Voda wapo ghali sana... hao ndo usiwataje kabisaNimevunja line yao..Vodacom ndo kila kitu,tukubali tukatae
Nakazia... hivi yupo aliyewahi kupiga simu customer care (huduma kwa wateja) akasaidiwa/akapokelewa?Hata vijijini haipatikani kwa kiwango cha namna wanavyojigamba!!!! Halaf huduma kwa wateja mikoani bado sana. Mikoani ukijaribu kuutembelea ofisi za voda, tigo, airtel, hallotel halafu unafanishe na TTCL kuna tofauti kubwa sana kwenye huduma za wateja. TTCL bado wana wazee ambao ni wazito kuhudumia wateja. Utawakuta wamekaa kwenye ma computer yao yale makubwa ya kipindi cha nyuma sana!!!
Hiyo Voda ni upuuzi mtupuNimevunja line yao..Vodacom ndo kila kitu,tukubali tukatae
Najiungaje na hicho kifurushiNawatumiaga hawa kupotezea muda usiku, Kifurushi chao cha buku unapewa GB 4 kuanzia saa mbili usiku mpaka kukuche, wana speed safi
Mkuu mie nimetengeneza booster Ina convert 2G Hadi 9GNatumia TTCL kama mwaka hivi umepita.
Vifurushi vyao sio vizuri sana na havina options nyingi.
Menu yao mfano tu ya kuangalia Salio la Bundle dah ipo ovyo. Yaani ukitaka kuangalia meseji unaangalia peke yake, ukitaka MB peke yake, dakika peke yake.
Speed ya internet sasa. Ikifika jioni hakuna kitu itasoma LTE ila speed ya 2G.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu mie nimetengeneza booster Ina convert 2G Hadi 9G
Mi napendaga Offa yao ya usiku gb 10 Basi hakuna jingine. Au Kuna mtandao gn mwingine unatoa ofa km hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Voda wapo ghali sana... hao ndo usiwataje kabisa
Tigo ofa zao zinachagua kati ya mteja na mteja... hovyo kabisa
TTCL wanawapendelea wafanyakazi zaidi wakati (pengine) wanaotumia zaid huo mtandao sio wafanyakazi
Zantel na halotel... tupige magoti tuswali
Me naona tutazunguka wee ila tutarudi pale pale kwenye mtandao wa airtel tu maana ndo wenye angalau
Lakini bado tuendelee kukumbusha na kupiga kelele kwanini bando liexpire? Mitandao ya simu ni wezi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie Washindani wa TTCL mmekosa hoja sasa mmeanzisha Viroja! Tunaotumia lune za TTCL tunakula raha tu hata mtukatishe tamaa kiasi gani. Nani ata opt kwenda kwenye mitandao ya WIZI kama yenu? Unanunua MB 500 kwa elfu 5? Si upuuzi huo? Wakati TTCL 5000 napata GB 3 mwezi mzima!Hovyo kabisa. Namaanisha hovyo. Nashangaa wao ndo wauzaji wa internet kwa makampuni mengine ya simu vipi wenyewe wanashindwa kutoa huduma inayoeleweka ata katikati ya miji ukiachana na vijijini. Ningekuwa nauwezo ningewatumbua wote waliipo maofisini.
Kwa akili yako unadhani TCRA wameiweka hiyo fine ni wajinga? Fikiria mara mbili kijanaUkitoa huo ubovu wa Mtandao hususani kwenye Internet.
Jiandaeni kulipa hiyo faini ya 1.6 bilioni
Sijawahi kuwa na mtandao wowote mbali na TTCL. Kama ni On and Off hizo hutokea sio kwa TTCL pekee. Juzi hapa siku nzima Tigo hawakuwa hewani. Nilikuwa Mbeya wiki mbili zilizopita Voda walupotea Tukuyu siku 2. Hao Airtel nina line yao ni hovyo plus plus. Mimi sijawahi kuzima data ya TTCL na kwa kulinganisha na mitandao mingine TTCL ni the best.Tangu lini shirika la umma au taasisi za umma zikatoa huduma bora?
TBC
TANESCO
NIDA
SHULE ZA SERIKALI
HOSPITALI ZA SERIKALI
NK
we bado unashangaa tu?
TTCL sio mtandao wa hovyo. U-hovyo unao wewe unayetumika kizembe. Yaani niiache TTCL niende Voda? Over my dead body!Hatuna jinsi mkuu..maana hii mitandao ya hovyo unaweza hata kupasua simu
TTCL ni BABA LAONawatumiaga hawa kupotezea muda usiku, Kifurushi chao cha buku unapewa GB 4 kuanzia saa mbili usiku mpaka kukuche, wana speed safi
Kipo Bora .kununua gb 1 kwa 2000 ukaitumia au ununua gb 5 kwa 500 ambayo Ni useless..ukijibu hapo utasaidia wengiNyie Washindani wa TTCL mmekosa hoja sasa mmeanzisha Viroja! Tunaotumia lune za TTCL tunakula raha tu hata mtukatishe tamaa kiasi gani. Nani ata opt kwenda kwenye mitandao ya WIZI kama yenu? Unanunua MB 500 kwa elfu 5? Si upuuzi huo? Wakati TTCL 5000 napata GB 3 mwezi mzima!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee mbona unatoa povu kama ni kitu personal vile?Nyie Washindani wa TTCL mmekosa hoja sasa mmeanzisha Viroja! Tunaotumia lune za TTCL tunakula raha tu hata mtukatishe tamaa kiasi gani. Nani ata opt kwenda kwenye mitandao ya WIZI kama yenu? Unanunua MB 500 kwa elfu 5? Si upuuzi huo? Wakati TTCL 5000 napata GB 3 mwezi mzima!
Sent using Jamii Forums mobile app
Customer care napiga TTCL, Vodacom wote wanapokea, japo lazima uwe na subira..Nakazia... hivi yupo aliyewahi kupiga simu customer care (huduma kwa wateja) akasaidiwa/akapokelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda intaneti hutumii sana..kama unaingia YouTube au hata Instagram, kuangalia video ni shida sana hawa jamaaNatumia TTCL kama mwaka hivi umepita.
Vifurushi vyao sio vizuri sana na havina options nyingi.
Menu yao mfano tu ya kuangalia Salio la Bundle dah ipo ovyo. Yaani ukitaka kuangalia meseji unaangalia peke yake, ukitaka MB peke yake, dakika peke yake.
Speed ya internet sasa. Ikifika jioni hakuna kitu itasoma LTE ila speed ya 2G.