiu yake kwa mbinu za kimafia.
 
Mbona haina mahusiano. Lowassa anachangiwa hela so kwamba anawapa. Hapo utasemaje amenunuliwa?
Hivi hamuoni kuwa hii nchi ishanunuliwa na Wachina? Ebu jiulize mkopo ambao mhe. Rais amekopa kwa Serikali ya China baada ya wafadhili kusitisha fedha za maendeleo zitalipwaje zaidi ya US$ Trilioni 1.8? Angalia mikataba iliyosainiwa wakati rais wa China alipokuja, hadi leo kuna anayejua kilichomo hata kwenye mkataba mmojawapo? Sasa kwa taarifa yako hiyo sauti inamhusu huyu aliyeko madarakani kwa sasa. Fikiri kwa kina.

Mkuu unajua maana ya US$ trillion 1.8?
 
Timu Maembe mtasema sana huku safari ya matumaini ikikaribia magogoni.

January makamba na Membe wameungana wamewekeza Mabilioni wanatengeneza hiyo kazi na watahakikisha inasambazwa kote , Lakin wamesahau kuwa Watanzania wa sasa si wajinga wameshajua mchezo Woote na pesa wanazotumia kusambaza Fitna ni Nyingi kuliko pesa anazotumia Lowasa.
 
Ni kweli kuwa mtu anaetaka kwenda ikulu kwa pesa ni wa kuogopwa kama ukoma

Watu wa aina hii wote wapo CCM,sio Membe wala nani,wote ni wale wale
 
Julius Nyerere apumzike kwa amani...ni Mtanzania wa kupigiwa mfano milele na ataishi milele

Membe na January Makamba wanatumia pesa kutengeneza Hiyo video na kuisambaza ni pesa hivyo nao wanatumia pesa kununua njia ya kuelekea ikulu, Membe anatumia mapesa ya marehemu Gadafi kununua njia ya kuelekea ikulu na Makamba yeye anatumia pesa za kupewa na Rostam Aziz baada ya kuchepuka na dada yake mwanvita, woote wawili wanatumia pesa Haramu kununua njia ya kuelekea ikulu, Membe na January Makamba ni wa kuwaogopa kama ukoma kwani njia zao za fitna ni mbaya kuliko wengine.
 
Ni kweli kuwa mtu anaetaka kwenda ikulu kwa pesa ni wa kuogopwa kama ukoma

Watu wa aina hii wote wapo CCM,sio Membe wala nani,wote ni wale wale
Hiyo video imetengenezwa na January Makamba kisha akampelekea Membe wakaiangalia pamoja wakaamua kuweka pesa nyingi isambazwe kote Nchini wakiamini kuwa itamdhoofisha Lowasa na wao wapate nafasi, Tambua kuwa January na Membe wanatumia pesa kueneza fitna kwa Lowasa japo Makamba anatumia mpaka Uchawi huku dada yake akichepuka na Uhuru Kenyata na Rostam Azizi kupata pesa za kumsaidia huo wote ni Ununuzi wa njia ya ikulu ni matumizi ya pesa kununua njia ya ikulu, woote wanatumia pesa kwenda ikulu tena Membe na January wanatumia njia haramu zaidi.
 
Back
Top Bottom