Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
- Thread starter
- #141
Vocha yenyewe kuipata utadhani unatafuta ajiraWatu mnapata wapi ujasiri wa kuanza kutumia ttcl?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vocha yenyewe kuipata utadhani unatafuta ajiraWatu mnapata wapi ujasiri wa kuanza kutumia ttcl?
Hovyo kabisa. Namaanisha hovyo. Nashangaa wao ndo wauzaji wa internet kwa makampuni mengine ya simu vipi wenyewe wanashindwa kutoa huduma inayoeleweka ata katikati ya miji ukiachana na vijijini. Ningekuwa nauwezo ningewatumbua wote waliipo maofisini.
Alisomea mtihani. Hakusoma ili aeleweCEO wa TTCL nae ovyo tu.Na litumbo lake kama kiroba cha chumvi.
Kasomea Business Adminstation huko mamtoni halafu hana hata ubunifu
Inategemea ulipo mkuu. Huku Chamazi TTCL haipatikaniHapa nilipo nasoma hii thread kwa network ya TTCL bila wasi wasi, bei kitonga MB 800 Ndani ya siku 5 kwa buku tu
Mkuu, menu yake inaendaje kupata hiyo offer?Hapa nilipo nasoma hii thread kwa network ya TTCL bila wasi wasi, bei kitonga MB 800 Ndani ya siku 5 kwa buku tu
Huyo jamaa,anamiriki hisa,kampuni ya smile,CEO wa TTCL nae ovyo tu.Na litumbo lake kama kiroba cha chumvi.
Kasomea Business Adminstation huko mamtoni halafu hana hata ubunifu
...Tanzania Itajengwa na wenye Meno...!Huyo jamaa,anamiriki hisa,kampuni ya smile,
Sasa anahujumu shirika ili kampuni yake ipate kazi ya kusambaza mtandao,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi ningejua umeenda kuomba kazi! Manetiweki yote haya we umeona uende ttcl!Hukuona boksi la maoni!?
Tena anaenda makao makuu hiii nchi tunawatu waajabu sanaWe nawe unafunga safari kwenda kununua vocha ya 500?
Hapo 'ttcl' kwenye elo weka emu halafu tulia!Sote tunakumbuka jinsi Rais alivyowafagilia TTCL baada ya kupewa mgawo na kuagiza watumishi wa umma wote wanaopata muda wa maongezi wahamie kwenye mtandao huo.
Ama kweli wahenga walisema mgema akisifiwa tembo hulijaza maji. Ndicho kilichotokea watu walihamia huko ila sasa mtandao wao unaboa huwezi kupiga, kutuma sms wala mtandao wa internet hamna.
Sasa najiuliza kwani wanashindwa wapi? Au kwa vile wana uhakika wa kulipwa mishahara kila mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi za wananchi walala hoi?
Mbona wenzao wa makampuni binafsi wanaweza na wako vizuri sana lazima kuna uzembe mahali fulani.
Eti unaenda kusajili laini unaambiwa mtandao hakuna na hawana mawalala kama wenzao. Umesafiri toka Mwanerumango halafu unapewa majibu mepesi tu halafu anayekujibu ametulia hana hata chembe ya wasiwasi.
Mimi niliambiwa anayehusika kaenda msikitini nikasubiri masaa mawili mwisho nikaondoka na kutupa laini yenyewe.
Hebu rekebisheni mambo jamani kwani mnakwama wapi? Kuna vijana kibao wana ujuzi wa kutosha hebu wachukueni wawawekee mambo vizuri!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuki kivip sasa wakat umekiri mwenyew kuwa walikuwa hovyo?chuki yako hujaificha
mimi ni mtumiaji na hiyo ishu imeisha
tatizo lao kubwa ni taarifa hawatoi ila kwa sasa ipo poa
Chuki kivip sasa wakat umekiri mwenyew kuwa walikuwa hovyo?
TTCL kweli wapo hovyo hasa huku mbeya ukitoka mjin ukifika kabwe tu internet speed ya kobe
Sent using Jamii Forums mobile app
TTCL ndiyo dubwasha gani?Mie nilisafiri kutoka ushirombo Hadi Geita zaidi ya km 360 kusajili line ya ttcl hiyo mivoda na Airtel wafunge tu nshatoa pesa zangu
Mie nilisafiri kutoka ushirombo Hadi Geita zaidi ya km 360 kusajili line ya ttcl hiyo mivoda na Airtel wafunge tu nshatoa pesa zangu