How did you feel the last time you saw your Ex?

Hahaha mkuu, yan apo ndio alikuja kukumalzia moja kwa moja
Na mm nmeshukuru maana alivyonambia tuishie hapa wala ckushtuka tofaut na kipnd cha nyuma baada ya kuznguanq,due nlikuwa na stress sanaa,ila this time round kufanya kuja niaga kwa show nmefurqh mnoo na nmembarik akaangukie mikono salamq
 
We ukitupa takataka jalalani si unaipa mgongo na kuendelea na shughuli zako sasa ndo hiyo inatakiwa hata kwa x,,
Huwa sigeuki, kwel lazma maisha yaendee, big up mkuu
 
Na mm nmeshukuru maana alivyonambia tuishie hapa wala ckushtuka tofaut na kipnd cha nyuma baada ya kuznguanq,due nlikuwa na stress sanaa,ila this time round kufanya kuja niaga kwa show nmefurqh mnoo na nmembarik akaangukie mikono salamq
Huyo akili ilikuja mkaa Sawa akiwa tayar ashabaduliwa. Siku akili zikiruka atarud tena
 
Tulivyokutana tukachekeana piga stori sana badae tukaenda kupasha kiporo. Pasha kiporo sanaaaa mpaka tukataman turudiane lakn ndo hivyo haiwezekani kwa sasa.
 
Aliniuliza kwa mshangao "We mtu kumbe upo?"

Sasa sijui yule mbwa alihisi nimeshakufa.[emoji848][emoji848]
We mwite Tu mtoto wa watu mbwa, kakufichia mengi ujue😂
 
Tulivyokutana tukachekeana piga stori sana badae tukaenda kupasha kiporo. Pasha kiporo sanaaaa mpaka tukataman turudiane lakn ndo hivyo haiwezekani kwa sasa.
Dahh Bora mtu wangu hana ex, maana angekua ameshapashwa kiporo mara kwa mara😁
 
haha!mkuu umetumia lugh ngum mnoo,unamaanisha muda wote akiwa na mm akili zilikuwa zmeruka?ufafanuz kidogo tafadhali
Apana mkuu, umeninukuu vibaya, heshima yako nakutunzia Sana humu ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…