hahaaaa Bala anauliza je na Fidel atakuwepo huko????
aah B kilimo kwanza mna matrekta au ndo jembe la mkono??
G anaviwu acha kabsa,eeeh mkuranga mbn hujaniambia?can I join maana leo hme alone hous gal anaenda kwa maza
HEHEHE!ashindwe na alegee huyo masakiπππhhaaaa kwenye red hata mie nimeshtukia kakaake
afu kwenye blue inawezekana maana ni asili yao hao kina Masaki na Oysterbay
mwambie hommie wako TO LEAVE MY PEARL ALONE!pleaseπDah! Hivi leo siku gani vile?
Worry not bibie nina backup ya M7....na kwa kukuhakikishia ntakua on safe side expect ma call ukiwa billionares club na wapwa!
Duh! Pearl umetukana wapwa zako hadharani!
Dah! Hivi leo siku gani vile?
mwambie hommie wako TO LEAVE MY PEARL ALONE!pleaseπ
Billionares club
Laaziz wangu mbona kashajiandaa kwa ajili ya safari ya Mkuranga, hana wasiwasi!
In fact, by the way, nevertheless, meanwhile, however...tunapenda kuwataarifu kwamba, pamoja na mambo mengine, tunakwenda kukumbushia ''honeymoon'' yetu!
jamani nimemtukana nani?AM SORE,by the way vyumba vimebaki 2 so itabidi tucheze sandakalawe
masaki ni msanii!najua UNATUMIA KIZIZIπ
wanasikia sema HAWATAKI KUKUBALIπππthats a gentleman voic now u ea it pipoooooooooo?
yaani B, unauliza mbege uchagani? theme ya Kilimo Kwanza ni matrekta, tena sasa ya leo ni brand new, kilimo cha 'mkono' ni when it is absolutely necessary, sawa B!
haya kajiandae..Fidel anakuja pia mwabie kabisa B, ila naye anakuja na trekta lake anamalizia usajili tu mwambia B asiwe na wasi wasi
Ila geoff hawezi kuja, bado suti yake ina upanga..
πππmeli inaelea shilingi inazama
ubaya lile soko limeungua, wapi nitapata supu ya pweza na leo ijumaa tunaenda zetu gest huko mkuranga...damn....π
tobaaaaaa,DNT TRY ZIZ AT JF
Nijaribie wapi Pearl,,kindly provide an alternativeπ
Bby come ova to 9t,do u no ze song?
halafu wewe una majaribu kweli kwel!atakuja kweli huyoπππ
mwambie hommie wako TO LEAVE MY PEARL ALONE!pleaseπ
jamani nimemtukana nani?AM SORE,by the way vyumba vimebaki 2 so itabidi tucheze sandakalawe
mpe masaki na kaizer
hahaaaa no wonder unamaliza hekari nyingi kw amuda mfupi........Hapana situmii kizizi, natumia trekta la Kubota kwenye kilimo kwanza!
Ila ukisisitiza basi itabidi bht anisaidie hapa, na utalazimika kutoa uthibitisho usiotia shaka (to prove beyond reasonable dought)!!
hapo kwa Red nimekusoma.....hakuna shaka kabsaa hujui kwamba huku northen part wese tunalichimba wenyewe....hakuna kuagiza kutoka sijui dubai au wapi!!kwa kuwa umenihakikishia usalama wako sawa
heeeee jindae kuongea na woooooooooooooooote uweke wese la kutosha kabsaaa maana wapo wengi!!!
Sio kutukana matusi, nimemaanisha umetukataa....ingekuwa kwa maongezi ya kawaida ingeeleweka zaidi, ila kwa haya ya kwenye keyboard ina-sound vingine kabisa!