Nilifeel good Sana,
Beatrice-Huyu nilachanaye Kwa vita, Vurugu,Matusi na Maneno Chungu nzima,
Huwa sipendi kuchana kwa Magonvi sana katika Mahusiano Japo ni ngumu,Nilimtafuta tukayamaliza vyema...Baada ya Muda nikisakia kaolewa,
Mara ya Mwisho Twaonana alikuwa na Mtoto moja,huku akiwa na kichanga Tumboni (Mimba)...Basi nilifurahi tukasalimiana freshh stori za hapa na pale na ucheshii.
Hakika nilifeel gudi.
Eliza-Huyu Nilikutanaye baada ya Miaka kadhaa yupo na Afya njema akiaambatana na mtoto wa kiume,Aliniona akaniita tukafurahi kusalimiana safii sana...!
Note:Huwa siendelezi Mawasiliano sana na Ma'Ex,Huwa nawaacha Waendelee na shughuli zao lakini kama Tukikutana basi tunafurahi na kubadilisha Tafakuri..!