HUBA vs JUA KALI: Tamthiliya ya Huba wamekosea wapi?

Mi kuna kipindi nilikuwa naenda sebuleni kuangalia taarifa ya habari saa mbili nakuta wanaangalia ile ya shambani, nikasema ngoja niwaunge tukae kama familia tuenjoy, sema niliipenda kiaina yule mzee na wake zake kama wote.
Ile ni nzuri
 
KARMA ya Wema Sepenga ilikufa kibudu, tulishtuka tu imefia njiani.......Sijui wenye majengo walidai majengo yao
 
Lenie em taja huo mshahara wako nikupigie mahesabu ya bajeti kali 😂😂😂i
 
Mi kuna kipindi nilikuwa naenda sebuleni kuangalia taarifa ya habari saa mbili nakuta wanaangalia ile ya shambani, nikasema ngoja niwaunge tukae kama familia tuenjoy, sema niliipenda kiaina yule mzee na wake zake kama wote.
Inaitwa Mpali 😂
 
Mpali mbona hamuijadili??

Hiyo Jua Kali imeanza kuboa kama ilivyoboa Selina kule Maisha Magic East wakati ule.
 
Hapo Kwenye Hamu Hamu, Nimecheka [emoji1787], Nimemkumbuka Mwanangu
 
Mi kuna kipindi nilikuwa naenda sebuleni kuangalia taarifa ya habari saa mbili nakuta wanaangalia ile ya shambani, nikasema ngoja niwaunge tukae kama familia tuenjoy, sema niliipenda kiaina yule mzee na wake zake kama wote.

Mpali [emoji2][emoji2] shupiwe ananifurahisha sana
 
Inaelekea hujui maana ya maigizo.
 
Huba sijawahi kuielewa haina uhalisia ata kidogo.
Mara huyu kanunua nyumba, kaiuza, kapoteza kazi niliacha kuangalia mwaka juzi.
Juakali walianza vizuri na mpaka sasa wanaenda vizuri, ila changamoto ilianza pale walivyoongeza siku kutoka siku 3 hadi siku 5 kwa wiki.
Kipindi cha siku 1 kinarefushwa kuwa siku 2. Yaani dakika 15 zote ni Luka na Femi wanabembea tu na kucheza tennis.
All in all Juakali wanajitahidi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…