Huduma mbovu za Mtandao wa TTCL: Malalamiko ya wananchi

Hovyo kabisa. Namaanisha hovyo. Nashangaa wao ndo wauzaji wa internet kwa makampuni mengine ya simu vipi wenyewe wanashindwa kutoa huduma inayoeleweka ata katikati ya miji ukiachana na vijijini. Ningekuwa nauwezo ningewatumbua wote waliipo maofisini.

Mtu unasomea Business Adminstation huko mamtoni halafu hana hata ubunifu
 
Hapo 'ttcl' kwenye elo weka emu halafu tulia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…