HR, Waajiri walalamika wahitimu ni weupe vichwani

HR, Waajiri walalamika wahitimu ni weupe vichwani

ni levels za kupoteza mda
Hapana sio kupoteza muda bali ni sehemu ya makuzi, wanatakiwa baada ya form 5 na 6 wanaenda hivyo vyuo vya kati ndipo wanaweza kwenda chuo kikuu, kutoka form 6 kwenda chuo kikuu ndio maana wanakuwa weupe huko makazini, umri ni mdogo sana.
 
Mwajiri makini huwa anaajiri kwa kutazama consistency ya muhitimu.

Mfano big four auditing firm PWC, KPMG,EY

Mfumo wao wa kuajiri huwa hautuzami sana maksi za chuo kikuu.

Huwa wanatizama sana A level na O level performance. Na pia wanatizama combinations ulizosoma

Wanapenda sana waone A za physics na A za advance Mathematics na A za accounting form 6.

Hayo masomo matatu ni njia nyepesi sana ya kumjua mtu makini.

Digrii kwao sio ishu hata uwe na GPA ya 5 kwao hawakuamini kama hayo masomo matatu huna outstanding performance
 
Ulishawahi kuona zimamoto akifeli? Hiyo ndio elimu ya chuo wale zimamoto wengi hawapo active na masomo ila ikikaribia mitihani wanakesha kusolve past papers zote... wakiingia kweny paper kama wanahamisha tu fasta tu wanapiga GPA za juu.

Hili suala la kukesha sijwahi kulielewa kabisa kabisa mpaka sasa.
 
Kuna mhasibu mmoja anashindwa andaa balance sheet eti kisa hana computer wakati shuleni kafanya bila computa
 
Mwajiri makini huwa anaajiri kwa kutazama consistency ya muhitimu.

Mfano big four auditing firm PWC, KPMG,EY

Mfumo wao wa kuajiri huwa hatuzami sana maksi za chuo kikuu.

Huwa wanatizama sana A level na O level performance. Na pia wanatizama combinations ulizosoma

Wanapenda sana waone A za physics na A za advance Mathematics na A za accounting form 6.

Hayo masomo matatu ni njia nyepesi sana ya kumjua mtu makini.

Digrii kwao sio ishu hata uwe na GPA ya 5 kwao hawakuamini kama hayo masomo matatu huna outstanding performance
Misingi ya kujitegemea mizuri kwa uwezo wa mwanafunzi ipo O-level, hata vyuo vingi kwa level ya degree wanaangalia uwezo wako wa ordinary level kweny Math na English language.

Mifumo ya chuo hawaangalia kwa sababu kuna ufundishaji na mitihani tofauti , uniformity ipo O level & High level kwa sana.
 
HR flani alilalamika wahitimu wengi Ni weupe vichwani na kuuliza Nini kifanyike

Nilikuwa na haya yakujibu!
Ushauri chakufanya Ni kwanza wakufunzi hasa wa vyuo vikuu waanze kufundishwa maarifa ya kisasa
Pili tujaribu kuchukua wakufunzi kutoka vyuo Bora vya nje inaweza kuwa kwa mpango wa kubadilishana.
Tatu : tuangalie tunapokwama kwenye mitaala yetu
Nne: Muda wa mafunzo ya vitendo angalau uwe muda mrefu kuliko ule wa kusoma darasani ,, badala ya mtu kwenda field miezi 3 mwanafunzi aende mafunzo ya vitendo angalau miaka miwili.
Tano : ipo mifumo inayomruhusu mwanafunzi kujifunza zaidi ya kile anachopewa darasani Yani maswali yanayochochea upimaji na sio yanayomlazimisha mwanafunzi kukariri kitini Cha notes
Fani zote tu wanachuo wengi wanafaulu kwa kutoa ngono au fedha
 
Back
Top Bottom