How did you feel the last time you saw your Ex?

Hahaha mkuu, yan apo ndio alikuja kukumalzia moja kwa moja
 
ina maana ule uzi wa kula umefutwa mkuu?
Dahh mkuu nimesoma hii reply uku natabasamu, unajua Sana kuandika kwa vile uzi wa Kula tunda kimasihara umefutwa, kwanini usiandike kitabu kabsa kuhusiana na tunda kimasihara[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…