Ha ha mkuu hizo mbwembwe tu hamna kitu Kama hicho..Dahh mkuu nimesoma hii reply uku natabasamu, unajua Sana kuandika kwa vile uzi wa Kula tunda kimasihara umefutwa, kwanini usiandike kitabu kabsa kuhusiana na tunda kimasihara😂
Kumpa nafasi tena yakuzungumza, inaonekana mtu poa sanaNilifeel good Sana,
Beatrice-Huyu nilachanaye Kwa vita, Vurugu,Matusi na Maneno Chungu nzima,
Huwa sipendi kuchana kwa Magonvi sana katika Mahusiano Japo ni ngumu,Nilimtafuta tukayamaliza vyema...Baada ya Muda nikisakia kaolewa,
Mara ya Mwisho Twaonana alikuwa na Mtoto moja,huku akiwa na kichanga Tumboni (Mimba)...Basi nilifurahi tukasalimiana freshh stori za hapa na pale na ucheshii.
Hakika nilifeel gudi.
Eliza-Huyu Nilikutanaye baada ya Miaka kadhaa yupo na Afya njema akiaambatana na mtoto wa kiume,Aliniona akaniita tukafurahi kusalimiana safii sana...!
Note:Huwa siendelezi Mawasiliano sana na Ma'Ex,Huwa nawaacha Waendelee na shughuli zao lakini kama Tukikutana basi tunafurahi na kubadilisha Tafakuri..!
Labda..😅Nikiwa na kazi yangu yoyote inayoitaji mbwebwe ntakutafta mkuu😂😂
ZilipendwaKwanini usimpatie tena nafasi yake😅
Mkuu dahh bichwa langu limekua ngumu mnoo kuamini ni kweli ulimwacha hivi hivi😅😅😅 maana kwenye uzi wa Kula tunda kimasihara Ka nshakuta wanakuzungumziaTulikaa tukaongea nikamwambia twende lunch tukaenda tukala vizuri wakati tunakula akaniomba nimsamehe yeye bado ananipenda sana na bado anataka kupewa nami. Mie sikusema lolote kwani sikutaka kuzungumzia yaliyopita. Baada ya msosi tukaagana huwa sipendi apande dala dala nikampa pesa ya kuchukua taxi.
Mtoto wa Tanga huyu Mbondei bomba sana kapanda juu tako tako kweli mguu umeshiba na kifuani pia kajaliwa. Nilimpenda sana huyu binti hadi friends walikuwa wananitania kanipa LIMBWATA 😜😜 nilijua atakuwa mke wangu lakini ndiyo hivyo tena.
Mkuu dahh bichwa langu limekua ngumu mnoo kuamini ni kweli ulimwacha hivi hivi😅😅😅 maana kwenye uzi wa Kula tunda kimasihara Ka nshakuta wanakuzungumzia
Mkuu kwanini uteseke... Mtoto ameshaonesha nia ya kurudi kwenye Jimbo lake, eb mpokeeMimi niliachana na ex wangu kama miezi kadhaa imepita lakini ile hisia ninayoipata nikimkumbuka Mungu wangu nisaidie dah!!!!
Akaona solution ni kuhama mkoa ili uhusiano uishe lakini bado hali imezidi kuwa mbaya kwangu, nikaona nitafute kifaa kingine lakini bado hali imezidi kuwa mbaya zaidi
Mungu si athumani kanipigia anadai mbilinge mbilinge akizikumbuka zinamfanya ashindwe kufanya kazi huko aliko na mimi huku kazi zimesimama ghafla,
Haya mapenzi duniani humu mateso tu.....
I miss you Aboki [emoji2962]
HaitotokeaNae hana Shaka, anajua anytime anapasha kiporo Moto😅
Ikawaje sasa hebu simulia vizuri [emoji12][emoji12]Tulikaa tukaongea nikamwambia twende lunch tukaenda tukala vizuri wakati tunakula akaniomba nimsamehe yeye bado ananipenda sana na bado anataka kuolewa nami. Mie sikusema lolote kwani sikutaka kuzungumzia yaliyopita. Baada ya msosi tukaagana huwa sipendi apande dala dala nikampa pesa ya kuchukua taxi.
Mtoto wa Tanga huyu Mbondei bomba sana kapanda juu tako tako kweli mguu umeshiba na kifuani pia kajaliwa. Nilimpenda sana huyu binti hadi friends walikuwa wananitania kanipa LIMBWATA [emoji12][emoji12] nilijua atakuwa mke wangu lakini ndiyo hivyo tena.