Ile ni nzuriMi kuna kipindi nilikuwa naenda sebuleni kuangalia taarifa ya habari saa mbili nakuta wanaangalia ile ya shambani, nikasema ngoja niwaunge tukae kama familia tuenjoy, sema niliipenda kiaina yule mzee na wake zake kama wote.
Inaitwa Mpali 😂Mi kuna kipindi nilikuwa naenda sebuleni kuangalia taarifa ya habari saa mbili nakuta wanaangalia ile ya shambani, nikasema ngoja niwaunge tukae kama familia tuenjoy, sema niliipenda kiaina yule mzee na wake zake kama wote.
😂😂😂 me ningekuwa nadoji kwenda kuwasalimia🤣🤣🤣 Wazazi wa hivi ingekua JF unawapiga tu ban
Yaani nilikua naifikiria, kumbe hiyo.Inaitwa Mpali 😂
Wanapenda hela sana jamani kha😂😂😂 me ningekuwa nadoji kwenda kuwasalimia
Hapo Kwenye Hamu Hamu, Nimecheka [emoji1787], Nimemkumbuka MwananguJua kali inazungushwa sanaa. ilitakiwa iishe tangu mwaka jana tena sio mwishoni.
Tushaichoka mana jambo lililotakiwa litokee mwaka jana mwezi wa7 linazungushwa mpaka march 2023. Kila siku Hamu hamu na hamna jipya.
Mimi sijaangalia tangu mwezi wa2 na vile niliunganishiwa Dstv ya mchongo saizi sina ndo kabisa
Mi kuna kipindi nilikuwa naenda sebuleni kuangalia taarifa ya habari saa mbili nakuta wanaangalia ile ya shambani, nikasema ngoja niwaunge tukae kama familia tuenjoy, sema niliipenda kiaina yule mzee na wake zake kama wote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo nini hizo
Sasa hivi imepamba motoYaani nilikua naifikiria, kumbe hiyo.
Hivi bado ipo? Maana najua we ni shabiki mkubwa
Kuna kipindi nilikua naifatilia sana, ila since last year katikati nikaipotezea ila ni drama nzuri sana.Sasa hivi imepamba moto
Hiyohiyo maana nilikuwa naskia wanamuita kijana wangu wa miaka minne " we mzee mpali njoo ule" . Sema watu waliopewa kazi ya kudub sauti za wale vijana miyeyusho sana.Inaitwa Mpali 😂
Hapo Kwenye Hamu Hamu, Nimecheka [emoji1787], Nimemkumbuka Mwanangu
Inaelekea hujui maana ya maigizo.Maigizo na uzungu mwingi
Watu maisha ya ndotoni Wanayaleta kwenye kamera
Wengine ni makapuku na makwao tunapajua ila sasa wanavyoigiza ushua,
Chai kitandani,mara hawali ugali wanakuwa baga na pizza eti Kila siku vikao vya kampuni,mara sijui CEO,sijui body of directors,hukute wakiwa mitaani ni makapuku watoa ukurutu
Hao huba hamna kitu kazi kujichubua tu
Najua,ila Yale ni mazingaombweInaelekea hujui maana ya maigizo.
Jamaa wanajuaKuna kipindi nilikua naifatilia sana, ila since last year katikati nikaipotezea ila ni drama nzuri sana.