t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Binafsi nakaribia kukataa tamaa na Hao ttcl, mwanzoni walikuwa poa Sana, ila nimeona juzi Kati wamebadili bei ya vifurushi, na kuvinyima Thamani baadhi ya vifurushi,
Kulikuwa na kifurushi Cha mwezi mzima mtandao yote dakika 470 kwa sh14500, hakipo tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa na kifurushi Cha mwezi mzima mtandao yote dakika 470 kwa sh14500, hakipo tena
Sent using Jamii Forums mobile app