๐๐๐ walisema imeisha? Sasa iliishia kwa wapiUnawaambia hii Yalaiti mbona haikuisha na mmeanza marudio, wao wanakomaa kuwa ilifika mwisho. Mwisho si ni lazima neno MWISHO litokee na story yenyewe iwe imekwisha?? Yaani mfano leo baadae tuambiwe JUAKALI imefika mwisho.
Au mimi ndio sielewi?๐๐
Mm hua naangalia njoro wa uba na hiyo JuaKuchoma, hizo zingine sijui huba sitaki kupata kisonono cha macho.Ni nzuri.. sasa wanatukomesha sie tunaongalia Huba. Basi inabidi uwe 50/50 maana zinaonyeshwa muda mmoja
Ile njoro wa huba bonge moja la vichekesho.Si wengine tupo bize na varshita, njoro wa uba, @hubaloo estate
Luca na familia yake na yule demu pale ndani kwao ndio watu pekee wanaonifanya niangalie JuaKuchoma, ila hao wengine naona wananipotezea muda.Sitaki
Sijamalizana na Juakali
Lazima nijue hatma ya Frank na Maria
Femi na Luca
Profesa na dhambi zake ๐
Kajojo... Well well....Jamani usiwanange ndio maana yakaitwa maigizo sio kweli... Mbona povu tena yakheeeee!!
Hamia kwa wakenya, wako vizuri hawana ubishoo wala kujichubua๐Sitaki
Sijamalizana na Juakali
Lazima nijue hatma ya Frank na Maria
Femi na Luca
Profesa na dhambi zake ๐
Yaani hii ni balaa ๐Njoro wa uba unyama sana mule, kila siku story mpya na hazichoshi. Hii kitu siwezi kuikosa.
Mwantumu ingawa ni marudio, bado ni kali sana, mzee Mrisho na Kaboba wako [emoji95][emoji95]
Ila DStv wanavyotuona watazamaji mapopoma, wanarudia tamthilia, nyingine wanazikatisha njiani, 2023 mnaoneshwa tamthilia zilizooneshwa 2015 huko (kapuni, sarafu nk). Hawajali value for money
Yaani unalipa fedha ili uone kitu ulichowahi kukiona kwa kulipia.
Sitaki
Sijamalizana na Juakali
Lazima nijue hatma ya Frank na Maria
Femi na Luca
Profesa na dhambi zake [emoji23]
Hujaniiba bado 160 ๐๐Hamia kwa wakenya, wako vizuri hawana ubishoo wala kujichubua๐
Kuna Pete na Kina story zinaeleweka na very interesting ๐
Njoro wa uber ndio vituko kama vyote
Utakuja tu, nakupa siku chacheHujaniiba bado 160 ๐๐
HahahahaaaNiliacha kuangalia juakali pale Prof kamchana Frank kuhusu Maria. Ilikuwa jumapili ya tar 12.
Tar 13- nikawa mbali na Dstv.
Nimerudi janaโฆ eti ndio nakuta Frank yuko Hosp!
Ina maana Lamata alishindwa kuimaliza hiyo Ep last week?
Na kuna ile Yalaiti.. ilianza vizuriโฆ mara karibia wahusika wote wakafulia, wakarudi vijijini. Nikaacha kuangalia
Rotation ya wapenzi tu hahahaaScript writer wa Huba ameishiwa. Wote zamani walikuwa successful business men/women na sasa ushirikina na ulevi ndiyo fashion. Unreal romantic scenes. Grow up Huba.