HR, Waajiri walalamika wahitimu ni weupe vichwani

HR, Waajiri walalamika wahitimu ni weupe vichwani

Shida waajiri wengi wana expectation kubwa, job descriptions page nzima ila mshahara laki 5 lazima wapate vilaza, majukum yakiwa mengi na mshahara uwe mwingi. Kuna sehem nilishangaa wanataka mhasibu mwenye uzoefu miaka 5 na cpa na jd page nzima ila mshahara laki 6 au 8, hapo lazima upate trash, ukiweka vigezo vingi na experience kubwa bas mshahara weka angalau milioni 2 hadi 4 uone kama utashindwa kupata best performers
 
Tatizo si wahitimu kuwa na uwezo mdogo..

Tatizo ni expeditions kubwa walizonazo waajiri ambazo akikuajiri anataka uzifikie kwa muda mfupi, na wakati huo ukiangalia ni jambo ambalo haliwezekani...

Tatizo pia waajiri wengi (hasa maboss/wamiliki wa makampuni na taasisi) kupenda pesa zaidi kuliko kutoa huduma... Kunamfanya afocus kwenye utendaji wa kuchakata pesa zaidi kuliko huduma... Hapa sasa unakuta boss ana mipango yake kichwani ambayo haiendani na mipango kazi... Unajikuta anakuforce ufanye anavyotaka na sio taaluma inavyotaka, mwisho wa siku inapoteza hamu ya ufanyaji kazi... Unaamua kwenda tu ilimradi Liwale na liwe

Tatizo lingine maHR wengi siku hizi hawajisumbui kutafuta watu, badala yake wanawatumia ma agent kupata watu, huko unakutana na mtu ambaye pengine wala hana taaluma ya hiyo kazi, ana experience ya kughushi... Akiingia kazini ndio matatizo yanaanza

Yapo mengi sana, ila mengi yanatokana na maboss wenyewe na sio wahitimu
Haya mhitimu
 
HR flani alilalamika wahitimu wengi Ni weupe vichwani na kuuliza Nini kifanyike

Nilikuwa na haya yakujibu!
Ushauri chakufanya Ni kwanza wakufunzi hasa wa vyuo vikuu waanze kufundishwa maarifa ya kisasa
Pili tujaribu kuchukua wakufunzi kutoka vyuo Bora vya nje inaweza kuwa kwa mpango wa kubadilishana.
Tatu : tuangalie tunapokwama kwenye mitaala yetu
Nne: Muda wa mafunzo ya vitendo angalau uwe muda mrefu kuliko ule wa kusoma darasani ,, badala ya mtu kwenda field miezi 3 mwanafunzi aende mafunzo ya vitendo angalau miaka miwili.
Tano : ipo mifumo inayomruhusu mwanafunzi kujifunza zaidi ya kile anachopewa darasani Yani maswali yanayochochea upimaji na sio yanayomlazimisha mwanafunzi kukariri kitini Cha notes
Aya ndiyo matokeo ya serikali awamu ya nne kupunguza maksi ili Wanafunzi wafaulu wengi chini ya mfumo wa mchongo wa GPA!
We are reaping what we sowed!!
 
Ni wakati tuajiri kutokana na uwezo wa mtu na sio elimu ya mtu
Uwezo wa mtu unapimwa vip? Hayo mambo hayapo kwa vile dunia haiwezi kukubali ukweli ,elimu na utendaji kazi ni vitu tofauti kabisa.

Utendaji kazi unaambatana na vitu kadhaa ndio maana kweny utumishi wa umma kuna code of conduct.


Utendaji wa kazi kuna creativity, diligence, consistency , persistence,heshima ,uwezo wa kujifunzi ,kuendana na mazingira ya kazi pamoja & kuwahi kazini ....Watu wanakosa maadili ya kazi ndio tatizo
 
Kwa MTU ambaye hasomi vitabu tofauti na vya lecturer hawezi kuwa smart Kwa level kubwa.

Elimu Tz ni nadharia ambazo hazina mwelekeo hivyo lazima ujiongeze kuikuza career yako Kwa kusoma mambo tofauti na ya lecturer ili kuwa smart .


Hata hao HR hamna kitu
 
Uwezo wa mtu unapimwa vip? Hayo mambo hayapo kwa vile dunia haiwezi kukubali ukweli ,elimu na utendaji kazi ni vitu tofauti kabisa.

Utendaji kazi unaambatana na vitu kadhaa ndio maana kweny utumishi wa umma kuna code of conduct.


Utendaji wa kazi kuna creativity, diligence, consistency , persistence,heshima ,uwezo wa kujifunzi ,kuendana na mazingira ya kazi pamoja & kuwahi kazini ....Watu wanakosa maadili ya kazi ndio tatizo


Unajua ni ngumu Sana kutambua na kuujua uwezo wa MTU ikiwa wewe haupo smart vya kutosha.

Yaani sio rahisi Akili ndogo ikaitambua akili kubwa

Sasa hao HR wanabahatisha tu Ila they know nothing
 
U
Kwa MTU ambaye hasomi vitabu tofauti na vya lecturer hawezi kuwa smart Kwa level kubwa.

Elimu Tz ni nadharia ambazo hazina mwelekeo hivyo lazima ujiongeze kuikuza career yako Kwa kusoma mambo tofauti na ya lecturer ili kuwa smart .


Hata hao HR hamna kitu
Unaweza kushangaa HR wana mamlaka ya ku'shape wafanyakazi ila nao wanalalamika sasa kazi yao ni ipi?

Nchi hii ina watu wengi hawajui majukumu yao wamebaki lawama tu.

Nilifanya kazi mwaka 2016 taasisi fulani jina kapuni maana ni ya hovyo mpaka leo ,nakuambia miezi 8 mko ofisini hakuna training wala nn ,kazi ni kuanza saa 2 mpaka 12 ...Hakuna refreshment ya aina yoyote ile wala kutuliza akili kuanzia j3 mpaka jmosi.

Hakuna timu ya taasisi japo ingawa ni Taasisi ya serikali, hakuna training ila kazi ni nyingi kila siku unajza fomu kama sita ,ukirudi mtu umechoka .. Training ndio wamefeli wanadae eti bajeti yao haitoshi.
 
U

Unaweza kushangaa HR wana mamlaka ya ku'shape wafanyakazi ila nao wanalalamika sasa kazi yao ni ipi?

Nchi hii ina watu wengi hawajui majukumu yao wamebaki lawama tu.

Nilifanya kazi mwaka 2016 taasisi fulani jina kapuni maana ni ya hovyo mpaka leo ,nakuambia miezi 8 mko ofisini hakuna training wala nn ,kazi ni kuanza saa 2 mpaka 12 ...Hakuna refreshment ya aina yoyote ile wala kutuliza akili kuanzia j3 mpaka jmosi.

Hakuna timu ya taasisi japo ingawa ni Taasisi ya serikali, hakuna training ila kazi ni nyingi kila siku unajza fomu kama sita ,ukirudi mtu umechoka .. Training ndio wamefeli wanadae eti bajeti yao haitoshi.
Duuh!!! Inafikirisha Sana

Watu ambao wapo serikalini most of them wanaamini wamefika mwisho Wa maisha yao ya kazi.

Wanabweteka hawana consistency ,persistency and credibility . they just work only to feed their stomach and not to up grade their careers
 
Duuh!!! Inafikirisha Sana

Watu ambao wapo serikalini most of them wanaamini wamefika mwisho Wa maisha yao ya kazi.

Wanabweteka hawana consistency ,persistency and credibility . they just work only to feed their stomach and not to up grade their careers
Nimeshngaa mwaka mzima kuna training moja tu ,yaani hakuna field wala wala nn !

Nimeenda taasisi nyingine aisee nimekuta wapo smart watu wana maslahi mazuri , training kutwa ,safari mpaka mtu unapata uzoefu wa kuandaa ripot za safari ila huko mwanzo miezi 8 ina maana training kwa mwaka ni mara moja.
 
Nimeshngaa mwaka mzima kuna training moja tu ,yaani hakuna field wala wala nn !

Nimeenda taasisi nyingine aisee nimekuta wapo smart watu wana maslahi mazuri , training kutwa ,safari mpaka mtu unapata uzoefu wa kuandaa ripot za safari ila huko mwanzo miezi 8 ina maana training kwa mwaka ni mara moja.


Aaah inafikirisha kweli mkuu Ila tuendelee kuonyesha utofauti
 
Pia Kuna mabosi ni vilaza. Mnajadili hoja konki, badala ya bosi kutoa majibu mujarabu Kwa mtoa hoja, yeye (bosi) anaanza kumshambulia mtoa hoja (personal attacks).
Yaani badala ya kushambulia hoja, yeye (bosi) anamshambulia mtoa hoja. Lol [emoji114][emoji114]

Wahenga wanasema "Never outshine your boss"
 
wahitim wa shahada kwenye fani ya UHASIBU na KODI niweupe kama wanafunzi wa kidato cha nne
Pia 96% ya wahasibu wa Halmashauri hawajui wanachokifanya.....naongea kama MKAGUZI hasa kuhusiana na Creditor control account
90% ya waajiriwa serikalini ni weupe pee white elephants kabisa!
 
Kwa MTU ambaye hasomi vitabu tofauti na vya lecturer hawezi kuwa smart Kwa level kubwa.

Elimu Tz ni nadharia ambazo hazina mwelekeo hivyo lazima ujiongeze kuikuza career yako Kwa kusoma mambo tofauti na ya lecturer ili kuwa smart .


Hata hao HR hamna kitu
Nikweli kaka
 
Back
Top Bottom