Mi nimeamua kuwa nalipa kifurushi cha 10,000 tu. Unalipa 23,000/= unaishia kuona njiwa wa kuedit anapaa.Mwantumu ingawa ni marudio, bado ni kali sana, mzee Mrisho na Kaboba wako π₯π₯
Ila DStv wanavyotuona watazamaji mapopoma, wanarudia tamthilia, nyingine wanazikatisha njiani, 2023 mnaoneshwa tamthilia zilizooneshwa 2015 huko (kapuni, sarafu nk). Hawajali value for money
Yaani unalipa fedha ili uone kitu ulichowahi kukiona kwa kulipia.
Mwantumu ingawa ni marudio, bado ni kali sana, mzee Mrisho na Kaboba wako π₯π₯
Ila DStv wanavyotuona watazamaji mapopoma, wanarudia tamthilia, nyingine wanazikatisha njiani, 2023 mnaoneshwa tamthilia zilizooneshwa 2015 huko (kapuni, sarafu nk). Hawajali value for money
Yaani unalipa fedha ili uone kitu ulichowahi kukiona kwa kulipia.
Dah mkuu ww upo kama mm kabisa[emoji23][emoji23]Mnawezaje kukaa kuangalia products za bongo muvi nyie???Mimi nimejitahidi nimeshindwa wyf aki tune ivo vipindi nasepa sebuleni
Mm dstv ukiacha mpira naangalia hyo njoro wa uba, date my family ya kenya na watubakiNjoro wa uba unyama sana mule, kila siku story mpya na hazichoshi. Hii kitu siwezi kuikosa.
Sometimes huwa wanasema hivi, ila mawazo yao ni ya kijinga kwa sababu subscriber mpya halalamiki kutokuona kitu kilichooneshwa wakati yeye sio subscriber, na ni ujinga kuwajali subricer wapya kulikp kulinda wateja ulionao tayari.DSTV wanapata subscribers wapya kila siku nadhani wanafanya hivo ili wale wapya wakliojiunga nao wapate nafasi ya kuziona hizo tamthilia wanazozirudia. Sema nawashauri ni bora wangekua na channel kwa ajili ya tamthilia na movies za zamani tu basi. Au channel ya POA ndo ingeonesha za zamani tu .
ila we jamaa π€£π€£π€£Maigizo na uzungu mwingi
Watu maisha ya ndotoni Wanayaleta kwenye kamera
Wengine ni makapuku na makwao tunapajua ila sasa wanavyoigiza ushua,
Chai kitandani,mara hawali ugali wanakuwa baga na pizza eti Kila siku vikao vya kampuni,mara sijui CEO,sijui body of directors,hukute wakiwa mitaani ni makapuku watoa ukurutu
Hao huba hamna kitu kazi kujichubua tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliacha kuangalia juakali pale Prof kamchana Frank kuhusu Maria. Ilikuwa jumapili ya tar 12.
Tar 13- nikawa mbali na Dstv.
Nimerudi jana⦠eti ndio nakuta Frank yuko Hosp!
Ina maana Lamata alishindwa kuimaliza hiyo Ep last week?
Na kuna ile Yalaiti.. ilianza vizuri⦠mara karibia wahusika wote wakafulia, wakarudi vijijini. Nikaacha kuangalia
Zahanati ya kijij nzuri sanaa angalien
Yaani mchezo upo Toka mwaka jana mwezi wa saba hadi leo?Jua kali inazungushwa sanaa. ilitakiwa iishe tangu mwaka jana tena sio mwishoni.
Tushaichoka mana jambo lililotakiwa litokee mwaka jana mwezi wa7 linazungushwa mpaka march 2023. Kila siku Hamu hamu na hamna jipya.
Mimi sijaangalia tangu mwezi wa2 na vile niliunganishiwa Dstv ya mchongo saizi sina ndo kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maigizo na uzungu mwingi
Watu maisha ya ndotoni Wanayaleta kwenye kamera
Wengine ni makapuku na makwao tunapajua ila sasa wanavyoigiza ushua,
Chai kitandani,mara hawali ugali wanakuwa baga na pizza eti Kila siku vikao vya kampuni,mara sijui CEO,sijui body of directors,hukute wakiwa mitaani ni makapuku watoa ukurutu
Hao huba hamna kitu kazi kujichubua tu
Abdul anakimbiza hadi sasa hakuna aliyemkamataZahanati ya kijij nzuri sanaa angalien
Bi Ubwa ni bonge la Comedian yule mamaUko biubwa ananiacha hoi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamani ingekuwa inaonyeshwa kila siku
Mama ndiduyonmkorofi wale nao dah hiwa sichoki kuangalia ila niubwa namkubali sanaBi Ubwa ni bonge la Comedian yule mama
Hadi sasa anakimbiza[emoji91][emoji23]
Akifuatiwa na Bi Star na familia yake akina Kimbembe na Chapicho[emoji1787]
Abdul anakimbiza hadi sasa hakuna aliyemkamata
Hii ya kosa Moja natamani hata waifute hata Sasahivi.
Umeona Jay anavyomfundisha Naa kuimba?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti Malizia Hajaiii,weka mkia mbele[emoji23][emoji23][emoji23]
Ijumaa haionyeshwiUko biubwa ananiacha hoi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamani ingekuwa inaonyeshwa kila siku
Ramata habari nyingine. Ramata ni director mzuri kwanza anajua kucapture emotions na facial expressions za wahusika.Kadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali.
Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models, haireflect maisha au?